Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Leo wanajifanya kumponda sana Magufuli huku wakitambua wazi huko kwa wananchi wa kawaida jina Magufuli ni turufu mno kisiasa.
Sasa basi,ifikapo 2024 kila rangi ya Chadema na watu wake watahamia kumsifia Magufuli kwa kigezo kilekile cha kujishindia kura huku wakimsifu kwa mema yake na watadai wamemsamehe kwa sababu ya makosa ya kibinadamu.
2024 Magufuli kwa chadema ATAKUWA NI SHETANI MWENYE MAZURI YAKE PIA.
Muda utasema.
Sasa basi,ifikapo 2024 kila rangi ya Chadema na watu wake watahamia kumsifia Magufuli kwa kigezo kilekile cha kujishindia kura huku wakimsifu kwa mema yake na watadai wamemsamehe kwa sababu ya makosa ya kibinadamu.
2024 Magufuli kwa chadema ATAKUWA NI SHETANI MWENYE MAZURI YAKE PIA.
Muda utasema.