Hello JF,
i guess awamu hii tumeshuhudia wanasiasa wengi wakihamia CCM,
Hii ime create atmosphere fulani ya confusion,..
i mean..
Kwa wanasiasa wa upinzani,.....
wa zamani kutokujua hatma yao,
na wanasiasa wapya, kuwa na uoga wa ku contest against CCM,
Sasa nimeandika hii topic...