Maji ukiyavulia ngua sharti uyaoge. Huu sio wakati wa upinzani kulialia eti mnaonewa, mnazuiwakufanya mikutano hata ya ndani, eti hakuna demokrasia!! Huu ni wakati wa mapambano sio kulialia.
Salamu ziwafikie Zitto K, Mbowe, Lema, Sugu, Heche na Mdee kutaja kwa uchache. Wananchi wanaosapoti upinzani wengi wao bado hawajafanya maamuzi Octoba 2020 waenda wakapige kura au wasiende.
Hofu kubwa ya wanaoungamkono upinzani ni kuibiwa kura zao au kutangazwa mgombea wa CCM hata kama hajashinda, hivyo, ni jukumu la nyinyi viongozi wa upinzani kuwahakikishia wananchama wenu, mashabiki nzenu namna gani mtalinda kura zao na kwa namna gani mtazuia asitangazwe mgombea ambae hajashinda!
Huu ni wakati wa mapambano, ni wakati wa kuwaaminisha wananchi kuwa mnaweza.
Salamu ziwafikie Zitto K, Mbowe, Lema, Sugu, Heche na Mdee kutaja kwa uchache. Wananchi wanaosapoti upinzani wengi wao bado hawajafanya maamuzi Octoba 2020 waenda wakapige kura au wasiende.
Hofu kubwa ya wanaoungamkono upinzani ni kuibiwa kura zao au kutangazwa mgombea wa CCM hata kama hajashinda, hivyo, ni jukumu la nyinyi viongozi wa upinzani kuwahakikishia wananchama wenu, mashabiki nzenu namna gani mtalinda kura zao na kwa namna gani mtazuia asitangazwe mgombea ambae hajashinda!
Huu ni wakati wa mapambano, ni wakati wa kuwaaminisha wananchi kuwa mnaweza.