Kipunga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 262
- 573
Aisee kuna binti mmoja hapa mtaani kwetu wakishua sana nimetokea kumpenda sana lakn kila nikimpa Hi haitikii.
Kitu hicho kinaniumiza sana wadau.lakn leo asubui natoka senta naelekea home nikaona nae yupo na mdogo wake mdogo wa kike wanatoka sokon wanaelekea home nikampa hi kaitikia fresh tuu.
Nikamwambia naitwa fulani waitwa nani wew?akajibu.
Yey."ili iweje!
Mim."naomba tuwe marafk
Yey."urafki feki uo
Mim."kama huta jali naomba namba yako ya simu
Yeye."akaguna tu then akaingia getini.
Sasa wadau naombeni msaada wenu ni namna gani ya kumnasa huyo binti.anamatako makubwa usipime kias kwamba hata kutembea unaona kabsa yanampa shida.kiuno kidogooo
Wadau wamenambia dingi ake ni OCD
Mabaharia nitumie mbinu gni huyu mtoto.
Kitu hicho kinaniumiza sana wadau.lakn leo asubui natoka senta naelekea home nikaona nae yupo na mdogo wake mdogo wa kike wanatoka sokon wanaelekea home nikampa hi kaitikia fresh tuu.
Nikamwambia naitwa fulani waitwa nani wew?akajibu.
Yey."ili iweje!
Mim."naomba tuwe marafk
Yey."urafki feki uo
Mim."kama huta jali naomba namba yako ya simu
Yeye."akaguna tu then akaingia getini.
Sasa wadau naombeni msaada wenu ni namna gani ya kumnasa huyo binti.anamatako makubwa usipime kias kwamba hata kutembea unaona kabsa yanampa shida.kiuno kidogooo
Wadau wamenambia dingi ake ni OCD
Mabaharia nitumie mbinu gni huyu mtoto.