GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,848
- 109,554
Kuna Walinzi wa Marais (Viongozi) fulani duniani kwa mfano wale wa Vladmir Putin wa Urusi, Paul Kagame wa Rwanda na hata Walinzi wa Papa Fransisco ambao 'nimedokezwa' na 'Wabobezi' wa haya 'Masuala' kuwa ndiyo wako 'imara' mno ila kinachonishangaza wana Miili ya 'Kawaida' sana na si ya 'Kikomavu' na 'Kutisha' kama ya Walinzi wa Marais (Viongozi) wengine.
GENTAMYCINE pia nauliza je, ni lazima Walinzi wa Marais (Viongozi) duniani wawe ni 'Mabaunsa' au kuna cha 'Ziada' kinachoangaliwa Kiutendaji?
GENTAMYCINE pia nauliza je, ni lazima Walinzi wa Marais (Viongozi) duniani wawe ni 'Mabaunsa' au kuna cha 'Ziada' kinachoangaliwa Kiutendaji?