Upinzani ndani ya CCM waweza kuwa mgumu kuliko vyama vya upinzani

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,312
24,171
Tumefika mahali sasa CCM tuongoze nchi bila figisu.
Si tulishinda uchaguzi, shehmu nyingine tena bila kupingwa.
Tuna Bunge sasa CCM ndio tupo wengi Bungeni toka kuanza siasa za vyama vingi.

Lakini sasa tujihadhari mambo mawili au matatu.
Maoni ya wananchi kuhusiana kero hayategemei chama.
Vyama lengo lake kuu ni kushika tu madaraka na kutawaa dola.

Maoni ya wananchi juu ya kero zao yanabaki pale pale.
Serikali ikiboronga iwepo CCM au isiwepo watu wata sema tu.
Tupende tusipende.

Nako Bungeni suala la kusuguana kati ya serikali na wabunge ni a matter of time.
Ile ndiyoooooo.... iliyokuwepo kabla ya kuwaondoa wapinzani Bungeni kwa kura sasa itaonekana haina maana sana.
Party caucus sasa ni laima itakosa maana, caucus ya nini wakati Bunge limetwaliwa na chama kimoja.

Si ajabu kutokea wabunge ndani ya CCM Bungeni watakao itoa jasho serikali, kwa hoja zenye mashiko.
Tunalikumbuka lile kundi la Njelu Kasaka, G55.

Hivyo basi its not rest easy!
Serikai ijikite kutatua matatizo ya wananchi.
 
Sahihisho, wapinzani hawakuondolewa na wananchi bali na dola.
Tulioporwa haki ya maamuzi kwenye sanduku la kura huku mtaani hatuna mpango wa ushirikiano wa wateule wa dola.

Waambie tu wafanye maamuzi kama kamati ya maCCM, tumejifunza mengi kutokana na ubazazi wa MACCM.
Sasa mkakati wetu unaondelea tayari unatupa majibu sahihi.
 
Nusu ya wabunge wa ccm wameingia bungeni kwa maagizo ya rais kupitia madaraka yanayotumika vibaya. 30% walishinda kwa kura chache mno, na 20% tu ndio wameshinda kihalali.

Unapokuwa na bunge ambalo zaidi ya nusu wako kwa maagizo ya mtu, usitegemee hoja zenye mashiko, wala msimamo madhubuti. Hilo bunge sasa ndio limekuwa kibogoyo rasmi na halina ladha kwa wananchi wengi labda kwa wanaccm tu.
 
Nusu ya wabunge wa ccm wameingia bungeni kwa maagizo ya rais kupitia madaraka yanayotumika vibaya. 30% walishinda kwa kura chache mno, na 20% tu ndio wameshinda kihalali. Unapokuwa na bunge ambalo zaidi ya nusu wako kwa maagizo ya mtu, usitegemee hoja zenye mashiko, wala msimamo madhubuti. Hilo bunge sasa ndio limekuwa kibogoyo rasmi na halina ladha kwa wananchi wengi labda kwa wanaccm tu.
Na wapinzani fake vipi?
Halima Mdee and Co!
 
Nusu ya wabunge wa ccm wameingia bungeni kwa maagizo ya rais kupitia madaraka yanayotumika vibaya. 30% walishinda kwa kura chache mno, na 20% tu ndio wameshinda kihalali. Unapokuwa na bunge ambalo zaidi ya nusu wako kwa maagizo ya mtu, usitegemee hoja zenye mashiko, wala msimamo madhubuti. Hilo bunge sasa ndio limekuwa kibogoyo rasmi na halina ladha kwa wananchi wengi labda kwa wanaccm tu.
Limepoteza hata uhalali wa wananchi kukufuatilia vikao vyake.
 
Tumefika mahali sasa CCM tuongoze nchi bila figisu.
Si tulishinda uchaguzi, shehmu nyingine tena bila kupingwa.
Tuna Bunge sasa CCM ndio tupo wengi Bungeni toka kuanza siasa za vyama vingi.

Lakini sasa tujihadhari mambo mawili au matatu.
Maoni ya wananchi kuhusiana kero hayategemei chama.
Vyama lengo lake kuu ni kushika tu madaraka na kutawaa dola.

Maoni ya wananchi juu ya kero zao yanabaki pale pale.
Serikali ikiboronga iwepo CCM au isiwepo watu wata sema tu.
Tupende tusipende.

Nako Bungeni suala la kusuguana kati ya serikali na wabunge ni a matter of time.
Ile ndiyoooooo.... iliyokuwepo kabla ya kuwaondoa wapinzani Bungeni kwa kura sasa itaonekana haina maana sana.
Party caucus sasa ni laima itakosa maana, caucus ya nini wakati Bunge limetwaliwa na chama kimoja.

Si ajabu kutokea wabunge ndani ya CCM Bungeni watakao itoa jasho serikali, kwa hoja zenye mashiko.
Tunalikumbuka lile kundi la Njelu Kasaka, G55.

Hivyo basi its not rest easy!
Serikai ijikite kutatua matatizo ya wananchi.
ACHA WAONE ILI BAADA YA HAPA TUJENGE KUHESHIMIANA .....TULIPIGA KURA ZA MAONI IKAONEKANA NI BUSARA KUWA NA VYAMA VINGI .....
VYAMA VINGI VINAFANYA HATA VIONGOZI NDANI YA VYAMA WAHESHIMIANE KWAKUA UNAJUA USIPOTENDA HAKI ANAO UWEZO WA KUHAMA ...UKIUWA VYAMA MBADALA INA MAANA HATA NDANI YA CCM WATAANZA KUWANYANYASANA KWAKUA WANAJUA KIONGOZI AU MWANACHAMA HANA PAKWENDA
 
Tumefika mahali sasa CCM tuongoze nchi bila figisu.
Si tulishinda uchaguzi, shehmu nyingine tena bila kupingwa.
Tuna Bunge sasa CCM ndio tupo wengi Bungeni toka kuanza siasa za vyama vingi.

Lakini sasa tujihadhari mambo mawili au matatu.
Maoni ya wananchi kuhusiana kero hayategemei chama.
Vyama lengo lake kuu ni kushika tu madaraka na kutawaa dola.

Maoni ya wananchi juu ya kero zao yanabaki pale pale.
Serikali ikiboronga iwepo CCM au isiwepo watu wata sema tu.
Tupende tusipende.

Nako Bungeni suala la kusuguana kati ya serikali na wabunge ni a matter of time.
Ile ndiyoooooo.... iliyokuwepo kabla ya kuwaondoa wapinzani Bungeni kwa kura sasa itaonekana haina maana sana.
Party caucus sasa ni laima itakosa maana, caucus ya nini wakati Bunge limetwaliwa na chama kimoja.

Si ajabu kutokea wabunge ndani ya CCM Bungeni watakao itoa jasho serikali, kwa hoja zenye mashiko.
Tunalikumbuka lile kundi la Njelu Kasaka, G55.

Hivyo basi its not rest easy!
Serikai ijikite kutatua matatizo ya wananchi.
upinzani hautakuwepo ila watapigana majungu sana.
 
Sahihisho, wapinzani hawakuondolewa na wananchi bali na dola.
Tulioporwa haki ya maamuzi kwenye sanduku la kura huku mtaani hatuna mpango wa ushirikiano wa wateule wa dola.
Waambie tu wafanye maamuzi kama kamati ya maCCM, tumejifunza mengi kutokana na ubazazi wa MACCM.
Sasa mkakati wetu unaondelea tayari unatupa majibu sahihi.

vp kesi yenu icc inaendeleaje?
 
kiukwel ni kwamba sisi kama wananchi tutegemee kitu kimoja kikubwa ambacho ni rehema mh. Rais, yeye akiamua kutatua matatizo ya wananchi basi yatatatuliwa kwa kiwango kikubwa na hasipoamua naamini kwamba itabidi tumwachie mungu atuwezeshe kusurvival.
 
Anashitajiwa Magufuli na mwendesha mashitaka wa ICC yeye Magu na genge lake lote.
CHADEMA haina fursa ya kushtaki jifunze uelewe kenge wee.

kiongozi gan wa afrika mpaka sasa alishatiwa hatiani na icc? na kesi ngap mpaka sasa ziko submited tukianza east africa tu ujue nan kenge
 
Back
Top Bottom