Imeandikwa unapokuwa na Warumi (Waroma), ishi na endana na tabia za Warumi.
Lakini pia imesemwa yeye apendaye amani wakati wa vita basi dalili zi wazi kuwa atakufa au kujeruhiwa mapema.
Kuna wale ambao leo wamebatizwa jina la "wahuni" ambao pengine hawakuwa wakionekana kuwa "wahuni" wakati wa...