Mwigulu Nchemba acha uongo wewe!

Mwigulu Nchemba acha uongo wewe!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,844
Reaction score
141,221
Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.

Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].

Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.

Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.

Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!

Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.

Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.

Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.

FOH.
 
jamaa bado ana siasa za mwaka 47

kila nikikumbuka kale kavideo alitenganeza eti kuonesha watu wana mpango wa kufanya fujo sijui kulipua mabomu kwenye mkutano

naona kabisa jamaa bado ana u bush bush mwingi kwa head na hauwezi mtoka kamwe
 
Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.

Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].

Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.

Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.

Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!

Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.

Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.

Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.

FOH.
PM anapiga left, right and center mbaya sana aise, dah!

Poleni vibaraka na mamluki wa mabwenyenye ya magharibi maana PM anafumua ukweli mtupu kisawasawa 🐒
 
MTU kama Mimi ni realistic najua kuwa kwa Sasa TANZANIA mazingira ya kuandamana sio salama .

Na endapo ukajaribu , lazima upate madhara .

Kwahiyo MTU ambaye ni idealist anajaribu kuandamana akitegemea serikali itamlinda au wazungu ajue anakuwa kajitengenezea tatizo yeye , mwenyewe.
 
Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.

Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].

Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.

Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.

Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!

Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.

Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.

Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.

FOH.
Sasa wewe nyani umetumia vigezo gani kumpinga Mwigulu??

Kwanza kwa nafasi yake ametoa tip tu, mambo ya ushahidi yanaihusu Polisi na Mahakama. Shut up your mouth
 
Uongo, fitina na mauaji ndo vimemfikisha hapo. Soon anaenda kuumbuka...

Huyu na samia watapigwa risasi hadharani pale uwanja wa taifa mchana kweupe. Lazima washitakiwe na hukumu itakuwa kifo. Wameharibu sana hii nchi.
 
Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.

Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].

Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.

Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.

Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!

Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.

Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.

Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.

FOH.
Ukweli ni ipi?
 
Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.

Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].

Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.

Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.

Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!

Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.

Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.

Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.

FOH.
Huyo Mtu amemtangaza? Rasilimali zenyewe si wameshagawa?
 
MTU kama Mimi ni realistic najua kuwa kwa Sasa TANZANIA mazingira ya kuandamana sio salama .

Na endapo ukajaribu , lazima upate madhara .

Kwahiyo MTU ambaye ni idealist anajaribu kuandamana akitegemea serikali itamlinda au wazungu ajue anakuwa kajitengenezea tatizo yeye , mwenyewe.
Nani anayafanya mazingira yasiwe salama?.
 
Back
Top Bottom