vyama

  1. Jelavic

    Hatuwezi kuwa na upinzani wa kweli kwa kuwa na utitiri wa vyama vingi vinavoshindwa hata kujipambanua kiitikadi. Vyama hivi vinadhoofisha upinzani

    Ukifatilia kwa ukaribu vyama karibu tisa au kumi kati ya 15 vilivyotoa uwakilishi katika uchaguzi huu utagundua havikuwa na itikadi na muelekeo na nia thabiti ya kuongoza nchi, matokeo yake uchaguzi unaisha wote wanakuwa hawana tofauti na kina Waziri Jenister na kina waziri Kabudi wamekua wadogo...
  2. funaku

    GE2020 Vyama tisa vya upinzani vyatoa tamko kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020

    Vyama tisa vya upinzani vimetoa tamko la kukubali matokeo ya uchaguzi mkuu wa Tanzania uliofanyika Oktoba 28, 2020 na mgombea wa CCM, Dkt. John Magufuli kuibuka mshindi baada ya kupata 84.4% ya kura zote. Katika tamko lao, vyama hivyo vimempongeza mgombea huyo kwa kushinda na kusema kwamba...
  3. CHADEMA

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo Wapinga Matokeo, Wataka Uchaguzi Urudiwe, pia NEC na ZEC zivunjwe

    UPDATES: 05:55 Asubuhi: Viongozi wa vyama vya ACT na CHADEMA wakiongozwa na Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Zitto Kabwe wanaingia kwenye ukumbi ambapo watafanya mkutano na waandishi wa habari. MNYIKA: Viongozi wakuu wa vyama vyetu tumekuwa kwenye vikao vya mashauriano na vimeendelea leo asubuhi...
  4. Stephano Mgendanyi

    Kwanini Watanzania hawatawaunga mkono wapinzani (CHADEMA& ACT-Wazalendo) kwenye mgomo wao na maandamano

    Kwanini Watanzania hawatawaunga mkono wapinzani kwenye mgomo wao na maandamano. Kwanza vyama vya upinzani vimegoma kukubali mapungufu yao makubwa kabisa ya kimuundo na kisera katika vyama vyao. Kwanza kabisa wananchi wanataka kujua kama kweli wana nia ya dhati? Kwanini kuna ACT Wazalendo...
  5. D

    Kesho Jumamosi viongozi wakuu wa CHADEMA, ACT Wazalendo kuzungumza na Waandishi wa Habari-Makao Makuu ya CHADEMA

    Kesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na Waandishi wa Habari. Yatafanyika Makao Makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni. Stay tuned!
  6. Stephano Mgendanyi

    GE2020 Kwanini Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimeanguka vibaya sana katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani

    Kwanini upinzani umeanguka vibaya: 1) Hakuna Mtanzania yeyote anayeweza kuchagua mbunge ambaye anashauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote. 2) Hakuna...
  7. kagoshima

    GE2020 Hata uchaguzi wa 1995 ambao vyama pinzani vilikua dhaifu kuliko CCM bado vilipata wabunge na madiwani

    Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko. Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi. Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama...
  8. Nazjaz

    Napendekeza Magufuli awe Rais wa maisha, tufute vyama vingi

    Hii ndio Demokrasia ya Tanzania🇹🇿. Ushindi wa CCM ni aailimia 99.9 upinzani umeshatoswa baharini. Bunge liapishwe, katiba ibadilishwe, Magufuli awe rais wa maisha Kama yule wa China. Tuvunje uhusiano na mabeberu wa magharibi, sisi Ni nchi tajiri wala hatuhitaji kusaidiwa. Tupige marufuku...
  9. GuDume

    Tanzania na Siasa zetu: Miaka 25 ya uchaguzi wa vyama Vingi. Wapinzani awamu hii Mmekuja na lipi?

    Nilitamani sana kufikia hatua ya kuwa na nchi ambayo Chama kinachoshindwa kinasema "tunawashukuru wananchi kwa kura mlizotupa,hazikutosha tunajipanga upya kwa uchaguzi ujao" Sidhani kama nitafanikiwa kuiona nchi hiyo hasa nikiwa bado ni raia wa Tanzania na Mwafrika ninaye ishi Africa. Sidhani...
  10. Roving Journalist

    GE2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    MATOKEO - LIVE: Wakuu, Tunawaletea matukio na matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yatakavyokuwa yakitangazwa. Orodha rasmi ya wagombea wanaowania Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kama ilivyo kwenye karatasi ya kupigia kura) 1...
  11. Crocodiletooth

    Vyama vyote vinatuma mawakala vituoni ili kwenda kukisimamia chama husika na kurudisha ripoti

    In short mawakala kwa kipindi hiki huwa wameajiriwa kwa muda mfupi na vyama vyao kwa posho pengine isiyozidi 20,000, ni wajibu kurudisha ripoti kwa muajiri wao yaani vyama vyao na haiwezi kuwa ni hekima kukataliwa kuondoka na ripoti ambayo ndiyo wametumwa kuisimamia wakashindwa kutekeleza hilo...
  12. Rebeca 83

    Marais waondolewe tu na tusiwe na vyama kwani vinatugawa...

    Habari wanajamvi, Upinzani haupewi nafasi nchini. Kama awamu hii ya tano, bora hata zilizopita. KIla siku viongozi wa upinzani wamekua wakipelekwa police. Hii ikafanya wasi concetrate na maendeleo ya majimbo yao. Yes, nitajie mbunge gani wa upinzani ambaye hajapata ghasia za police awamu hii...
  13. B

    Wakati vyama vingi vinaanza tulitumia kanuni ya mpinzani atatoka CCM, kanuni hii imefeli. Sasa hivi mpinzani wa kweli lazima azalishwe na upinzani

    Tulipoaminishwa CCM itauwawa na wana CCM kutoka CCM kwenda upinzani ilikua sahihi kwa wakati huo kwa sababu watu walikua watiifu kwa chama na walipikwa kwenye chama nakufahamika nje ndani ya maisha yao. Tukawa na waasisi akina Mrema, Slaa, Shibuda, Cheyo, Makani na wengine wengi waliojiengua...
  14. Crocodiletooth

    Huu ni wakati kwa vyama vyote kuhakiki vituo vya kupigia kura kwa mujibu wa orodha ya NEC

    Muda ndio huu na muda ni mfupi sana ni wakati sasa vyama vyote kuhakiki na kujiridhisha na vituo idadi ya vituo vilivyithibitishwa na nec mkaakikishe je mandingo A kipo wapi, mandingo B kipo wapi na Mandingo C kipo wapi kwa nchi nzima na hadhi na ubora wakeili kuweza kujiepusha na malalamiko...
  15. Faith Luvanga

    GE2020 Mgombea Urais kupitia UPDP, Twalib Kadege aahidi kutoa Ruzuku kwa Vyama vyote vitakavyoshiriki Uchaguzi hata kama havina Wabunge

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha UPDP, Twalib Kadege, amesema kuwa ikiwa Watanzania watampa ridhaa ya kuongoza nchi watahakikisha vyama vyote vinapata ruzuku kipindi cha Kampeni ili waweze kuendesha shughuli za Kampeni, pasipo kujali kama Vyama hivyo vitakuwa na...
  16. B

    GE2020 Ushauri kwa vyama vyote kuelekea ukingoni mwa uchaguzi: Tupande Uhuru na Haki tukavune Amani na Mshikamano kwa taifa letu

    Mabibi na mabwana heshima kwenu. Hapa ni ushauri wa bure kwao vyama vyote watia nia kuelekea lala salama katika uchaguzi huu. Zimekuwapo changamoto nyingi katika kufikisha ujumbe kwa wapiga kura. Pana vyama waziwazi vimekuwa vikibebwa na vyombo vya habari (vya umma na hata vya binafsi hali...
  17. Kabende Msakila

    GE2020 NEC Tanzania isiingiliwe, lakini isiingilie madaraka ya vyama

    WanaJf, Salaam! Naona tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC imepewa meno makali ya kisheria ili kuleta ufanisi ktk uchaguzi mkuu utakaofanyika nchini 28 Oktoba 2020. Hata hivyo nashauri yafuatayo: Mosi, tume isifanye kazi kama kiranja badala yake iwe kama mzazi (siyo lazima kila jambo...
  18. Analogia Malenga

    Zanzibar: RVS online TV yafungiwa kwa miezi miwili kwa kutotoa uwiano sawa kwa vyama vya siasa

    Tume ya Utangazaji Zanzibar imefungia kituo cha RVS Online TV kwa kutoa habari zisizo na uwiano kwa vyama vyote vya siasa na kurusha maudhui yanayoashiria uvunjifu wa amani. Tume ya Utangazaji imesema ilikiita kituo kiliitwa mara ya kwanza Septemba 9, 2020 ili kujibu hoja za ukiukaji wa...
  19. B

    Kwanini watumishi wa Umma waliokatazwa na sheria kujihusisha na siasa wanavaa nguo za vyama vya siasa?

    Wapo watumishi wa mahakama, tume, vyombo vya dola na taasisi nyingine wamekatazwa na sheria kwa kipindi chote Cha utumishi wasijihusishe na siasa lakini aidha kwa kujua au kutokujua leo wanavaa nguo za vyama, wanaposti picha kwenye mitandao wakiwa na nguo za chama Cha siasa na kuandika katika...
  20. NCCR Mageuzi

    GE2020 Tume iwaapishe mawakala wa vyama vyote bila upendeleo

    Na, Sam Ruhuza, Leo Mawakala wa vyama vya siasa kwenye uchaguzi Mkuu 28/10/2020 wanatakiwa kuapishwa. Sheria inasema wazi wataapishwa na msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri AU msimamizi msaidizi wa Kata ambaye ni Mtendaji wa Kata. Malalamiko yameanza kuwa mengi...
Back
Top Bottom