Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,844
- 141,221
Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.