Vodacom kuna tatizo gani?

Vodacom kuna tatizo gani?

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
32,854
Reaction score
82,007
Wakuu kwa ambae kanunua umeme,luku jana na leo kwa kutumia voda simshauri kuna tatizo kubwa sana huko voda watu tulionunua umeme jana leo tunalia na kusaga meno pesa zetu hazijarudishwa kampuni ishaanza wizi hii
 
Back
Top Bottom