ushirikiano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chizi Maarifa

    Tunawashukuru Kaizer Chiefs kwa Ushirikiano. Simba hatafuzu hata akisaidiwa kucheza na Mitume

    Tumeshirikiana na Kaizer Chiefs vizuri. Dawa zinafanya kazi. Waganga wetu na wao wamemaliza game. Simba leo Hatoweza kufuzu. Hata akiwaweka mitume kwenye team yake wamsiadie Simba ndo anaishia hapa leo. Nipo tayari kupigwa Ban ya mwezi mzima. HAIWEZEKANI SIMBA KUFUZU HATA WALETE MIZIMU WACHEZE...
  2. J

    Alhaj Kova: Waislam na wasio Waislam tunaahidi kumpa ushirikiano wa kutosha Rais Samia

    Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini wa Bakwata alhaj Seleman Kova amesema waislamu na wasio waislamu wanaahidi kumpa kila aina ya ushirikiano Rais Samia Kova amesema hayo wakati wa swala ya Eid El Fitr. Source ITV habari Eid Mubarak!
  3. BAK

    Ushirikiano na Kenya usiangalie kingine ila maslahi ya Tanzania

    Ushirikiano na Kenya usiangalie kingine ila maslahi ya Tanzania. Rais Samia Suluhu Hassan ameitembelea Kenya katika ziara inayoelezwa kuwa imefungua ukurasa mpya wa mtangamano unaoashiria kuimarisha udugu na ujirani baina ya mataifa hayo. Akiwa Nairobi anahutubia wafanyabiashara na wabunge wa...
  4. Sky Eclat

    Watoto wa siku hizi hawatoi ushirikiano wa kulala na wageni vyumbani mwao

    Enzi zetu chumbani mnalala na bibi, shangazi, dada wa kazi ukiwa na bahati unaweza kuwa na kitanda chako mwenyewe. Hawa wageni wanaweza kukaa miezi sita na maisha yaliendelea. Hawa watoto wa siku hizi vyumba vyao ni kama private home. Hata mzazi huruhusiwi kuingia. Umwambie bibi amekuja...
  5. J

    Manufaa ya Ushirikiano wa Tanzania na Kenya

    Tanzania na Kenya zimekubaliana kushirikiana kuondoa vikwazo vya biashara na kufungua milango Zaidi ya kuwekeza na kuinua uchumi baina ya nchi zote mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa kufuatia Ziara ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan nchini Kenya ikiwa...
  6. BAK

    Drugs: No teamwork, says TCAA director

    Drugs: No teamwork, says TCAA director By Elisha Magolanga Dar es Salaam. The Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) director general, Mr Fadhili Manongi, has blamed the increase in drug trafficking on lack of cooperation from key agencies whose role is vital if the war against the kingpins...
Back
Top Bottom