Tunakwenda kushudia Bunge la ajabu tangu mfumo wa vyama vingi uanze nchini

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Tusitarajie wabunge wengi kuwa na busara kulalamikia kero za wananchi, kama maji, elimu na miundo mbinu mibovu. Maana wabunge wengi ni wa CCM na wao walikiri kuwa hawastahili kuwa bungeni bali walibebwa kwa mgongo wa JPM.

Kwenye hili bunge tutarajie kusikia haya tulioanza kusikia JPM kuongezewa muda, hata kama yeye hataki, tumchangie zawadi mwenyekiti wetu. Zahanati zipo vizuri maana awamu ya kwanza ya JPM zimejengwa nyingi hata kama hazina dawa. Kingine tutarajie kusikia wanasema Dodoma ni kama Toronto.

Hawa mburula 19 wa Chadema mufu ndio hovyo kabisa, mara kura ziliporwa! Sasa mbona mmeenda kuungana na waporaji? Mara kesi zinazohusu uchaguzi wa mwaka jana zifutwe! Kisa yeye alifutiwa kesi na Dipipi kimazabe. Kwa hawa wa Chadema tutarajie wakiomba kufanyiwa party ya usiku na Ndugai ili wale mviyo na kuku huku makamanda wakisota mitaan.
 
Aya ya kwanza na ya pili zinakinzana, as if wameandika watu wawili tofauti. Ila kama mwandishi ni mmoja basi ni wazi una hang'over ya jana bado.
 
Na wewe una roho ngumu sana kufuatilia kinachojiri uko bungeni.

Watu tuliisha hacha na tinaendelea na hamsini zetu kuusaka mkate wa kila siku.

Uko bungen msitarajie lolote la maana kwenu wale uwezo wao ni mdogo kuliletea taifa maendeleo.

Wanatufuata sana kt watsap kueleza serikali wanachokifanya hii ni kwa sababu wamejua kuwa siku izi hata magazeti hayanunuliwi, TBC haiangaliwi, radio za serikali hazisikilizwi, yaani waamue tu lolote sisi tuko poa tu.

Alamsiki
 
Jibu swali mamiii.
Hukumu ya mahakama ikitolewa unapelekwa gerezani kutumikia hukumu wakati huo taratibu ya kukata rufaa inaendelea; lakini waliofutwa uhanachama Chadema wao wanaendelea na uanachama wao licha ya kufutwa na wakakiri na kukata rufaa; sasa rufaa walikata kwanini? na kwanini Bunge linapokea watu waliokata rufaa ya kupinga kufutiwa uanachama?

Sometimes viongozi wa Bunge wanatudharau sana sisi walipa kodi kisa hatuwezi kuhoji matumizi ya kodi zetu..Inauma sana kutumia kodi za wananchi kwa namna ya kuwalipa watu wasiyohusika.
 
Sure, umeona eeee... na setikali na miccm inajua people are not interested na mambo yao wanayoyafanya as a result mda wote kwenye magroup ya watsap kujieleza.

Uku kwingine mpenda kusifiwa ana haha na kuishia kuimia kwan wakumsikiliza mpaka waandaliwe na analijua hilo.

Ni heri tuspend mda wetu kwenye epl na kufurai liva akinyukwa, uku man utd akiua ni raha mara100 kuliko kufuatilia udikteta wa akina ndugaye
Inahitaji akili ya mwendawazimu kufuatikia kinachoendelea Dodoma
 
Back
Top Bottom