Ila uongo nao kazi kweli kweli

Ila uongo nao kazi kweli kweli

Niliosoma mahali kwamba mtu asiyeweza kabisa kudanganya ana matatizo ya afya ya akili.

Kama kuna ukweli mchungu, basi na uongo mtamu utakuwepo.🤷🏾‍♂️
Hii nayo inafikirisha kwa sasa kupata unachokitaka inahitaji uweke uongo uongo mwingi not necessarily uongo lakini uwe uongo uongo
 
Unatakiwa useme uwongo ukiwa umeangalia mbele zaidi, yaani uwe na abstract and systems thinking.

Ukileta uwongo wa kitoto basi unanaswa kirahisi.
Kuna Lies na kuna Deception mtu anaweza kukutega kwa uongo ufanye kitu kwaajili yake, imagine unamtega mtoto mzuri akupe uichape maana daktari kasema usipoichapa utaugua ugonjwa wa mashine.
 
Back
Top Bottom