GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Je,
1. Mlipozima mliagizwa au ni kiherehere chenu tu cha kutaka Sifa wana Ubungo Tower?
2. Hasara ambayo nchi hasa TRA imeipata na Makampuni mengine Makubwa nchini italipwa nanyi Ubungo Tower?
3. Kutuzimia Kwenu mnadhani mmefikia Lengo au wana Ubungo Tower mmeshadharaulika na Watanzania?
4. Makampuni yaliyo chini yenu nyie Ubungo Tower hii Hasara ya kuanzia 27 Oktoba hadi 6 November hii mtawasaidia Kuwalipa?
5. Baada ya Kuzima ila bado Watu wakahimia katika Himaya ya 'Vipi Enyi' Ubungo Tower mnajiona mmekomoa au mmekomolewa?
6. Wakati Watu wa Ubungo Tower mmekaa Kikao cha Kufikia Upuuzi wenu mliotufanyia Akili zenu zilikuwa ziko sawa sawa?
7. Na Oktoba mwaka 2025 mtakuja tena na huu Upuuzi au mtajishtukia na Kuachia kwakuwa ajaye ni Mstaarabu wa Mkuranga / Ruangwa?
Nayasubiri majibu yangu huku nami nikisubiria kuhakikisha kama kweli kuanzia Saa 6 na dakika 1 Usiku wa leo Ubungo Tower mtaturejeshea raha.
1. Mlipozima mliagizwa au ni kiherehere chenu tu cha kutaka Sifa wana Ubungo Tower?
2. Hasara ambayo nchi hasa TRA imeipata na Makampuni mengine Makubwa nchini italipwa nanyi Ubungo Tower?
3. Kutuzimia Kwenu mnadhani mmefikia Lengo au wana Ubungo Tower mmeshadharaulika na Watanzania?
4. Makampuni yaliyo chini yenu nyie Ubungo Tower hii Hasara ya kuanzia 27 Oktoba hadi 6 November hii mtawasaidia Kuwalipa?
5. Baada ya Kuzima ila bado Watu wakahimia katika Himaya ya 'Vipi Enyi' Ubungo Tower mnajiona mmekomoa au mmekomolewa?
6. Wakati Watu wa Ubungo Tower mmekaa Kikao cha Kufikia Upuuzi wenu mliotufanyia Akili zenu zilikuwa ziko sawa sawa?
7. Na Oktoba mwaka 2025 mtakuja tena na huu Upuuzi au mtajishtukia na Kuachia kwakuwa ajaye ni Mstaarabu wa Mkuranga / Ruangwa?
Nayasubiri majibu yangu huku nami nikisubiria kuhakikisha kama kweli kuanzia Saa 6 na dakika 1 Usiku wa leo Ubungo Tower mtaturejeshea raha.