VODACOM Arusha Njiro Bendera Saba, mtandao haupatikani

VODACOM Arusha Njiro Bendera Saba, mtandao haupatikani

Mtandao Vodacom una shida huku unasoma emergency shida ni Mimi au?
Population yenu ndogo, mkiongezeka kila kampuni itakuja huko, mtandao ni biashara na si huduma kama ulivyodanganywa na wanaasiasa.
 
Mtandao upo chini maeneo mengi kuna mtu nilikua nawasiliana nae nashangaa simu yake imekata ghafra na sio kawaida na hapatikani mpaka muda huu..
 
Sijui kwa nini huwa najikuta sio kubali tu vodacom.. Mtandao umekuwa wa kidwanzi sana huu
 
Malipo yote kidigitali. Sasa kaka yangu Mshana upo Handeni umeingia Esso au Agip kuweka mafuta, unawasha simu hamna mtandao, itakuwaje?
Mzee kama upo 😀😀😀 live umenilenga..😀😀ni aibu kama huna akiba za pembeni..
Hii Nchi kama mwendo ndio huu basi
 
Back
Top Bottom