Katika mitaa ya Dar es Salaam kulikuwa na jina lililotajwa sana na kusikika masikioni mwa watu, sana sana ukanda wa Tabata — Black Cobra.
Jambazi aliyekuwa anaogopwa. Aliingia kimya, akatoweka kama kivuli. Watu wengi waliwahi kuibiwa, wengine kujeruhiwa. Hakuwahi kuacha ushahidi.
Lakini usiku...