Uchaguzi 2020 Angalizo: Membe ni hatari kwa upinzani kuliko alivyokuwa Lowassa

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
3,804
1,871
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu na asiyeweza kujifunza kutokana na makosa yaliyopita mathalan hawezi kujifunza lolote huko mbeleni. Misemo hii si ya kuipuuzia hasa katika mwenendo wetu wa siasa wa awamu hii.

Nimemsikia Zitto akimsafisha Membe na kumtofautisha na Lowassa na kuwahakikishia wananchi kutokuwa na wasi wasi na huyu Mbobezi. Kwa mara ya kwanza Mahesabu na akili nyingi za Zitto zitaonekana kuwa ndogo kuliko zile za chama Tawala. Kwani kama kweli Membe anaugomvi na chama tawala hata waandishi wa habari asingeruhusiwa kukutana nao. Na kimsingi angewekwa kizuizini au tusingemuona kabisa. Historia imeonyesha hivyo!

Kwanini Membe ni Hatari?
  1. Membe ni mtu aliyekulia ndani ya chombo nyeti toka akiwa na miaka 23, hivyo anaielewa Tanzania na chama kuliko Lowassa. Katika nchi yeyote ile watu kama hao hawaachwi wakaropokaropoka ovyo kama si kwa maslahi ya watawala.
  2. Kama kweli chama tawala wangetaka kumfukuza Membe uwanachama wangeshaitisha kikao cha halmashauri kuu na kumfukuza Membe Rasmi na kumpatia barua ya kufukuzwa kwake. Kwanini hawafanyi hivyo? Ni kwasababu ya kuunyambulisha mjadala na kumfanya Membe awe kivutio zaidi kwa wapinzani.
  3. Kuwapata watu waasi ndani ya chama tawala
  4. Kuuangalia kasi ya upinzani kama wamestuka kwa yale ya Lowassa au bado wapo gizani. Kwa vile bado wanachukua data.
Wakimaliza hayo ndio wanamtupia Membe upinzani na huko atachukua siri zote na baada ya kugombea urais na hatimae kushindwa, baada ya miaka miwili 2022 atarudi tena chama tawala akiacha mvurugano wa kutisha huko upinzani. Membe yuko katika kazi maalum na katumwa rasmi.

Hivyo upinzani wanaweza kumkubalia kuwa mwanachama wa kawaida lakini asipewe kugombea hata ubunge au uenyekiti wa jimbo. Hizo ndio habari za mjini ukipenda Breaking News!
 
Hivi Membe akigombea kupitia ACT, atagawa kura za CDM au CCM?. Zitto anataka kumtumia Membe kuchukua majimbo baadhi ya kusini sio kwamba Zitto hajui Kama Kama Membe hafai kugombea lakini na yeye anangalia atakijenga vipi cham chake huko kusini.

CDM kumsimamisha Membe hasara ninyingi kwao kuliko kumsimamisha Lisu, watu wengi wenye mapenz yakweli na Mageuzi kwa mwaka huu wataenda na Lisu.

Kama hapatokuwa na ushirikiano kati ya ACT&CDM ningeshauri kila mtu amsimamishe mgombea wake ,Lin Kama ushirikiano utakuwepo ningeshauri asimame Lisu ,ili hata wale waliokataa tamaa kipindi cha Lowasa angalau wanaweza shawishika kwenda kumpigia kura Lisu.

Mwisho kabisa viongozi endeleen kudai tume huru ya uchaguzi.
 
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu na asiyeweza kujifunza kutokana na makosa yaliyopita mathalan hawezi kujifunza lolote huko mbeleni. Misemo hii si ya kuipuuzia hasa katika mwenendo wetu wa siasa wa awamu hii.

Nimemsikia Zitto akimsafisha Membe na kumtofautisha na Lowassa na kuwahakikishia wananchi kutokuwa na wasi wasi na huyu Mbobezi. Kwa mara ya kwanza Mahesabu na akili nyingi za Zitto zitaonekana kuwa ndogo kuliko zile za chama Tawala. Kwani kama kweli Membe anaugomvi na chama tawala hata waandishi wa habari asingeruhusiwa kukutana nao. Na kimsingi angewekwa kizuizini au tusingemuona kabisa. Historia imeonyesha hivyo!

Kwanini Membe ni Hatari?
  1. Membe ni mtu aliyekulia ndani ya chombo nyeti toka akiwa na miaka 23, hivyo anaielewa Tanzania na chama kuliko Lowassa. Katika nchi yeyote ile watu kama hao hawaachwi wakaropokaropoka ovyo kama si kwa maslahi ya watawala.
  2. Kama kweli chama tawala wangetaka kumfukuza Membe uwanachama wangeshaitisha kikao cha halmashauri kuu na kumfukuza Membe Rasmi na kumpatia barua ya kufukuzwa kwake. Kwanini hawafanyi hivyo? Ni kwasababu ya kuunyambulisha mjadala na kumfanya Membe awe kivutio zaidi kwa wapinzani.
  3. Kuwapata watu waasi ndani ya chama tawala
  4. Kuuangalia kasi ya upinzani kama wamestuka kwa yale ya Lowassa au bado wapo gizani. Kwa vile bado wanachukua data.
Wakimaliza hayo ndio wanamtupia Membe upinzani na huko atachukua siri zote na baada ya kugombea urais na hatimae kushindwa, baada ya miaka miwili 2022 atarudi tena chama tawala akiacha mvurugano wa kutisha huko upinzani. Membe yuko katika kazi maalum na katumwa rasmi.

Hivyo upinzani wanaweza kumkubalia kuwa mwanachama wa kawaida lakini asipewe kugombea hata ubunge au uenyekiti wa jimbo. Hizo ndio habari za mjini ukipenda Breaking News!
Nakubali lakini nakupinga, huu mpango mkakati, Kama ni kweli wa ccm kumtuma mtu upinzani haujawahi kuwasaidia ccm zaidi ya kuwasambaratisha.

Lowasa aliaachia ccm makovu makubwa pengine bado hayajakauka,

Lowasa alishida uchaguzi, na kwapatia wapinzani wabunge na madiwani wengi

Lowasa alikupatia chama kikuu Cha upinzani ruzuku kubwa.

Awamu ya tano Sasa inataabishwa na kishindo Cha lowasa, kiasi kwamba imebidi watumie hazina ya nchi zaidi ta tril2.4 kuhonga ili kukiua chama pinzani ambacho kilitishia uhai waccm kwa makosa waliyoyafanya 2015.

Kama ccm wanatumia huu mkakati wa hovyo utawaumiza zaidi na kuiumiza nchi kiuchumi

Lowasa Kurudi ccm ni maslahi tu siyo. espionage

Wala membe akienda opposition alafu akarudi ccm haitakuwa espionage, labda itakuwa ni maslahi pia.
Nakubaliana naee kuwa huu utakuwa mchezo tu. waku chelewesha mabadaliko ambao unaumiza nchi bila kujali chama
 
Hivi Membe akigombea kupitia ACT, atagawa kura za CDM au CCM?. Zitto anataka kumtumia Membe kuchukua majimbo baadhi ya kusini sio kwamba Zitto hajui Kama Kama Membe hafai kugombea lakini na yeye anangalia atakijenga vipi cham chake huko kusini.

CDM kumsimamisha Membe hasara ninyingi kwao kuliko kumsimamisha Lisu, watu wengi wenye mapenz yakweli na Mageuzi kwa mwaka huu wataenda na Lisu.

Kama hapatokuwa na ushirikiano kati ya ACT&CDM ningeshauri kila mtu amsimamishe mgombea wake ,Lin Kama ushirikiano utakuwepo ningeshauri asimame Lisu ,ili hata wale waliokataa tamaa kipindi cha Lowasa angalau wanaweza shawishika kwenda kumpigia kura Lisu.

Mwisho kabisa viongozi endeleen kudai tume huru ya uchaguzi.
Karata ya CCM kuanzia 2015 na uchaguzi huu ni kanda ya ziwa Simiyu, Shinyanga, Mwanza, Geita, Kagera na perhaps Tabora.


Neutral voters uchaguzi wa 2015 ilikuwa kanda ya Magharibi, Kanda ya mashariki, Kanda ya kati, Nyanda za juu kusini na kanda ya kusini.

Ukiangalia kanda hizo kuna voters wengi kuliko kanda ya kaskazini ambayo ilikuwa karata ya CDM.

Chadema wakimsimamisha Lissu watakuwa na kanda mbili kama karata zao kanda ya kati na kaskazini, na ACT wakimsimamisha Membe watakuwa na kanda mbili Mashariki kwa maana ya Dar es Salaam, pwani Morogoro, Pwani na kusini kwa Lindi na Mtwara.

Nani ataathirika zaidi na huu mgawanyiko?
1 Mwathirika wa kwanza atakuwa ni CDM kwa kupoteza kanda mbili zenye voters almost 4 Millions.

2 ACT atafanikiwa kwa kuhold ground ya kusini na mashariki na probably akapata wabunge zaidi ya 10.

3 CCM hawataathirika sana na ujio wa Membe kwa sababu
1 Membe hana ushawishi sana ndani ya ccm

2 Ushindi wa ccm hautegemei sana kura za wapiga kura.

3 neutral voters wengi hawatapiga kura kutokana na kukosa hamasa na uhusiano wa kura na badiliko la maisha yao.

4 mfumo haramu wa uchaguzi utakibeba chama cha mapinduzi kwa kutumia vyombo vya dola ikiwemo kutumika katika wizi wa kura.

5 Membe na wapinzani wote hawatapewa uhuru sawa katika kampeni sana sana kampeni zao zitavamiwa na green guard kwa msaada wa jeshi la polisi.

6 wananchi wametishwa wakatishika hasa hivyo hakutakuwa na uchaguzi wenye hamasa ya mabadiliko.

Hitimisho.

Mwathirika mkubwa wa ujio wa Membe upinzani ni CHADEMA na si vinginevyo na ccm atakuwa amepaliliwa njia nyeupe ya kumshinda Tundu Lissu kama akipewa nafasi ya kugombea.
 
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu na asiyeweza kujifunza kutokana na makosa yaliyopita mathalan hawezi kujifunza lolote huko mbeleni. Misemo hii si ya kuipuuzia hasa katika mwenendo wetu wa siasa wa awamu hii.

Nimemsikia Zitto akimsafisha Membe na kumtofautisha na Lowassa na kuwahakikishia wananchi kutokuwa na wasi wasi na huyu Mbobezi. Kwa mara ya kwanza Mahesabu na akili nyingi za Zitto zitaonekana kuwa ndogo kuliko zile za chama Tawala. Kwani kama kweli Membe anaugomvi na chama tawala hata waandishi wa habari asingeruhusiwa kukutana nao. Na kimsingi angewekwa kizuizini au tusingemuona kabisa. Historia imeonyesha hivyo!

Kwanini Membe ni Hatari?
  1. Membe ni mtu aliyekulia ndani ya chombo nyeti toka akiwa na miaka 23, hivyo anaielewa Tanzania na chama kuliko Lowassa. Katika nchi yeyote ile watu kama hao hawaachwi wakaropokaropoka ovyo kama si kwa maslahi ya watawala.
  2. Kama kweli chama tawala wangetaka kumfukuza Membe uwanachama wangeshaitisha kikao cha halmashauri kuu na kumfukuza Membe Rasmi na kumpatia barua ya kufukuzwa kwake. Kwanini hawafanyi hivyo? Ni kwasababu ya kuunyambulisha mjadala na kumfanya Membe awe kivutio zaidi kwa wapinzani.
  3. Kuwapata watu waasi ndani ya chama tawala
  4. Kuuangalia kasi ya upinzani kama wamestuka kwa yale ya Lowassa au bado wapo gizani. Kwa vile bado wanachukua data.
Wakimaliza hayo ndio wanamtupia Membe upinzani na huko atachukua siri zote na baada ya kugombea urais na hatimae kushindwa, baada ya miaka miwili 2022 atarudi tena chama tawala akiacha mvurugano wa kutisha huko upinzani. Membe yuko katika kazi maalum na katumwa rasmi.

Hivyo upinzani wanaweza kumkubalia kuwa mwanachama wa kawaida lakini asipewe kugombea hata ubunge au uenyekiti wa jimbo. Hizo ndio habari za mjini ukipenda Breaking News!
Binafsi nilisikiliza Clip ya Nape na Kinana iliyovuja mara nyingi kiukweli wale wawili na Mr Februari ndo wapinzani wa kweli wa Magu wa ndani mwake manake kwakuwa hawakujua wanadukuliwa walimnanga na kumkashifu Mkulu tani yao, wanamuona ni mshamba mno!!

hapa kwa Bw Membe sijamsikia mtia nia huyu akifikia kiwango kile cha kashfa kwa Rais hivyo dhambi ya Membe ni temporary and bearable tu kosa lake ni uchu wa madaraka na tamaa ya kutaka kupimana ubavu na Mkulu kupeperusha bendera ya sisiem kwenye uchaguzi , uchaguzi ukiisha Magu akasimikwa kumalizia ngwe yake ya Mwisho basi Membe will be clean automatically na sisiem hawatakuwa na shida nae tena na itakuwa rahisi kumrudisha kundini!!

Shida ya Membe ni yeye kuwa Rais tu , mamluki huyu grade one hafai kabisa kupokewa upinzani atachota madini yote na kuingia mitini kurudi sisiem ambako dhambi yake has a time frame and has an expiry date na huko kwao sisiem anajua ndiko urais unapatikana!!mimi ni kijani na ninawaza kikijani tofauti na ufipa!!
 
Kitendo cha membe kugombea uraisi kupitia ACT ni kumuwekea magufuli urahisi wa kushinda uraisi wa uchaguzi mkuu,kwani atakwenda kupoozesha amsha amsha waliyonayo wapinzani kwa tundu lissu...ikiwa hivyo ninawahakikishia magufuli atashinda kura za uraisi kwa asilimia kubwa

Labda kati ya hawa wawili membe na tundu lissu mmoja wapo asigombee kabisa uraisi
 
Bado hujaleta hoja za kushawishi wapinzani wamkatae Membe kwakuwa mtaji wa siasa ni watu na membe ana watu CCM ambao ata hama nao nakwenda nao upinzani.
 
Kuna watu hawawezi kukuelewa, kama ni chaguo lao huwezi kuwaambia kitu.

Btw, Membe ni bonge la Presidential material.

Tatizo kubwa sio kuwa presidential material, hilo sina ubishi nalo.

Tatizo kubwa kabisa ni baada ya uchaguzi UPINZANI UTAKUWA NA HALI GANI? Suala la upinzani si swala la muda mfupi ni lazima liwe na long term plan. Tafakari!
 
Hivi Membe akigombea kupitia ACT, atagawa kura za CDM au CCM?. Zitto anataka kumtumia Membe kuchukua majimbo baadhi ya kusini sio kwamba Zitto hajui Kama Kama Membe hafai kugombea lakini na yeye anangalia atakijenga vipi cham chake huko kusini.

CDM kumsimamisha Membe hasara ninyingi kwao kuliko kumsimamisha Lisu, watu wengi wenye mapenz yakweli na Mageuzi kwa mwaka huu wataenda na Lisu.

Kama hapatokuwa na ushirikiano kati ya ACT&CDM ningeshauri kila mtu amsimamishe mgombea wake ,Lin Kama ushirikiano utakuwepo ningeshauri asimame Lisu ,ili hata wale waliokataa tamaa kipindi cha Lowasa angalau wanaweza shawishika kwenda kumpigia kura Lisu.

Mwisho kabisa viongozi endeleen kudai tume huru ya uchaguzi.
100%

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Ninachokijua Zitto nimuhanga wakutumiwa, lakini sio kwamba anatumiwa akiwa hajui Kama anatumiwa,anatumiwa huku akifaham fika anatumika. Lakini na yeye pia hutaka kutimiza baadhi ya matamanio yake ya kisiasa na kiuchumi.

Tatizo nu kuwa huko mbeleni anaweza akakosa vyote hata kufutika kwa ACT Tanzania.
 
Back
Top Bottom