Pangodotcom
Member
- Apr 16, 2020
- 11
- 3
NYUMBA INAUZWA TABATA KIMANGA
Nyumba ina sebule, jiko, mahala pa kulia chakula, Choo na bafu la jumuiya, vyumba viwili na master bedroom kimoja pia nyumba ina nyongeza ya chumba vya nje.
Kiwanja kina ukubwa wa 500 sqm
Kiwanja kina ofa na kimepimwa
BEI 50 million (negotiable)
Mawasiliano: 0629615557/ 0738317921