UTAJIRI NI SIRI, NA SIRI NDIO UTAJIRI WENYEWE
Kwa Mkono wa, Robert Heriel
Kabla hujaanza kutafuta utajiri, basi kwanza kabisa jifunze kuwa na Siri. Huwezi kutafuta utajiri kama huna siri, na kamwe huwezi pata utajiri kama wewe sio mtu wa Siri.
Huwezi pewa nafasi nyeti, nafasi kubwa kama wewe...