video

  1. Tajiri wa Dunia

    JamiiForums Tanzania Unataka kujua Plugins zenye vinanda vizuri? Tembelea video hii

    Najua kuna watu wanapenda kutengeneza beat za muziki zenye viwango vya juu kwa kutumia FL Studio. Hunabudi kuzijua plugins zitakazokusaidia katika hilo. Basi kama unataka kujua Plugins zenye vinanda vizuri tembelea video hii.
  2. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: CHADEMA wafanya sherehe Mjini Morogoro

    Huu ndio uzuri wa Chama cha siasa kinachosimamia misingi ya haki, huwa mnajiachia tu kwa vile hakuna kulogana wala kinyongo. Hebu jionee mwenyewe.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Video: Boss mchina apokea mkong'oto kutoka kwa mfanyakazi mwafrika

  4. Slowly

    JamiiForums Tanzania Video : Michael Jackson wa Afrika

    Tukutane sheli
  5. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Freeman Mbowe apokelewa kwa kishindo Shinyanga. Shangwe na vigelegele vyarindima

    Ikumbukwe kwamba Leo Mh Mbowe ataongoza kikao cha Kamati ya utendaji ya Kanda ya Serengeti Mjini Shinyanga , Hivi ni vikao vinavyoendelea vya OPERESHENI HAKI vyenye lengo la kudai Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi . Sasa mapokezi yake ndio kama mnavyoona , siongezi chumvi.
  6. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Msafara wa CHADEMA kuelekea Shinyanga Usipime! Maandalizi yakamilika

    Vikao vya ndani vinaendelea kurindimishwa na CHADEMA kama ada, hii ni katika ule mpango Mkakati wa Operesheni Haki, ambapo zamu ya Shinyanga ni 28/5/2021. Sasa huu hapa ndio Msafara wao kuelekea huko, jionee mwenyewe. Nyingine hii hapa
  7. The Boss

    JamiiForums Tanzania Hadi zianze kuvuja na video ndo tufute viti maalum bungeni?

    Kwa mtanzania wa kawaida ukisema mbunge wa viti maalum .. Wazo la haraka linakuja ni 'mdada chepuko wa kigogo wa wa siasa' nchini Au na siku hizi wadangaji wa huko bungeni... Ni nadra Sana watu kuwaza 'kiongozi wa kuheshimiwa na kutumainiwa'likitajwa neno 'mbunge wa viti maalum'.. Wakati wa...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kunyanyua vitu vizito (crane) bandarini Dar Es Salaam yatumbukia baharini

    Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inaujulisha Umma kuwa Jumapili tarehe 23 Mei 2021, Majira ya saa 8 Mchana katika Bandari ya Dar es Salaam, mashine ya kunyanyua vitu vizito (crane) iliyokuwa ikishushwa kutoka kwenye meli ya LCT AJE 1 ilipata ajali ya kutumbukia baharini. Mashine...
  9. Faana

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naomba nisaidiwe kupata kipande cha video hii

    Somo hapo lahusika, naomba nisaidiwe kupata kipande cha video hii kuanzia dakika ya 17:30 na kuendelea ina jambo muhimu kutoka kwa Hayati Mwl J K Nyerere Video
  10. M

    JamiiForums Tanzania Video ikimuonesha MuIran akichoma moto bendera ya Israel badala yake ikamchoma moto mwenyewe

    Inakuwaje wanajamvi! Mkiambiwa Israel ni taifa teule takatifu la Mungu wa kweli mnabisha. Hii Video inasambaa kwa kasi sana kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha raia wa Iran akichoma moto bendera takatifu ya taifa teule la Israel na badala yake bendera ikamchoma moto mwenyewe. Mungu mwenyewe...
  11. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Watoto Walindwe: Mtoto apigwa kama mnyama, ugomvi wangu ni huyu aliyechukua hii video anaroho mbaya sana

    Wazazi na jamii kwa ujumla hatuna budi kuwapa ulinzi watoto mahali popote pale unapokutana na tukio ambalo si la kiungwana kwa watoto, mtoto hata kama si wako ni wajibu wako kumlinda. Nimetafakari nikakosa majibu huyu aliyekuwa anachukua video hii alikuwa na roho gani? Badala ya kumuokoa mtoto...
  12. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Mbinu za Kimila za kuiangusha Kaizer Chiefs zaanza kutumika

  13. Mt Paulo

    JamiiForums Tanzania Application ya Kutafsiri sauti ya lugha za kwenye Video

    Habari ya mda huu wana JF Kama kichwa kinavyojieleza wadau Hivi hakuna application inayoweza kutafsiri sauti ya kwenye video au audio ya kwenye video
  14. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Laana ya kumhujumu Meya Isaya Mwita yamtafuna Mkurugenzi Sipora Liana, adhalilishwa kikaoni

    Hii ni aibu sana. Hata kama ni ofisa Kipenyo lakini kwa haya ni fedheha, hawa ndio walokole wa Tanzania! Noma sana. Kumbe wanapigiana simu gizani! Zaidi soma: RC Makalla amaliza mgogoro wa Meya na Mkurugenzi Kinondoni
  15. F

    JamiiForums Tanzania Video: Waziri Adolf Mkenda, Waziri mwenye presentation skills nzuri zaidi na presidential material

    Huyu waziri wa kilimo Proffesor Mkenda ni mtu mwenye uwezo mzuri wa kupresent hoja zake, ni msomi mahiri na atatufaa sana siku moja kwenye kile kiti kikubwa.
  16. Mkaruka

    JamiiForums Tanzania Ufalme wa Hanscana kama Video Director umefikia mwisho- Amekuwa mwenye hofu sana sasa hivi

    Tasnia ya utengenezaji wa video za wasanii wa Bongo fleva imeanza kitambo sana. Kumekuwa na Directors wengi lakini mapinduzi ya video yamekuwa yakifanywa na Directors ili kuanzisha either trend mpya au Directors wenyewe kulazimika kukua baada ya wasanii kutaka video zenye ubora. Kuna wakati...
  17. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Kiongozi Mshamba wa UVCCM Tarime atangaza kipigo kwa wapinzani, wala hajaguswa na Polisi

    Ushahidi huu hapa .
  18. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Tunaposema CHADEMA ni taa ya nchi hatutanii, hebu angalia video hii

    John John Mnyika alishaweka angalizo mapema sana kuhusu chanjo ya COVID-19, sasa angalieni kilichosemwa leo .
  19. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Video: Kombora la Israel lilivyoangusha jengo la ofisi za Al Jazeera

    Mashambulizi ya makombora katika eneo la Gaza yanaingia siku ya sita mfululizo, huku idadi ya vifo ikiongezeka kufikia watu 140, wakiwamo watoto 39. Israel imeendelea kutumia makombora kushambulia majengo marefu katika eneo la Gaza, ikilenga jengo la ofisi za Shirika la Habari la Al Jazeera na...
  20. politicians

    JamiiForums Tanzania Anahitajika VIDEO EDITOR

    Habari wadau! Anahitajika mtaalamu wa video editing,awe anajua kuedit vizuri video na mzoefu, tuma sms kwenye namba hii 0687234549. Note:awe mkazi wa Daressalaam.
Back
Top Bottom