El MENCHO21
New Member
- May 17, 2026
- 1
- 0
Leo nimenunua kifurushi kwa kutumia M-pesa kupitia menu ya vodacom ambapo walieleza wazi kuwa mteja atarudishiwa sh 75 baada ya ununuzi.Nimefuata maelekezo yote na nimekamilisha muamala,lakini hadi sasa sija pokea marejesho hayo
Naomba kujua kama kuna mda maalum wa kusubiri au kama hii ni changamoto inayowakumba wateja wengine pia. Vodacom mnaweza kutoa ufafanuzi wa ahadi hii ya kurejesha Tsh 75 ambayo haitekelezwi kwa wakati
Naomba kujua kama kuna mda maalum wa kusubiri au kama hii ni changamoto inayowakumba wateja wengine pia. Vodacom mnaweza kutoa ufafanuzi wa ahadi hii ya kurejesha Tsh 75 ambayo haitekelezwi kwa wakati