Ya kina Mwandosya nayo yamepitwa na wakati! Angalau yupo!

NewPage

JF-Expert Member
Mar 22, 2021
1,281
2,020
Eti anajiuliza Mwanasisasa anawezaje kumaliza PhD kwani anatumikia siasa na wakati huo huo anabukua! hawa ndiyo wale MaProf waliokuwa wakizingatia sana kupoteza muda mwingi wa kusoma Enzi zao ambazo hazikuwa na teknolojia kama ya sasa.

Hawa waliamini katika kusoma kwa muda mrefu badala ya kuangaliwa kilichozalishwa.

Mambo yamebadilika sana sana Prof. Mwando - siku hizi facilities za kukufanya ufanye faster ni nyingi mno. Hata baadhi ya vyuo wameliona hilo na tayari wamefanyia kazi.

Mf. wakati wUD, SAUT, UDOM, SAUT wamekomaa na kuwatumikisha kimasomo miaka minne kwa kozi za Sheria wenzao wanaMZUMBE, TUMAINI, n.k wanasoma miaka mitatu tu na huko makazini wako njema sana sana.

Prof. Mwandosya pls acha kuwashambulia wenzio kula pensheni yako
 
Nilichogundua ni kwamba wewe Huna hoja nyingine, isipokuwa wewe ni mhitimu wa chuo cha SAUT na ulisoma Sheria miaka minne. Na unahasira na chuo hicho Kwa sababu LLB ya SAUT ni miaka minne.
 
Eti anajiuliza Mwanasisasa anawezaje kumaliza PhD kwani anatumikia siasa na wakati huo huo anabukua! hawa ndiyo wale MaProf waliokuwa wakizingatia sana kupoteza muda mwingi wa kusoma Enzi zao ambazo hazikuwa na teknolojia kama ya sasa. Hawa waliamini katika kusoma kwa muda mrefu badala ya kuangaliwa kilichozalishwa. Mambo yamebadilika sana sana Prof. Mwando - siku hizi facilities za kukufanya ufanye faster ni nyingi mno. Hata baadhi ya vyuo wameliona hilo na tayari wamefanyia kazi. Mf. wakati wUD, SAUT, UDOM, SAUT wamekomaa na kuwatumikisha kimasomo miaka minne kwa kozi za Sheria wenzao wanaMZUMBE, TUMAINI, n.k wanasoma miaka mitatu tu na huko makazini wako njema sana sana.
Prof. Mwando pls acha kuwashambulia wenzio kula pensheni yako
Ngoja labda mwanae Nape anabukua kimyakimya ili aje awe profesa kama babaake.
 
Eti anajiuliza Mwanasisasa anawezaje kumaliza PhD kwani anatumikia siasa na wakati huo huo anabukua! hawa ndiyo wale MaProf waliokuwa wakizingatia sana kupoteza muda mwingi wa kusoma Enzi zao ambazo hazikuwa na teknolojia kama ya sasa. Hawa waliamini katika kusoma kwa muda mrefu badala ya kuangaliwa kilichozalishwa. Mambo yamebadilika sana sana Prof. Mwando - siku hizi facilities za kukufanya ufanye faster ni nyingi mno. Hata baadhi ya vyuo wameliona hilo na tayari wamefanyia kazi. Mf. wakati wUD, SAUT, UDOM, SAUT wamekomaa na kuwatumikisha kimasomo miaka minne kwa kozi za Sheria wenzao wanaMZUMBE, TUMAINI, n.k wanasoma miaka mitatu tu na huko makazini wako njema sana sana.
Prof. Mwando pls acha kuwashambulia wenzio kula pensheni yako
Ndo nimeshaamgaa eti anona maajabu ni wale walioamini kuwa hamna Mtu anayeweza kupata A ya uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti anajiuliza Mwanasisasa anawezaje kumaliza PhD kwani anatumikia siasa na wakati huo huo anabukua! hawa ndiyo wale MaProf waliokuwa wakizingatia sana kupoteza muda mwingi wa kusoma Enzi zao ambazo hazikuwa na teknolojia kama ya sasa. Hawa waliamini katika kusoma kwa muda mrefu badala ya kuangaliwa kilichozalishwa. Mambo yamebadilika sana sana Prof. Mwando - siku hizi facilities za kukufanya ufanye faster ni nyingi mno. Hata baadhi ya vyuo wameliona hilo na tayari wamefanyia kazi. Mf. wakati wUD, SAUT, UDOM, SAUT wamekomaa na kuwatumikisha kimasomo miaka minne kwa kozi za Sheria wenzao wanaMZUMBE, TUMAINI, n.k wanasoma miaka mitatu tu na huko makazini wako njema sana sana.
Prof. Mwando pls acha kuwashambulia wenzio kula pensheni yako
Prof aliporusha jiwe Gizani, bahati mbaya likakupiga mkuu!!
 
Eti anajiuliza Mwanasisasa anawezaje kumaliza PhD kwani anatumikia siasa na wakati huo huo anabukua! hawa ndiyo wale MaProf waliokuwa wakizingatia sana kupoteza muda mwingi wa kusoma Enzi zao ambazo hazikuwa na teknolojia kama ya sasa. Hawa waliamini katika kusoma kwa muda mrefu badala ya kuangaliwa kilichozalishwa. Mambo yamebadilika sana sana Prof. Mwando - siku hizi facilities za kukufanya ufanye faster ni nyingi mno. Hata baadhi ya vyuo wameliona hilo na tayari wamefanyia kazi. Mf. wakati wUD, SAUT, UDOM, SAUT wamekomaa na kuwatumikisha kimasomo miaka minne kwa kozi za Sheria wenzao wanaMZUMBE, TUMAINI, n.k wanasoma miaka mitatu tu na huko makazini wako njema sana sana.
Prof. Mwando pls acha kuwashambulia wenzio kula pensheni yako
Uandishi huu ni wa wajumbe, tena Darasa la Saba.
 
Nilichogundua ni kwamba wewe Huna hoja nyingine, isipokuwa wewe ni mhitimu wa chuo cha SAUT na ulisoma Sheria miaka minne. Na unahasira na chuo hicho Kwa sababu LLB ya SAUT ni miaka minne.
Tehe tehe!
 
Eti anajiuliza Mwanasisasa anawezaje kumaliza PhD kwani anatumikia siasa na wakati huo huo anabukua! hawa ndiyo wale MaProf waliokuwa wakizingatia sana kupoteza muda mwingi wa kusoma Enzi zao ambazo hazikuwa na teknolojia kama ya sasa. Hawa waliamini katika kusoma kwa muda mrefu badala ya kuangaliwa kilichozalishwa. Mambo yamebadilika sana sana Prof. Mwando - siku hizi facilities za kukufanya ufanye faster ni nyingi mno. Hata baadhi ya vyuo wameliona hilo na tayari wamefanyia kazi. Mf. wakati wUD, SAUT, UDOM, SAUT wamekomaa na kuwatumikisha kimasomo miaka minne kwa kozi za Sheria wenzao wanaMZUMBE, TUMAINI, n.k wanasoma miaka mitatu tu na huko makazini wako njema sana sana.
Prof. Mwando pls acha kuwashambulia wenzio kula pensheni yako
Prof Mwandosya ni mtaalamu wa TEHAMA, yuko updated na Dunia ya sasa.

Ebu sogea kule twiiter akamjibu ipasavyo maana Prof Kitila Mkumbo amejaribu kumjibu ila amechemka
 
Eti anajiuliza Mwanasisasa anawezaje kumaliza PhD kwani anatumikia siasa na wakati huo huo anabukua! hawa ndiyo wale MaProf waliokuwa wakizingatia sana kupoteza muda mwingi wa kusoma Enzi zao ambazo hazikuwa na teknolojia kama ya sasa. Hawa waliamini katika kusoma kwa muda mrefu badala ya kuangaliwa kilichozalishwa. Mambo yamebadilika sana sana Prof. Mwando - siku hizi facilities za kukufanya ufanye faster ni nyingi mno. Hata baadhi ya vyuo wameliona hilo na tayari wamefanyia kazi. Mf. wakati wUD, SAUT, UDOM, SAUT wamekomaa na kuwatumikisha kimasomo miaka minne kwa kozi za Sheria wenzao wanaMZUMBE, TUMAINI, n.k wanasoma miaka mitatu tu na huko makazini wako njema sana sana.
Prof. Mwando pls acha kuwashambulia wenzio kula pensheni yako
Mkuu unafahamu PhD ninini ? And what does it take for one to get that award ? We we umetumwa kama chawa tu
 
Back
Top Bottom