uzuri

Imani Uzuri is an American vocalist and composer.Uzuri has collaborated with a cross section of artists across various disciplines including Herbie Hancock, John Legend, Vijay Iyer, Sanford Biggers, Carrie Mae Weems, Wangechi Mutu and Robert Ashley.
In 2012 Uzuri released her critically acclaimed second album, The Gypsy Diaries, which was funded with a successful Kickstarter campaign. Uzuri was a 2015 Park Avenue Armory artist-in-residence. March 2016 will mark Uzuri's Lincoln Center's American Songbook series debut.

View More On Wikipedia.org
  1. mrengo wa kushoto

    JamiiForums Tanzania Pensheni na kikokotoo: Usichokijua kuhusu uzuri wa kikokotoo, kwa mafanikio na bata la uzeeni

    Lengo zima la mifuko ya jamii ni kumkinga na kumlinda mwanachama wake dhidi ya majanga. Majanga ni vitu vyoote vinavyoweza kuondoa au kupunguza uwezo wa mtu kuzalisha. Moja ya janga kubwa ni UZEE.Tunaliita ni janga kwasababu tunaamini huna uwezo wa kuzalisha na kuchangia kiuchumi kama...
  2. MIXOLOGIST

    JamiiForums Tanzania Uzuri na hela

    Wasalaam wana JF Nilikua na intoxicate myself nahisi kama kuna uhusiano kati ya uzuri na hela. Niko sehemu very poshy iko na watoto wazuri sana nadhani ata mbinguni hakutakua na watu wabaya. Kwani waislam wanasemaje mabikira 7 si ni pisi kali?
  3. May Day

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Si sawa kumpongeza Mtu kwa uzuri alionao, hana mchango wowote kwa yeye kuwa hivyo

    Sio tatizo kumpongeza Mtu alivyovaa na kupendeza, lakini ni vipi unampongeza Mtu kwa kuwa ni Mzuri au umbile lake zuri?...sio tatizo kumpongeza Mtu aliyefanya mazoezi na kutengeneza muonekano wa mwili (body building). Hivi kwa akili zetu hizi huyo tunayempongeza ana mchango gani kumfanya yeye...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Watoto wafanya maonesho ya mavazi ya kikabila ya Hanfu ili kuonyesha uzuri wa utamaduni wa jadi

    Tamasha la kwanza la mavazi ya jadi ya Hanfu la watoto lilifanyika Jumatano wiki hii mjini Shenyang China. Kwenye jukwaa la maonesho, sambamba na muziki wa mtindo wa kale, watoto walionesha uzuri wa mavazi ya Hanfu na utamaduni wa jadi wa China. Kutokana na shughuli hiyo, watoto walijifunza...
  5. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Uzuri wa Chadema ni wanafiki!

    Leo wanajifanya kumponda sana Magufuli huku wakitambua wazi huko kwa wananchi wa kawaida jina Magufuli ni turufu mno kisiasa. Sasa basi,ifikapo 2024 kila rangi ya Chadema na watu wake watahamia kumsifia Magufuli kwa kigezo kilekile cha kujishindia kura huku wakimsifu kwa mema yake na watadai...
  6. papag

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzuri wa mwanamke ni muonekano wake

    Uzuri wa mwanamke ni muonekano wake[emoji817] Kama uzuri wa mwanamke ungekuwa maumbile yake ya ndani basi wanaume wangeridhika na mwanamke mmoja kwa sababu moja tu :- [emoji830] mwanaume hafiki kileleni kwa ubora wa maumbile ila kwa hisia zake. Hapo ndipo maana ya upendo wa mwanaume hutoweka...
  7. GokuOne

    JamiiForums Tanzania Safisha macho yako - Part 1

    Moja kwa moja... Staajabu ubunifu wa mijengo duniani.... 1.Museum Moderner Kunst Stiftung Ludwig Wien, Vienna, Austria 2. ARoS Aarhus Art Museum, Aarhus, Denmark 3.Gardens by the Bay, Singapore 4.VIA 57 West, New York City, United States 5.The Atomium, Brussels, Belgium 6.Galaxy Soho...
  8. Bess

    JamiiForums Tanzania Tanzania namba 4 kwa uzuri duniani(4th beautiful country in the world).

    Ripoti iliyotolewa inaonesha Tz ni namba 4 kwa uzuri duniani. Nchi ya kwanza ni Indonesia, ikifuatiwa na New Zealand, Colombia na Mexico. Kenya wameingia kumi bora pia kwa kushika namba 6. https://nairobinews.nation.co.ke/kenya-ranked-sixth-beautiful-country-in-the-world/
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kama tutatumia mabilioni Kwa miaka mitano viongozi walewale kuitana na kutuambia AMANI, MSAMAHA NA UZURI wa mtawala, lini tutakaa na wananchi?

    Hii mikutano inayoandaliwa Kila Siku na Serikali inagharimu Fedha nyingi Sana za walipa Kodi. Lakini waudhuriaji ni watu walewale na wazungumzaji ni wale. Dhima ya mikutano hii yote nikuwaaminisha wananchi kwamba Serikali Kuna Jambo inafanya Kwa ajili ya wananchi, wazungumzaji wote wanazungumza...
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Sioni uzuri huo wa 'Sure Boy' ambao Wachambuzi wa Michezo leo mnamsifia nao. Wilson Oruma acha Unafiki na Kuichukia mno Simba SC

    Huko tunakoelekea mtatusababisha akina GENTAMYCINE tusiovumilia Upumbavu na Unafiki wenu tuwe tunakuja Kuwazaba ( Kuwawamba ) Vibao huko Studioni mliko kwani tumeshawachoka sasa. Eti Kiungo Aboubakary Salum 'Sure Boy' ndiyo Kiungo bora wa Uchezeshaji kuwahi kutokea Tanzania. Hivi nyie...
  11. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Uzuri wa mapambo na mpangilio wa ndani ya nyumba

  12. Superbug

    JamiiForums Tanzania Namshauri mchumba wa Sabaya aolewe mapema Sabaya amechafuka na haajiriki Tena na hataweza kumbeba na uzuri ule

    Kifupi sabaya ni zero empty na hakuna future Wala connection kuwa Nate. Yule mwanamama wake ni mlimbwende na bado Ana ndoto na maono makubwa aachane na sabaya ; sabaya ameshafeli maisha ni zero set aachane nae aolewe na mwanaume mwenye future.
  13. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke hata uwe mzuri vipi mwanaume atachepuka tu, uzuri haumzuii mwanaume kuchepuka

    Wanawake wengi hasa wenye maumbile mazuri hua wanaamini uzuri ni kama kinga yao kwa waume zao ili wasichepuke. Mwanamke akishakuwa mzuri anaamini mume ama mpenzi wake hana sababu ya kuchepuka kwani yeye huyo mwanamke anaamini mwanaume wake hana anchokikosa kwa sababu yeye ni mzuri. Utashangaa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nimemsikiliza vizuri Askofu Gwajima, nina maswali machache juu ya nadharia yake

    Nimesikiliza kwa umakini sana juu ya mambo aliyoyasema mchungaji Gwajima. Nina maswali machache sana juu ya nadharia yake juu ya korona na namna alivyosema na kuaminisha watu: 1. Yeye ni mtumishi wa Mungu na anaamini Mungu ni alfa na omega na hashindwi na chochote, sasa kama ni hivyo kwanini...
  15. nover

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu amenyoa nywele na zilikuwa zinanivutia sana

    Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu...
  16. Kukudume2013

    JamiiForums Tanzania Je uzuri wa ku download na ule wa natural upi unapenda wewe?

    Miaka ya karibuni kumezuka hombwe la kufata mkumbo kutoka magharibi (utandawazi) ktk nyanja nyingi. Leo hii nitazungumzia nyanja moja tu ya urembo. Utaona wadada wetu wanajiremba na kujirembua kwa kasi ikiwemo kubadilisha maumbile yao kama MAKALIO.MATITI.NYWELE .MAKUCHA NK. na hata rangi zaoza...
  17. A

    JamiiForums Tanzania Uzuri wa kazi ya shift

    Kazi ya shift inaweza kuwa shift ya asubuhi, mchana au usiku kutokana na ratiba inayowekwa na kiongozi. Ukiwa unafanya kazi ya shift, ni rahisi sana kuwakwepa wanao kudai. Ukipigiwa simu unasema niko kazini hakuna anaejua shift yako ya leo.
  18. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

    Hii hapa ni orodha ya Miji mizuri Tanzania. 1-Dar es Salaam (Mzizima) Eneo la mkoa ni jiji la Dar es Salaam ambalo ndilo kitovu cha shughuli za biashara (na za utawala, kwa kiasi fulani) nchini Tanzania, na ni kati ya majiji yanayokua haraka zaidi duniani. Ni km² 1,800 pamoja na visiwa vidogo 8...
  19. Mandela5599

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyopata mke, Mwanzo sikumpenda ila sasa nampenda sana

    Nilikuwa na mchumba wangu ambaye nilimpenda sana. Tulidumu kwenye mahusiano kwa miaka 4. Ujasiri wa kumpenda ulikua mkubwa sababu nilimjua tu baada ya yeye kumaliza kidato cha nne. Mtoto alikua na bikra na jinsi alivyokua mzuri ni kitu ambacho sikutarajia Wakati huo tulikua Arusha, nilihamia...
Back
Top Bottom