Je, kwenye familia au ukoo wenu ulikutana na huu mkasa?
Wapo watu ambao wakizeeka hasa kuanzia umri wa miaka 70 na kuendelea, wanandugu mtapitia kipindi kigumu sana ambacho kama nyinyi hamtomuelewa mtaishia kugombana nyote, na hamtoelewana abadan.
Anaweza kuwa baba, mama, bibi, babu, dada...