Wakati Chama cha Mapinduzi kikiendelea na michakato ya kupanga safu za uongozi kufuatia kuondoka kwa Mwenyekiti Hayati John Pombe Magufuli, nini hatima ya wanachacshama waliohamia chama hicho kwa misingi ya kuunga juhudi za rais?
Najaribu kuwaza kwa sauti:
1. Ukizingatia kwamba juhudi zilizokuwa zinavutia ni za mtu binafsi na sasa hayupo, kuna kila uwezekano wa chama kushikailiwa ama moja kwa moja ama kwa mlango wa uani na waasisi ama vinara wa mfumo fisadi ambao kama ndivyo maumivu ya Taifa hasa wanyonge hayatakuwa na kipimo wala mfariji. Kwa mantiki hii je hawa wanachama waliokwenda kuunga mkono wataendelea kubaki ndani ya chama cha CCM?
2. Rais watu wa awamu ya tano A. alipitia wakati mgumu wa kutumbua tumbua na kuwaamini Watanzania waliohamia toka vyama pinzani na ambao hawajamuangusha. Na kwa usahihi wamekuwa wakifanya kazi katika kasi na taswira halisi ya Rais wetu. Hii ni dhahiri kwamba ndani ya chama kulikuwa na ukakasi na uhaba wa watu sahihi wenye nia na uwezo wa kutembea katika maono ya Rais wetu. Ikiwa sasa aliyekuwa anafagia fagia kaondoka, ni dhahiri kwamba CCM inarudi kwenye uhalisia wake. Chini ya viongozi halisia wa CCM Fisadi, hao waliokwenda kuunga mkono juhudi, wataaminika na hatimaye kukubalika hata kupewa nyadhifa sahihi ambazo ki uhalisia wameonyesha kuzimudu na kuzitendea haki?
3. Kwa kuzingatia haya juu, wataamua kubaki wakisubiri siku ya kwenda kwa Mungu ama watafight kubadilisha hicho chama ambacho kinawaita wageni? Lakini nini mtazamo wa vyama pinzani kama wakiamua kurejea ili waunganishe nguvu na kuimarisha vyamacha? Kama vyama vyao vya mwazo vitawaktaa kwa kutokuwa na imani nao, wakiamua kuanzisha chama chaoma cha siasa, waweza kusababisha mabadiliko katika taifa waliyayalilia katika hali ya kutokuaminika na chama tawala na vyama vya upinzani?
4. Hapa tunajifunza nini?
Naomba tujadili ama kuwapa ushauri mfupi nini wafanye.
Najaribu kuwaza kwa sauti:
1. Ukizingatia kwamba juhudi zilizokuwa zinavutia ni za mtu binafsi na sasa hayupo, kuna kila uwezekano wa chama kushikailiwa ama moja kwa moja ama kwa mlango wa uani na waasisi ama vinara wa mfumo fisadi ambao kama ndivyo maumivu ya Taifa hasa wanyonge hayatakuwa na kipimo wala mfariji. Kwa mantiki hii je hawa wanachama waliokwenda kuunga mkono wataendelea kubaki ndani ya chama cha CCM?
2. Rais watu wa awamu ya tano A. alipitia wakati mgumu wa kutumbua tumbua na kuwaamini Watanzania waliohamia toka vyama pinzani na ambao hawajamuangusha. Na kwa usahihi wamekuwa wakifanya kazi katika kasi na taswira halisi ya Rais wetu. Hii ni dhahiri kwamba ndani ya chama kulikuwa na ukakasi na uhaba wa watu sahihi wenye nia na uwezo wa kutembea katika maono ya Rais wetu. Ikiwa sasa aliyekuwa anafagia fagia kaondoka, ni dhahiri kwamba CCM inarudi kwenye uhalisia wake. Chini ya viongozi halisia wa CCM Fisadi, hao waliokwenda kuunga mkono juhudi, wataaminika na hatimaye kukubalika hata kupewa nyadhifa sahihi ambazo ki uhalisia wameonyesha kuzimudu na kuzitendea haki?
3. Kwa kuzingatia haya juu, wataamua kubaki wakisubiri siku ya kwenda kwa Mungu ama watafight kubadilisha hicho chama ambacho kinawaita wageni? Lakini nini mtazamo wa vyama pinzani kama wakiamua kurejea ili waunganishe nguvu na kuimarisha vyamacha? Kama vyama vyao vya mwazo vitawaktaa kwa kutokuwa na imani nao, wakiamua kuanzisha chama chaoma cha siasa, waweza kusababisha mabadiliko katika taifa waliyayalilia katika hali ya kutokuaminika na chama tawala na vyama vya upinzani?
4. Hapa tunajifunza nini?
Naomba tujadili ama kuwapa ushauri mfupi nini wafanye.