Eti anajiuliza Mwanasisasa anawezaje kumaliza PhD kwani anatumikia siasa na wakati huo huo anabukua! hawa ndiyo wale MaProf waliokuwa wakizingatia sana kupoteza muda mwingi wa kusoma Enzi zao ambazo hazikuwa na teknolojia kama ya sasa.
Hawa waliamini katika kusoma kwa muda mrefu badala ya kuangaliwa kilichozalishwa.
Mambo yamebadilika sana sana Prof. Mwando - siku hizi facilities za kukufanya ufanye faster ni nyingi mno. Hata baadhi ya vyuo wameliona hilo na tayari wamefanyia kazi.
Mf. wakati wUD, SAUT, UDOM, SAUT wamekomaa na kuwatumikisha kimasomo miaka minne kwa kozi za Sheria wenzao wanaMZUMBE, TUMAINI, n.k wanasoma miaka mitatu tu na huko makazini wako njema sana sana.
Prof. Mwandosya pls acha kuwashambulia wenzio kula pensheni yako
Hawa waliamini katika kusoma kwa muda mrefu badala ya kuangaliwa kilichozalishwa.
Mambo yamebadilika sana sana Prof. Mwando - siku hizi facilities za kukufanya ufanye faster ni nyingi mno. Hata baadhi ya vyuo wameliona hilo na tayari wamefanyia kazi.
Mf. wakati wUD, SAUT, UDOM, SAUT wamekomaa na kuwatumikisha kimasomo miaka minne kwa kozi za Sheria wenzao wanaMZUMBE, TUMAINI, n.k wanasoma miaka mitatu tu na huko makazini wako njema sana sana.
Prof. Mwandosya pls acha kuwashambulia wenzio kula pensheni yako