Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,135
- 29,792
VODACOM wakiishiwa kwa tulio na simu na line zao wanaiba mchana kweupee..!
Hebu ona ujumbe nimetumiwa..
"Umetozwa Sh 100.0 TSH kwa ajili ya hadithi BABA NISAMEHE. Piga 0901767676 kuweza kusikiliza simulizi nzuri. Kujitoa tuma neno ONDOA kwenda 15460"
Hapo nipende nisipende nimekatwa shs 100 toka akaunti yangu ya m-pesa.
Halafu ukituma neno ONDOA kwenye namba waliyokupa, ujumbe hauendi maana wsmeublock, na wanaendelea kukukata pesa.
VODACOM wana wateja zaidi ya milioni 10. Hivyo kwa click moja wamekwapua bilioni moja toka kwa wateja wao.
Hata tukilalamika TCRA huwa hakuna action yoyote ya kurudisha hiyo 1b kwa wateja.
Kuna wana sheria humu, twawezaje kishitaki VODACOM kwa wizi huu?
UPDATE
Wateja wa M-Pesa Vodacom ni Milioni 31.5.
Hivyo kwa kutozwa Tshs 100 kila mmoja , VODACOM wanaiba Tshs Bilioni 3.13 kwa mpigo.
Hebu ona ujumbe nimetumiwa..
"Umetozwa Sh 100.0 TSH kwa ajili ya hadithi BABA NISAMEHE. Piga 0901767676 kuweza kusikiliza simulizi nzuri. Kujitoa tuma neno ONDOA kwenda 15460"
Hapo nipende nisipende nimekatwa shs 100 toka akaunti yangu ya m-pesa.
Halafu ukituma neno ONDOA kwenye namba waliyokupa, ujumbe hauendi maana wsmeublock, na wanaendelea kukukata pesa.
VODACOM wana wateja zaidi ya milioni 10. Hivyo kwa click moja wamekwapua bilioni moja toka kwa wateja wao.
Hata tukilalamika TCRA huwa hakuna action yoyote ya kurudisha hiyo 1b kwa wateja.
Kuna wana sheria humu, twawezaje kishitaki VODACOM kwa wizi huu?
UPDATE
Wateja wa M-Pesa Vodacom ni Milioni 31.5.
Hivyo kwa kutozwa Tshs 100 kila mmoja , VODACOM wanaiba Tshs Bilioni 3.13 kwa mpigo.