kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 367
- 679
Habarini wana nnzengo wa JF, natumai wote ni wazima.
Kuna jambo niwashirikishe labda mtanisaidia wakuu, haiwezekani unapiga simu ya mpenzi wako saa 6 usiku inatumika halafu akwambie alikuwa anaongea na dada yake. Sasa mimi nimekaza nimemwambia siwezi kumuelewa mpaka aniambie alikuwa anaongea na nani muda huo na screenshots zote nazitaka.
Yaani nahisi kudanganywa wazi wazi, halafu namwambia kajibu powa, sasa anijui vizuri huyu.
NB: Siyo mbaya naona malaika mtoa roho analimendea penzi langu
Kuna jambo niwashirikishe labda mtanisaidia wakuu, haiwezekani unapiga simu ya mpenzi wako saa 6 usiku inatumika halafu akwambie alikuwa anaongea na dada yake. Sasa mimi nimekaza nimemwambia siwezi kumuelewa mpaka aniambie alikuwa anaongea na nani muda huo na screenshots zote nazitaka.
Yaani nahisi kudanganywa wazi wazi, halafu namwambia kajibu powa, sasa anijui vizuri huyu.
NB: Siyo mbaya naona malaika mtoa roho analimendea penzi langu