Karibu wa huduma ya ufundi wa vifaa vyote vya electronics na umeme, kwa ufundi wenye uhakika bila ubabaishaji na uaminifu wa hali ya juu.
Vifaa hivyo ni kama;- Tv aina zote, Projectors, Amplifiers, mixers, Vinanda, Machine za kufulia, machine kubwa na ndogo za kuprint, machine za mazoezi...
VOICES FROM IRAN
'A big prison with no water or power', fed up Iranians speak out
2 hours ago
Share
Iranians are speaking out with increasing urgency over chronic water and electricity outages that upend daily life and fuel fury at the government.
With temperatures topping 40°C in Tehran and...
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange Julai 18, 2025 amefanya ziara ya kuagua maendeleo ya Miradi ya umeme ukiwemo wa Njia ya kusafirisha umeme kutoka Zuzu hadi Mbande, Mradi wa kusambaza umeme ardhini katika mji Serikali na Mradi wa Kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Mjini Mkoani...
Ezbon Mujuni (28) mkazi wa kijiji cha Bunazi Wilaya ya Missenyi Mkoa wa Kagera amehukumiwa kwenda jela miaka 20 kwa kosa la kuchimba na kuiba nguzo 3 za umeme na nyaya zenye thamani ya Tsh. 11,536,357
Mshtakiwa alitenda kosa hilo Julai 21, 2024 katika kijiji cha Nyakahama Wilaya ya Muleba...
JIKO LA GESI NA UMEME 330 000 maongezi yapo kwa hilo jiko...liko vizuri kabisa....ndo natumia hadi sasa
plate mbili gesi, plate mbili umeme
napatikana Dsm
piga 0683473391
kwa maongezi zaidi
Natafuta fundi umeme na ujenzi tufanye kazi mkoa wa dar es salaam, naomba kazi saidia fundi elimu yangu ni stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering)
Napatikana: Mkoa wa Dar es salaam, Mbezi
Mawasiliano: 0756704145
Natafuta fundi umeme na ujenzi tufanye kazi mkoa wa dar es salaam, naomba kazi saidia fundi elimu yangu ni stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering)
Napatikana: Mkoa wa Dar es salaam, Mbezi
Mawasiliano: 0756704145
Katibu wa Idara ya Haki za Binadamu Chama cha ACT Wazalendo. Mbarara Maharagande, amewataka Watanzania kukipuuza Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwakuwa kimeshindwa kutatua changamoto zao hasa kwenye upatikanaji wa huduma ya umeme wa uhakika.
Maharagande ameyasema hayo wilayani Tunduru kwenye mkutano...
Fundi umeme wa uwakika mwenye uzoefu na kazi kwa kiwango nipo hapa boss wangu karibu sana unipe kazi. Nafanya kazi kwa gharama ya kawaida na kazi bora na uwaminifu mkubwa sana.
Kwanz nakusikiliza boss unaitaji nini kwenye jengo lako pia nakupa ushauri wa nini kifanyike.
Zingatio:
kama unaitaji...
Kwanini umeme unakatika kwa siku hata zaidi ya mara 10 kuna nini? Km leo kuanzia saa 12 hakuna umeme tuko gizani, kuna nini mbona hatuelewi. Maisha gani haya ya kuishi gizani zama hizi na umeme mnatuambia upo mpk wa ziada?
Mmiliki wa mgodi wa Ikombo Hill uliopo katika Kijiji cha Matonya, Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Bi. Doreen Kissia, ameibuka kuwa mfano wa kuigwa katika sekta ya uchimbaji wa madini ya shaba, akiwa mwanamke pekee anayeongoza mgodi unaotoa ajira kwa zaidi ya asilimia 98 ya wakazi wa vijiji vya...
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa rasmi ya hitilafu kubwa katika mfumo wa Gridi ya Taifa, iliyotokea majira ya saa 2:36 asubuhi na kusababisha kukatika kwa huduma ya umeme katika mikoa yote inayounganishwa na gridi hiyo.
Kwa mujibu wa TANESCO, timu ya wataalamu inaendelea...
Wakuu
====
Nimeona tangazo la Tanesco kuwa wateja tunatumia grid ya taifa hatuna umeme hii inamaanisha kama nchi tupo gizani a total blackout!
kwa takwimu ni mikoa 3 ambayo haijaunganishwa na Grid ya Taifa, Kagera, Tunduma na Mtwara pia
Je ulipo kuna umeme?
====
Jumapili, 29 Juni, 2025...
In a move that will shake up the global auto industry, Toyota has just unveiled a water-powered engine powered by hydrogen created through electrolysis — emitting only water vapor! No lithium. No charging stations. Just pure disruption.
With this bold move, Toyota isn’t just competing with EVs...
Wakuu, nataka kwenda Dodoma kwa treni ya umeme. Aliewahi kutumia usafiri huu atujulishe utaratibu tafadhali.
Dodoma nitakaa siku moja then nitapita " Singida" Kisha Igunga, ikifuatiwa na Tabora mjini " Chuo cha Uhazili" Then Mwanza jiji Rock City ambako nitakaa kama wiki moja hivi Insha'Allah...
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameweka umeme kwenye zahanati ya Kisiwa cha Soswa iliyopo katika jimbo hilo na kumaliza kero ya muda mrefu ya wanawake kujifungua kwa msaada wa mwanga wa tochi, iliyokuwa ikiwakabili wananchi hao
Hatua hiyo imepongezwa na wananchi wa Kisiwa cha Soswa ambapo...
Kata ya NYAMIGOGO inaziunganisha wilaya ya biharamulo na chato lakini tangu Mungu kuumba dunia ilikuwa haina umeme na wananchi wa hapa walipata shida sana na kuichukia serkali yao kwa kushindwa kuwapatia umeme.
Katika uwakilishi wa mbunge Eng Ezra John Chiwelesa kata hii imepaata umeme inawaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.