video

  1. Video Of Barrack Obama Predicting The Covid-19 5 Years ago Surfaces Online

    Footage has emerged of Barack Obama giving a clear and concise way for the United States to effectively combat a pandemic – back in 2014. As Donald Trump continues to deflect blame for the spread of coronavirus in the US, it would appear that his predecessor already had a plan in place to fight...
  2. S

    Video hii inayodaiwa ni Nkuruma Street, City Center jijini Dar-es-Salaam asubuhi ya leo, inahusu tukio gani?

    Wadau, kuna video inasambaa huko mitandaoni ikionyesha wahudumu wa afya katika mtaa unaotajwa ni mtaa wa Nkuruma street katika ya jiji asubuhi hii wakitoa kinachoonekana ni mwili wa mtu huku wakiwa wamevaa gloves na mavazi maalumu ya kuwakinga na maambukizi (protective gear). Swali:kuna nini...
  3. Kinachowatokea waafrika wenzetu huko China ni kweli -Video.

    Angalia dakika 3 za mwanzo.
  4. F

    Wadau nasikia Rais Museven kapiga pushups na kukimbia kuliko hata kijana mdogo

    Wadau mada hapo juu yajitosheleza, siamini nilichosikia juzi BBC Radio- Swahili.
  5. Wataalamu wa graphcs design, tunadesign logo, posters stickers na vipeperushi kwa bei sawa na bure

    habari zenu wakuu, kwa wale wote wanaotaka LOGO kwa ajili ya makampuni, NGO's na mashirika mbal mbali, ukitaka LOGO ya 3D au 2D zote tunadesign kwa 50,000 tu unapata brand logo yako nzuri na yakuvutia... pia ukiitaji POSTERS zenye kuvutia wasomaji tunadesign kwa 20,000 tu...na pia ukiitaji...
  6. Kuhusu sheria ya kuweka video YOUTUBE

    Wakuu, Naomba kujuzwa kuhusu sheria iliyowekwa hapa Tanzania ya kupost content kwenye youtube channel. Je, ni content za aina gani ambazo zinapaswa kulipiwa hiyo tshs 1,000,000 au labda ni channel yoyote ile mradi tu unafungua youtube? Hii ni njia mbaya kabisa ya kuzuia vijana kujipatia...
  7. Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

    Baada ya kuona Corona inawachakaza wazungu vibaya mno, wanasayansi wao wameamua kufanya mipango ya kuja kuwatumia wa-Afrika weusi kama ‘guinee pigs’ (panya wa majaribio) kwa kisingizio cha kuja kutoa chanjo, kumbe lengo ni kufanyia utafiti hizo chanjo kuona ipi ina madhara na ipi inafanya kazi...
  8. Wizara ya Elimu imeshindwa kuandaa audio na video ya vipindi vya masomo mbalimbali?

    Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida? Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia Hii Wizara iamke usingizini
  9. Video: Hivi ndivyo kipimo cha Corona Virus kinavyofanyika

    Kwa hapa Tanzania bado tunapima JOTO Unaweza kuona namna hali isivyo shwari. Dunia imefikia hapa kwa kutokuwa serious kwetu kuhusu COVID-19 tang mwanzo.
  10. Harmonize ameniangusha kwenye Bedroom video

    By Sangu Joseph . Ninawaza kuwaambia watu nimeiona video ya Bedroom ya Harmonize_tz na hasa nikikumbuka Mzee wangu Jakaya Kikwete alipoteza muda wake kushuhudia uzinduzi wa hii Audio, nadhani kama angejua Video Ingekua hivi ambayo Mimi nimeiona angeagiza usiimbwe pale Mlimani. Afroeast ya...
  11. Mkutano wa G7 utafanyika kupitia video

    Rais wa Marekani Donald Trump amefuta Mkutano wa viongozi wa mataifa 7 tajiri dunaini G7 na badala yake watazungumza kwa njia ya vidio kutoa fursa kwa viongozi kushughulikia mpripuko wa maambukizi ya virusi vya corona katika nchi zao.Mkutano huo uliokuwa uwakutanishe viongozi wa mataifa ya...
  12. UK’s most senior black female police officer has been sacked

    One of the UK's most senior black female police officers has been sacked after her conviction for possessing a video clip of child abuse. Supt Robyn Williams was ruled by Metropolitan Police Assistant Commissioner Helen Ball to have committed gross misconduct. At a fast-track misconduct...
  13. M

    Vifaa vya kipekee kwa ajili ya Video Production vinauzwa

    Vifaa hivi vinauzwa kwa ajili ya matumizi ya Go Pro camera vifaa vya kufungia sehem mbali mbali kwenye maji, gari, pikipiki na hata baiskel kwa angle unayotaka na ukapata shoot yako nzuri na kwa position unayoitaka. Jipatie vifaa hivi kwa 100,000/= & 150,000/= vinakua box. CALL WHATSAPP &...
  14. Msaada kwa anae fahamu kujirecord video na kuiwekea wimbo wowote kwenye background

    JAmani wanajamvi nilikua na utata, kama kuna mtu anaweza utundu wa kuweka muziki kwenye video ya kujirecord anielekeze, au hata kama kuna app basi tuambizane.
  15. Video: BAVICHA yawaapisha vijana wa Sumbawanga kiapo cha utayari

    Kiapo kiliongozwa na Twaha Mwaipaya , kijana ambaye nyota yake ya uhamasishaji kwa muda mfupi aliopewa madaraka inatisha mno !
  16. F

    Video: Obama aiponda demokrasia yetu

    Ushindi wa 90% huku watu wakiwa wamezibwa midomo? Asema ni mchezo wa kuigiza.
  17. Video nilizochukua na simu haziplay vizuri kwenye PC

    Kwa watu wenye uelewa wa hili tatizo naombeni mnisaidie, Video ninazozirekodi na simu yangu ya Samsung huwa haziplay vizuri kwenye computer, video ina play kisha inasimama simama wakati track bar ya program ya kuplay video inatembea.Track bar ni kile kiashiria kinachoonyesha video ipo sekunde...
  18. Hivi Serikali imechukua hatua kufuatia ile video ya ngono inayosambaa mtandaoni?

    Kuna kila dalili ya jinai ya kubaka ikiwahusisha wanawake katika hii connection mpya mjini. Kwa uelewa wangu mdogo wa sheria zetu Tanzania, mwanamke hawezi kuwa convict kwa kosa la ubakaji unless iwe gang rape na huyo mwanamke/wanawake wahusike katika kusaidia ubakaji kufanyika. Hii connection...
  19. Hiki hapa kikao kizito cha Mbunge wa Mbeya na madereva wa bodaboda wa Mbeya Mjini, yeye hakubeba jeneza

    Hizi ndio zinazoitwa siasa za Mars
  20. Waziri mwanamama wa Kenya ashutumiwa kwa kupenda kuangalia video za ngono ofisini

    Wakenya mko wapi mtuambie ni nani huyu!
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…