uturuki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Serikali iingilie kati ukatili dhidi ya Watanzania waishio Uturuki na nchi za Kiarabu

    Nadhani mwaka jana, Serikali ilipata wakati mgumu sana kupitia balozi zake, kwani balozi hizo zilivamiwa na kesi nyingi za watanzania kunyanyasika nchi za kiarabu na China. Kinachoendelea sasa ni ya kutisha kwani wadada wengi sana, wanakimbilia Dubai, Oman na Uturuki kujiuza. Siku ya Ijumaa...
  2. FRANC THE GREAT

    Sakata la ununuzi wa S-400: Marekani yaiwekea vikwazo Uturuki

    Habari! Marekani imetangaza rasmi [Jumatatu] kuiwekea vikwazo Uturuki baada ya Ankara kutekeleza mpango wake wa ununuzi wa mfumo wa kijeshi wa ulinzi wa anga ujulikanao kama S-400 kutoka nchini Urusi. Takribani mwaka mmoja na nusu baada ya Uturuki kununua mfumo huo, Rais wa Marekani Donald...
  3. FRANC THE GREAT

    Sakata la ununuzi wa S-400: Uturuki kuwekewa vikwazo

    Habari! Mpango uliofikiriwa muda mrefu wa kuiwekea vikwazo nchi ya Uturuki juu ya hatua ya nchi hiyo kununua mfumo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka nchini Urusi umeripotiwa kukamilika. Kulingana na vyanzo mbalimbali wakiwemo maafisa kutoka nchini Marekani wameweka bayana kukamilika kwa mpango...
  4. Lord Denning

    Urusi kuangushwa na Uturuki katika Mgogoro wa Azerbaijan na Armenia. Je, huu ndio mwisho wa Urusi?

    Amani iwe nanyi wadau Tanzania ikiwa inaendelea na uchaguzi mataifa wawili yalikuwa vitani(Armenia na Azerbaijan). Armenia ikiungwa mkono na Urusi kwa kuwa na watu wengi wanaozungumza kirusi (Christian Orthodox) na Azerbaijan ikiungwa mkono na uturuki kwa kuwa majority ya population yao ni...
  5. Shadida Salum

    Tetemeko lenye ukubwa wa 7.0 laipiga Uturuki, 14 wafariki

    Tetemeko la Ardhi lililotokea mchana wa Ijumaa ya tarehe 30 Octoba 2020 katika ukanda wa Bahari ya Aegean limeharibu miundombinu katika miji ya pwani. Watu katika Mji uliopo Magharibi mwa Uturuki , Izmir wamekusanyika katika mitaa baada ya kuyakimbia majengo yao wakitafuta usalama. Meya wa mji...
  6. Nyendo

    Mwanamfalme atuhumiwa kwa kuagiza mauaji ya mwandishi wa Saudia, Jamal Khashoggi

    Mchumba wa mwandishi wa Saudia Jamal Khashoggi aliyeuawa nchini Uturuki amewasilisha kesi mahakamani dhidi ya mwanamfalme wa Saudia, akimtuhumu kwa kuagiza mauaji hayo. Inaelezwa kuwa Kashogi aliachana na Kundi la wasomi wa Saud Arabia tangu mwaka 2017 na baadae kuhamia Washington ambao...
  7. M

    Wakili Robert Amsterdam ni nani?

    Baada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua. Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa...
  8. kavulata

    Samatta kwenda Uturuki tumpe Hongera au Pole?

    Kuna wanaosema ni bora aende Uturuki akapate nafasi ya kucheza na kuna wanaosema kutokana na umri wake kiwango chake kimeshuka na kinakwenda kushuka zaidi huko Uturuki bora angebaki tu EPL. Ukweli ni upi? Kwani ligi ya Uturuki na ile ya Ubelgiji alikokuwa ni bora ipi?
  9. isajorsergio

    Jamhuri ya Uturuki | Türkiye Cumhuriyeti

    Jamhuri ya Uturuki, Türkiye Cummhuriyeti au Republic of Turkey Uturuki ni taifa lenye mipaka baina ya Asia na bara Uropa, asilimia 97 ya taifa limelalia upande wa Asia huku 3 ikiwa Ulaya. Uturuki yenye mipaka na bahari ya Mediterrania 'Mediterranean Sea', bahari ya Aegea 'Aegean Sea', peninsula...
  10. Mlaleo

    Meli ya Tanzania yangundulika kusambaza Silaha nchini Libya. Je, Nasi tutawekewa Vikwazo na Mabeberu?

    Get short URL FILE PHOTO: Annual NATO's Submarine Warfare Exercise DYNAMIC MANTA held with the naval forces of Turkey, Canada, France, Germany, Greece, Italy, Netherlands, Spain, United Kingdom and USA in Palermo, Italy on February 25, 2019 © Getty Images / Dursun Aydemir/Anadolu Agency When...
  11. Miss Zomboko

    Uturuki yarudisha raia wake nyumbani kutoka mataifa mbalimbali ikiwemo Tanzania kutokana na maambukizi ya Corona

    Raia wa Uturuki wamehamishwa kutoka Ujerumani na Tanzania mapema Jumapili na kuwekwa chini ya kizuizi(karantin) cha siku 14 ili kupunguza kuenea kwa virusi vya corona. Jumla ya Waturuki 157 kutoka Ujerumani wamepelekwa mkoa wa Kayseri na baadaye kupelekwa katika mabweni ya wanafunzi kwa ajili...
  12. Miss Zomboko

    Uturuki yawashtaki watu 20 akiwemo Mkuu wa kitengo cha ujasusi cha Saudia kwa mauaji ya Mwandishi Kashoggi

    Uturuki imewashtaki raia wa Saudi Arabia wanaotuhumiwa kumuua mwandishi habari Jamal Khashoggi, akiwemo aliyekuwa naibu mkuu wa kitengo cha ujasusi, mshauri wa familia hiyo ya kifalme pamoja na washukiwa wengine 18. Kupitia taarifa, ofisi ya mwendesha mashtaka mjini Istanbul imesema...
  13. K

    Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

    Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi. Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi muda sio mrefu. S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya...
  14. Miss Zomboko

    Uturuki kulipiza kisasi kwa Syria baada ya kuua wanajeshi wake

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameionya serikali ya Syria kwamba italipa gharama kubwa kutokana na mashambulizi yake dhidi ya majeshi ya Uturuki katika eneo la kaskazini mashariki mwa Syria. Wanajeshi watano wa Uturuki waliuawa katika mji wa Idlib unaodhibitiwa na upinzani siku ya...
  15. Analogia Malenga

    Tetemeko la ardhi la ukubwa wa 6.7 Elazığ Uturuki

    Watu 14 wafariki katika tetemeko la ardhi katika eneo la Mashariki mwa Uturuki. Tetemeko la ardhi ambalo lilikuwa na ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richter limetokea Elaziğ na kusababisha vifo vya watu 14 na kuwajeruhi watu wengine zaidi ya 300. Tetemeko hilo limetokea majira ya saa mbili...
  16. FRANC THE GREAT

    Uturuki yasema imemkamata dada wa kiongozi wa IS aliyeuawa, al-Baghdadi

    Uturuki imesema kuwa, imemkamata dada wa kiongozi wa IS aliyeuawa, al-Baghdadi Uturuki imemkamata dada mkubwa wa kiongozi wa Islamic State (IS) aliyeuawa Abu Bakr al-Baghdadi kaskazini magharibi mwa Syria, maafisa wa Uturuki wanasema. Vyombo vya habari, Reuters na AP vilimnukuu ofisa mmoja...
  17. FRANC THE GREAT

    SYRIA: Mapambano yazuka kati ya vikosi vya serikali ya Syria na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki

    Mapambano yazuka nchini Syria kati ya vikosi vya serikali ya Syria na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki Wanajeshi wa Syria wamekabiliana kwa mara ya kwanza na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki wakisaidiwa na mashambulizi ya makombora kaskazini mashariki mwa Syria. Hayo yameelezwa na kundi...
  18. Kurzweil

    Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi

    Serikali ya Tanzania yasema haina ushahidi wa kutosha kuzitia hatiani shule za Feza zinazodaiwa kumilikiwa na raia wa Uturuki anayetuhumiwa kujihusisha na jaribio la kupindua Serikali ya Uturuki. Serikali ya Uturuki inadai wamiliki wa shule hizo na baadhi ya wafanyabiashara wanafadhili ugaidi...
Back
Top Bottom