Ukitafakari na kuelewa kinachoendelea Mashariki ya Kati ukilinganisha na Tanzania, unahuzunika hata kuugua. Wenzetu wanapigania utaifa. Sie twauana kwa kupigania udini.
Halafu tunashangaa kwanini hatuendelei huku Wenzetu wakitutumia na kutucheka mbali na kutubagua na kutudharau. Utaifa kwanza...
Kama ni watu wa nje tume ituambie walikuwa ni akina nani na walikuwa na nia gani na nchi yetu na walitegemea kupata nini in return, na kama zilinunuliwa kwa pesa za ndani tume ituambie nani alitoa pesa na kama ni serikali tume ituambie zilitoka kwenye fungu gani la bajeti.
Serious, sio kwa...
Wapo China ni Taifa Tajiri sana Duniani, wapo waarabu matajiri sana. Hawa watatusaidia. Sisi ni nchi huru msitupangie maisha nyie Ulaya na Marekani. Kwanza hatutaki misaada yenu.
Tunajiweza na tuna mataifa yanaweza kutusaidia sana. Uarabuni huwa wanatupa tende na halua kila wakati tunapofunga...
Nashauri tuanze mapema kutoa sababu za kutolewa kwani Waarabu watambikiri Mtu kote kote Dar na Cairo Kudadadeki. Asanteni sana CAF kwa hii Draw na sasa tutaheshimiana. Kweli CAF safari hii wameamua Kumkomoa Mtu hadi Akili zimkae sawa.
Baada ya Magaidi wa Hamas kushindwa kwenye vita waliyoianzisha wao wenyewe Oct 07,2023 sasa hivi wamewageukia raia wasio na hatia kwa kuwapiga na kuwaua kwa njia za kutisha kabisa.
Ukiondoa ukatili walio wafanye a wayahudi Oct 07,2023 sasa hivi magaidi hao wanawafanyia watu wao wenyewe kwa...
Wenye imani na kuwaonea uchungu wapalestina nendeni mkawachukue ila siku mtajikuta nyie ndio mkipigwa viboko.
Hawa watu bora tu mataifa yawatambue waachiwe taifa lao ila sio kwenda kwenye mataifa mengine.
Hii ni dharau kubwa Ifike pahali misaada ya namna hiyo ikataliwe!
Kule bukinabe jamaa alikataa misaada ya ujenzi wa misikiti akawaambia wajenge shule hospital na viawanda wakauchuna.
Kwa masikitiko makubwa, sisi wakazi wa Kinondoni tunapaza sauti zetu kulalamikia kitendo cha kumegwa kugawiwa kwa sehemu kubwa ya uwanja wa wazi wa Biafra kwa mfanyabiashara binafsi ambaye tayari ameanza ujenzi wa yadi ya magari ya kuuza.
Hatua hii imechukuliwa bila kushirikisha wananchi ambao...
Majengo marefu huko Gaza leo hii yameangamizwa baada ya uchunguzi kuonyesha yana kamera Zinaowasaidia magaid wa hamas kuyashambulia majeshi ya Israel.
Baada ya janja ya magaidi wa hamas kujulikana majengo hayo yameangamizwa bila huruma
Sio lazima kupenda picha za uharibifu. Lakini kile ambacho...
Halafu tofauti na mikoa mingine kwenye suala la ushirikina, mikoa hii unakuta watu wanachukulia poa wanajua flani ana majini 40, flani hachezewi anakutupia majini, ni sehemu zinazosifika kwa malimbwata, n.k.
Tanga
Pwani
Tabora
Lindi
Pemba
Uongo uliopitiliza; Msichana wa Gaza "alipigwa risasi kifuani na majeshi ya Israel madaktari wanaitoa risasi hiyo mgongoni kwa msichana huyo cha ajabu hakuna damu, hakuna jeraha, na ganda la risasi halijakamilika.
Kusema kweli waarabu wanachezea sana akili!!!
Angalia hiyo video wanajifanya...
Ukichunguza mitambo yote iliyopo duniani, utagundua imetengenezwa na wazungu, wachina, wajapani n.k
Sasa najiuliza, sisi waafrika pamoja na ndugu zetu waarabu, tumetengeneza mitambo ipi hapa duniani?
Kwa sababu nikiangalia ata kitendea kazi changu cha kukwangulia nyanya hapa jikoni, naona...
Muslim brotherhood ni kikundi kinachojificha katika kivuri cha msimamo wa kiislam lakini kiuahalisia kinafadhiri machafuko ulimwenguni kwa jina la uislam.
Wachina wanadini ZAO, wahindi ndio balaa. CA ajabu watu wa haya maeneo hawana kiu kubwa ya kutaka watu wajiunge na dini yao kama Waarabu.
Sababu ni nini?
Niliwahi Uliza , Huu Utekaji, Mauaji, Ufungwaji wa Makanisa, Majaribio ya kuua Viongozi wa Dini, Kumpa LISSU kesi ya kihuni, Kuzuia CHADEMA , kujtahidi sana Mbowe kua Mwenyekiti wa CHADEMA, kufadhili CHAUMA, haya yoooote ni sababu ya Urais wa Miaka mitano tu?.
Urais ambao Hayati Magufuli...
Baitul haram iliyopo Makka ndiyo nyumba ya mwanzo duniani kujengwa kwa ajili ya kumuabudu Mungu (Allah).
Nyumba hii iiinuliwa kuta zake kwa mara nyengine na nabii Ibrahim na mwanawe Ismaili.Katika historia ndefu ya nyumba hii ni kwamba imewahi kupitia mikononi mwa makafiri na washirikina...
Na: Mjumbe wa Nafsi za Watu
Katika zama hizi za mchanganyiko wa mitazamo na hamaki za kimatamanio, watu wengi wanajikuta wanashindwa kutofautisha kati ya upendo wa kweli na tamaa ya kimfumo. Kinachonishangaza, tena kunipa mshituko wa kifikra, ni kizazi cha sasa – wasomi, wapendeza, wa...
afrika na ulimwengu
damu
dhana potofu za upendo
falsafa ya mapenzi
koo
kujiheshimu
kujitambua
kuoa
kuoa na kuolewa
kuolewa
mahusiano
mashariki ya kati
maumivu ya mahusiano
ndoa za mchanganyiko
tamaduni za waarabu
tamthilia za mapenzi
ubaguzi wa koo
ubaguzi wa rangi
uhusiano wa kimataifa
usawa wa kijinsia
waarabuwaarabu na waafrika
wanawake wa kiafrika
Historia inaonyesha Ijumaa kuadhimishwa kama siku muhimu kidini ni muendelezo wa karne nyingi sana wa utamaduni wa kiarabu ambapo siku hii hapo mwanzo ilikuwa ikitumika kama siku ya soko kubwa kwa makabila mbalimbali ya Waarabu waliokuwa wametawanyika mashariki ya kati.
Siku hii ya Ijumaa...
Asalam aleykum
Shalom shalom
Hili ni jukwaa huru, kama utakua mfatiliaji wa nyuzi mbalimbali katika majukwaa haya;
1. Hoja mchanganyiko
2. International forum
3. Jukwaa la siasa
Basi utabaini uwepo wa wahayudi na waarabu kutokea katika pande mbalimbali za Tanzania ambao Wana misimamo mikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.