Trump ataanzisha chama chake na ndio mwisho wa vyama viwili vyenye nguvu Marekani

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
6,191
13,615
Mzuka wanajamvi!

Donald Trump ataanzisha chama chake. Kitakuwa na nguvu sana na wafuasi wengi sana na wengi watakihama republican na kujiunga nacho.

Kwa mara ya kwanza utakuwa mwisho wa vyama viwili Marekani Republicans na Democrats kiwa na nguvu pekee yao.

Uchaguzi wa 2024 Marekani utakuwa wa kisisimua. Trump atarudi na mchuano utakuwa mkali sana kati ya Democrats, Republicans na chama kipya cha Trump.

Biden hatagombea tena muhula wa pili atakuwa amechoka sana na uzee na labda huenda asimalize muhula wake wa kwanza, Kamala Harris akachukua badala yake na kumaliza na kugombea 2024.

Mchuano mkali uchaguzi 2024 Marekani utakuwa kati ya Republicans, Democrats na Chama kipya cha Trump. Na Trump atakuwa Rais tena tuombe asiwe impeached second time.

Senior JF International political correspondent and analysts.

Masters
 
Trumplican Party

1. Impeachment of DJP ni inevitable

2. And then linching will intensify even more

3 US is clearly heading downwards FOREVER -- to put it more succinctly, it is at the peak of long-standing deterioration

4. China is the next hyper-politico-economic power in the world

5. Socialism and communism are resurrected to replace capitalism, as a leading political system. It fails miserably. Then there are endless wars and power struggles.
 
Ndio raha ya nchi kuwa na TAASISI MADHUBUTI.

Hakuna nafasi ya JANJA JANJA na MAIGIZO kama vinchi vyenu vya huko mavumbini.

Vinchi dhaifu kama Tanganyika visivyokuwa na TAASISI, Rais anatuma tu kimemo kwa Jaji, tena anatuma kwenye watsapu, Jaji anaanza kujinyea nyea.

Majaji wakipigwa mkwara, wote wanajificha uvunguni.

Marekani ni nchi haswa. It is a REPUBLIC WORTH THE NAME.

Trump na ulevi wake amenyooshwa kweli kweli. Taasisi zimemdhibiti kikamilifu.

Mahakama MADHUBUTI, Bunge MADHUBUTI, Taasisi za uchaguzi MADHUBUTI, Katiba MADHUBUTI. Inaleta ladha sana.

Huko Tanganyika ni kichefuchefu kitupu! Uswahili uswahili tu na janja janja.
 
Huyu jamaa huwa najikuta nikimkubali kwa alivyo king'ang'anizi, hehehe yaani kwa watu tulio na roho nyepesi tungekua tushakata tamaa na kuachia, ukisemwa kidogo tu unanuna na kuachia madaraka, ila hili njemba limetukanwa na vyombo vya habari, maandamano yamefanywa dhidi yake, mitandao ya kijamii imerindima matusi kumhusu lakini yupo yupo na tena ndio anawasha mzuka......huwezaje kupata usingizi.

Nimewahi kufanya kazi kama meneja wa watu wachache tu na ilivyokua kero kila siku yaani...najaribu kuwaza nguvu za kisaikolojia alizo nazo huyu Trump.
 
Mzuka wanajamvi!

Donald Trump ataanzisha chama chake. Kitakuwa na nguvu sana na wafuasi wengi sana na wengi watakihama republican na kujiunga nacho.

Kwa mara ya kwanza utakuwa mwisho wa vyama viwili Marekani Republicans na Democrats kiwa na nguvu pekee yao.

Uchaguzi wa 2024 Marekani utakuwa wa kisisimua. Trump atarudi na mchuano utakuwa mkali sana kati ya Democrats, Republicans na chama kipya cha Trump.

Biden hatagombea tena muhula wa pili atakuwa amechoka sana na uzee na labda huenda asimalize muhula wake wa kwanza, Kamala Harris akachukua badala yake na kumaliza na kugombea 2024.

Mchuano mkali uchaguzi 2024 Marekani utakuwa kati ya Republicans, Democrats na Chama kipya cha Trump. Na Trump atakuwa Rais tena tuombe asiwe impeached second time.

Senior JF political correspondent and analysts.

Masters
Ramli chonganishi
 
Ndio raha ya nchi kuwa na TAASISI MADHUBUTI.

Hakuna nafasi ya JANJA JANJA na MAIGIZO kama vinchi vyenu vya huko mavumbini.

Vinchi dhaifu kama Tanganyika visivyokuwa na TAASISI, Rais anatuma tu kimemo kwa Jaji, tena anatuma kwenye watsapu, Jaji anaanza kujinyea nyea.

Majaji wakipigwa mkwara, wote wanajificha uvunguni.

Marekani ni nchi haswa. It is a REPUBLIC WORTH THE NAME.

Trump na ulevi wake amenyooshwa kweli kweli. Taasisi zimemdhibiti kikamilifu.

Mahakama MADHUBUTI, Bunge MADHUBUTI, Taasisi za uchaguzi MADHUBUTI, Katiba MADHUBUTI. Inaleta ladha sana.

Huko Tanganyika ni kichefuchefu kitupu! Uswahili uswahili tu na janja janja.
Taasis madhubuti haishuki toka mbingun inapatikana kwa kufanya kazi na kujifunza kutokana na makosa na hayo yote yanahitaj muda sio swala kulala na kuamka hata hiyo marekan unayoitolea mfano ilikua ya hovyo bongo inasubir soma historian yao walikua wanauana km vyuku lkn hatimaye tunawatumia wao km ref.
 
Back
Top Bottom