Wakati tunakua,tuliaminishwa ujinga kupitia wafuasi wa MwampoSa ,Mwingil,Jasusi kwa Israel ni taifa teule,taifa la Mungu.
Na ukutane na Mlokole wa nzega au Msafwa humuelezi kitu kuhusu Israel wakati hajui kwa kule Israel hawana mpango na dini ubabaishaji na za upigaji wa kuuziana...