uturuki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Uturuki kulipiza kisasi kwa Syria baada ya kuua wanajeshi wake

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameionya serikali ya Syria kwamba italipa gharama kubwa kutokana na mashambulizi yake dhidi ya majeshi ya Uturuki katika eneo la kaskazini mashariki mwa Syria. Wanajeshi watano wa Uturuki waliuawa katika mji wa Idlib unaodhibitiwa na upinzani siku ya...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Tetemeko la ardhi la ukubwa wa 6.7 Elazığ Uturuki

    Watu 14 wafariki katika tetemeko la ardhi katika eneo la Mashariki mwa Uturuki. Tetemeko la ardhi ambalo lilikuwa na ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richter limetokea Elaziğ na kusababisha vifo vya watu 14 na kuwajeruhi watu wengine zaidi ya 300. Tetemeko hilo limetokea majira ya saa mbili...
  3. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Uturuki yasema imemkamata dada wa kiongozi wa IS aliyeuawa, al-Baghdadi

    Uturuki imesema kuwa, imemkamata dada wa kiongozi wa IS aliyeuawa, al-Baghdadi Uturuki imemkamata dada mkubwa wa kiongozi wa Islamic State (IS) aliyeuawa Abu Bakr al-Baghdadi kaskazini magharibi mwa Syria, maafisa wa Uturuki wanasema. Vyombo vya habari, Reuters na AP vilimnukuu ofisa mmoja...
  4. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania SYRIA: Mapambano yazuka kati ya vikosi vya serikali ya Syria na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki

    Mapambano yazuka nchini Syria kati ya vikosi vya serikali ya Syria na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki Wanajeshi wa Syria wamekabiliana kwa mara ya kwanza na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki wakisaidiwa na mashambulizi ya makombora kaskazini mashariki mwa Syria. Hayo yameelezwa na kundi...
  5. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi

    Serikali ya Tanzania yasema haina ushahidi wa kutosha kuzitia hatiani shule za Feza zinazodaiwa kumilikiwa na raia wa Uturuki anayetuhumiwa kujihusisha na jaribio la kupindua Serikali ya Uturuki. Serikali ya Uturuki inadai wamiliki wa shule hizo na baadhi ya wafanyabiashara wanafadhili ugaidi...
Back
Top Bottom