umeme

  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Porsche wamezindua 4th generation ya Cayenne. Kwa kuanza, wameleta ya umeme tu na unaweza kuichaji Wireless!

    Porche wamezindua generation ya nne ya Porsche Cayenne SUV. Ila cha kushangaza, wamezindua EV tu kwanza, bila kutoa ya mafuta wala hybrid. Ambayo hadi sasa hatujajua watazitoa baadae au ndio basi tena. Kwa ndani, mafundi simu na computer mtatajirika sana. Kwasababu jamaa wameleta display...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Unit 1 inaweza kujaza simu zaidi ya mara 50, kuchaji simu hakumalizi umeme kama wengi wanavyodhani.

    kWh (kilowatt-hour), Wh (watt-hours), mAh (milliampere-hour), V (Volts) Unit 1 ya shilingi mia tatu ni sawa na 1000 Wh ( 1 kWh) Tuchukue mfano wa simu ya smartphone yenye betri kubwa ya 4,000 mAh Simu nyingi huwa ni 3.7V Formula ya kubadilisha mAh kuwa Wh: (Mah * V) 1,000 (4,000 *...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania TANESCO kuna Changamoto ya Manunuzi ya Umeme Kupitia Yas, Vodacom na NMB

    Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa kuna changamoto kwenye manunuzi ya umeme (LUKU) inayosababisha wateja kushindwa kununua umeme kupitia mitandao ya simu ya Yas, Vodacom na benki ya NMB hivyo kwa sasa tunawashauri wateja kutumia mitandao ya simu na njia za kibenki...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

    Rais Museveni wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia. Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Museveni mwenyewe kupitia akaunti ya rais. Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini? Kama taarifa hii...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Giza totoro Cuba nzima kwa Kukosa umeme Septemba 10, 2025

    Kwa mara nyengine, Cuba imekosa umeme nchi nzima kutokana na uchakavu wa miundombinu na uhaba wa mafuta kwenye mitambo ya nishati katika taifa hilo la Karibiki. Tukio hilo la jana ni la pili kwa mwaka huu, likitanguliwa na matukio ya aina hiyo mwaka jana. Wizara ya Nishati na Madini imeandika...
  6. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Nitasambaza umeme Tanzania yote

    Hii hadithi tumeisikia kuanzia Nchi imepata Uhuru. Najiuliza umeme utakasambazwa nchi nzima ndo huu huu unaokatika kila baada ya masaa nane au? My take suala sio kusambaza umeme swali ni huo umeme unaosambazwa utaweza kukidhi mahitaji ya Watanzania nchi nzima na utakuwa reliable...
  7. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ethiopia, Bwawa la Umeme kubwa zaidi kwa fedha za ndani na michango huku CCM wakichangisha Bil.86 kwa ajili ya Kampeni alafu tuunanuna Umeme Ethiopia

    Siku zote nasema. Bila kuwaondoa CCM madarakani, Tanzania tutakuwa tunacheza biashara ya pata potea kila siku. Nchini Ethiopia, Serikali yao wamekamilisha ujenzi wa Bwawa la Umeme kubwa zaidi Afrika kwa kutumia fedha za ndani na michango ya Wananchi wao hasa Diaspora. Hayo yakifanyika, hapa...
  8. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Mati Foundation yagusa maisha ya walemavu, zawadi pikipiki 2000 za Umeme

    Na Mwandishi Wetu. Babati, Septemba 2025: Kampuni ya Mati Super Brands Ltd kupitia taasisi yake ya kijamii, Mati Foundation, imezindua rasmi mradi mkubwa wa ugawaji wa pikipiki za magurudumu matatu zinazotumia nishati ya umeme kwa watu wenye ulemavu nchini, ili kuwawezesha kufanya shughuli zao...
  9. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Mkituchagua kila mtu Tanzania atakuwa na umeme

    "Vijiji vyote vya Wilaya hii 101 vina umeme na tunaendelea na kazi ya kuunganisha Vitongoji. Mbele tunakokwenda mkitupa ridhaa tunakwenda kumaliza kazi yote Tanzania nzima kila mtu awe na umeme…kwa upande wa elimu, mbali na yaliyofanyika tutaendelea na sera yetu ya elimu bila malipo pamoja na...
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania BMW nao wamezindua 2nd generation iX3: ni SUV ya umeme kwenye platform mpya!

    Kwenye manesho ya IAA Mobility yanayoendelea huko Munich Ujerumani, wababe wa performance BMW nao wamezindua gari jipya ndani ya platform mpya. BMW iX3 ni SUV mpya ya umeme, juu ya platform mpya ya Neue Klasse. Sasa jina lisikuchanganye na iX3 ya zamani iliokua inashare platform na X3 ya...
  11. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mercedes Benz wamezindua GLC yenye SUV ya umeme: Inakupa range ya kilometa 700!

    Katika maonyesho ya IAA Mobility huko Munich, Germany, kampuni la magari Mercedes Benz wamezindua new generation ya powertrain ya umeme, na kuiweka officially kwa mara ya kwanza kwenye SUV yake pendwa ya GL series. MB walikuja kwenye EV industry na drivetrain yao ya zamani ambayo imepata...
  12. Just Pray

    JamiiForums Tanzania TANESCO yatangaza kukosekana kwa huduma ya umeme Mbagala na Kigamboni

    TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME MBAGALA NA KIGAMBONI Jumatatu, 08 Septemba 2025 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa maeneo ya Mbagala na Kigamboni kuwa kumetokea hitilafu ya umeme leo tarehe 08 Septemba 2025 katika njia ya...
  13. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Ethiopia inajiandaa kuzindua bwawa la umeme la GERD linalozalisha Megawatt 5000

    Jumanne Septemba 9, 2025 inatazamiwa kuashiria wakati wa mabadiliko katika historia ya Ethiopia. Ni tarehe ambayo ndoto ya Ethiopia iliyothaminiwa kwa muda mrefu inatimia wakati Bwawa la Grand Ethiopian Renaissance (GERD) linapozinduliwa rasmi baada ya miaka 14 ya kusubiri—ukiashiria wakati...
  14. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Hóla Diamondhead Superbike: Pikipiki ya umeme ya ki-futuristic kutoka India

    Kampuni la pikipiki kutoka India, Holaciudad wamezindua official superbike ya umeme inayoenda kwa jina la Diamondhead. Imeitwa Diamondhead kwasababu ya muonekano wake wa mbele, kua na shape kama ya diamond. Pia ni e-Superbike inaweza kutoka 0-100kph kwa sec 2 tu. Hola wamesema, body yake...
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwendokasi (BRT) wasiachane na magari ya mafuta au gesi wakachukua city bus za umeme mfano Yutong E18.

    Wakuu. Lengo kuu la mradi wa Mwendokasi (BRT) ni kurahisisha usafiri kwa wakazi wa Dar es Salaam (na Pwani) kwa gharama nafuu salama. Pamoja na ilo kuu, mengine ni kupunguza msongamano wa magari mjini, kupunguza uchafuzi wa hali ya hewa kwa hewa ya ukaa (carbon emissions) na kutoa ajira kwa...
  16. J

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia, hii ahadi ya kuondoa tatizo la umeme mpaka lini?

    Moja kati ya mambo yanayokera katika nchi hii ni changamoto ya kukatika kwa umeme. Nakumbuka nikiwa kule kusini mwaka jana, nikiwa kwenye hotel Moja, umeme ukikatika ghafla. Pembe yangu kulikuwa na wazungu wanne wakipata vinywaji. Mara umeme ulipokatika walisikika wakisema, " welcome to...
  17. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tutazalisha umeme mwingi wa uhakika, unaobaki tutawauzia Zambia

    Wakuu, Samia akiwa anazungumza leo, huko Songwe kasema akichaguliwa atahakikisha umeme utakuwa mwingi na wa uhakika kiasi kwamba kutakuwa na umeme mwingine ambao watauuza kwenda huko Zambia
  18. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Jamaa kasomea uinjinia wa umeme lakini hana ajira

    Kutoka katika ukurasa rasmi wa Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche ameandika..... "Nchi ya Tanzanite, migodi mikubwa ya dhahabu, Nchi ya almasi, Nchi ya Ngorongoro, Serengeti na Serous.. Nchi ya makaa ya mawe, chuma, uranium, nickel na cobalt. Nchi inayoagiza Mpaka gunia la Kubenea viazi...
  19. Clean Energies Group

    JamiiForums Tanzania Usizime Moto wa Gesi, Mafuta au Umeme kwa Kutumia Maji badala yake Tumia Njia Hizi

    USIZIME MOTO WA GESI, MAFUTA AU UMEME KWA KUTUMIA MAJI! Maji yanaweza kusababisha hatari kubwa kama mshtuko wa umeme au mlipuko wa gesi! Tumia dry chemical powder fire extinguisher (ABC) au fire extinguisher inayofaa! Usalama kwanza, jifunze njia sahihi ya kuzima moto...
  20. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Kumbe "Clean Cooking Gas" ndiyo inayozuia miradi ya umeme isikamilike?

    Inasikitisha sana kuona miradi ya watu binafsi inasimamisha miradi mikubwa ya nchi ambayo ingesaidia vizazi na vizazi. Hawa wanaoitwa "Wanamtandao" ni MAADUI NAMBA 4 wa Tanzania baada ya UJINGA, UMASIKINI na MARADHI.
Back
Top Bottom