Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
“Sisi Mpinzani wetu sio Vyama vya Siasa, Mpinzani wetu ni changamoto za Watanzania leo ukizungumza Watumiwhi wana manung’uniko kuhusu mishahara yao, wana manung’uniko kuhusu kupanda madaraja kwa miaka mitano hawajapanda madaraja, leo ukizungumza kuhusu bodi ya mikopo unaona sheria ilikuwa inasema asilimia 8 baadae imekwenda asilimia 15 lakini hayo mambo yamepitishwa ndani ya Bunge hili" Mrisho Gambo, Mbunge wa Arusha Mjini.
"Lakini ukiangalia tuna changamoto kwenye bima ya afya, tuna changamoto kwenye ajira, manung’uniko ni makubwa. Kazi ya Bunge hili ni kurekebisha sheria, kutoa mapendekezo na ushauri ambao Serikali ikifanyia kazi matumaini yataendelea kudumu kule kwa Watanzania" Mrisho Gambo.
"Lakini ukiangalia tuna changamoto kwenye bima ya afya, tuna changamoto kwenye ajira, manung’uniko ni makubwa. Kazi ya Bunge hili ni kurekebisha sheria, kutoa mapendekezo na ushauri ambao Serikali ikifanyia kazi matumaini yataendelea kudumu kule kwa Watanzania" Mrisho Gambo.