ulimwengu

Thomas Emanuel Ulimwengu (born 14 June 1993) is a Tanzanian football striker who is currently playing as a forward for TP Mazembe and the Tanzania national football team.

View More On Wikipedia.org
  1. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Kanuni kuu zinazoongoza maisha ya watu wote ulimwengu

    Muumbaji wa hii dunia aliweka kanuni zinazojiongoza zenyewe kupitia matendo yetu ili kuibalance Dunia. Hizi si kanuni za dini fulani, Kwani zinafanya kazi kwa watu wote duniani bila kujali rangi, utajiri, jinsia, dini,madaraka,kwa anaeamini na asiyeamini nk. Ukienda kinyume nazo...
  2. third eye chakra

    JamiiForums Tanzania Magic mushrooms inanguvu kubwa sana yakufanya ubongo wako uiingie katika ulimwengu wakufikirika wa miujiza

    Magic mushrooms sio tuu kukuingiza katika ulimwengu wa maajabu Pia ninzuri sana kwa wale wanao Fanya meditation yakiwango cha juu sana. Hii ni ninzuri sana kwa wale wavivu wakukaa kitako muda mrefu kwenye tahajudi. Utakapo tumia hii kitu nihapo hapo itakuingiza katika ulimwengu wako...
  3. VERIFY

    JamiiForums Tanzania Nani huwa inamkuta hii?

    Kuna mda ukikaa unajikuta kama umepoteza mwelekeo,, unapoteza interest ya vitu alafu unajikuta huelewi maisha ako yanaendaje 😞
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kama tupo duniani kwenye sayari zaidi ya bilioni ndanu ya ulimwengu wa galaxy tuliyopo na zaidi ya galaxy bilioni 2.Basi kuna viumbe vipo huko

    Naweza kukataa kuwa sisi tuliopo duniani ndio watu wenye uhai pekee. Kwa tafiti za wanasayansi wanavyo zidi kutambua sayari zenye mfano wa dunia kama kepler na nyingine zinaweza kuthibitisha kuwa uhai wa viumbe hupo sehemu nyingi kwenye ulimwengu wa anga za sayari. Kama tutaweza kuwa na vyombo...
  5. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tai: Ndege mchafu mwenye kuuokoa ulimwengu

    Kwa baadhi ya ya tamaduni tai akitua juu ya paa lako... Watu watakusanyika na kuanza kutoa maelezo mbalimbali Wengine Watazomea na kupiga kelele, "Jamani eeh! Nuksi imetua!"😂 Wengine hata wataita waganga wa kienyeji Na Wengine watafunga na kuomba. Yote haya ni Kwa nini? Kwa sababu kuna wazee...
  6. FYATU

    JamiiForums Tanzania Ni vipi kama mwisho wa maisha yako kwenye sayari hii ndio mwanzo wa maisha kwenye sayari nyingine?

    Labda Mtu unaweza kujiuliza kama kuna sayari nyingine,na pia basi ujiulize kama ulitambua uwepo wa sayari hii kabla kuzaliwa?. Kuna wakati unaweza kudhani labda maisha ni mlolongo usioisha au kumalizwa.
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mgeni Asiyejulikana: Siri ya Taured na Ulimwengu Usiofahamika

    Mwaka 1954, katika uwanja wa ndege wa Haneda, mjini Tokyo, Japan, mwanaume mmoja alifika kutoka Ulaya kwa ndege ya kimataifa. Alipofika kwenye kituo cha ukaguzi wa pasipoti, maafisa wa uhamiaji walistajabu walipoona pasipoti yake, ambayo ilionyesha kuwa anatoka katika nchi iitwayo "Taured" –...
  8. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Majumba ya ajabu ya ulimwengu wa wanyama

    Ni majumba bora yaliyojengwa na wakandarasi wabobevu lakini wasiojivuna Ni wakandasi wa viwango wasiotumia hata msumari mmoja wala sementi lakini wanajenga vitu imara sana Na zaidi hawana fundi maiko wa kuharibu kazi wala kuiba material😀
  9. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Pengine ulimwengu wetu umeundwa kwa kanuni hizi 1, 0, -, +

    Kumekuwa na kanuni nyingi zinazoelezea ulimwengu wetu jinsi ulivyo umbwa ikiwemo kanuni hii maarufu ya wanasayansi wakubwa "0123" huku "0" ya kanuni hii ikieleza au ikiwakilisha "utupu" yani ulimwengu ulianza ukiwa amna kitu alafu baadae ikaja "1" yani vitu vikaanza kuwepo baadae ikaja "2" nyota...
  10. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Atheist wanafahamu kuwa kuna ulimwengu wa roho?

    Wanayazungumziaje matukio kama haya? 1. Uebert Angel alitabiri kuwa Trump atashinda uchaguzi wa Marekani na ikawa hivyo! 2. Uebert Angel alitabiri kuwa Papa Francis ataaga dunia Jumatatu Asubuhi na unabii wake ukatimia! 3. Uebert Angel alimtabiri mtu atakayechaguliwa kuwa Papa mpya na hilo...
  11. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi Tomas Ulimwengu

    Yuko wapi huyo jamaa? Tomas Ulimwengu
  12. jikuTech

    JamiiForums Tanzania Kuelewa kwa Undani Ulimwengu wa Domain na Hosting

    Naamini huenda umewahi kukumbana na changamoto ya kutofautisha dhana mbili muhimu sana katika ulimwengu wa mtandao: domain na hosting. Mara nyingi, watu huchanganya au kushindwa kuzielewa kikamilifu, na hivyo kujikuta wakipotea katika safari yao ya kuwa na uwepo mtandaoni. Leo, nimekusudia...
  13. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mada ya ushirikina: Miongozo namna watu wanavyoumizwa kwenye ulimwengu usio na ithibati za kisayansi

    Ni mpaka yakukute haya mambo ndio unaweza kukaa chini na kuanza kuyatafakari kwa kina Ushirikina hauna ithibati za kisayansi LAKINI UPO na unafanya kazi Ushirikina ni kama moshi.. Upo una uona lakini huwezi kuushika Ushirikina ni kama akili.. Unayo lakini huwezi kumuonesha yeyote.. Ni matokeo...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Kama nafsi/roho huendelea kuishi baada ya kifo, Ndoto yangu niufahamu ukweli kuhusu ulimwengu

    Kama baada ya kifo nafsi/roho huendelea kuishi na kupata fursa ya kuonana na muumbaji wa ulimwengu, basi ndoto yangu na ombi langu kuu mbele ya muumbaji ni kupata fursa ya tour. Yaani deep time travel tour back in time miaka bilioni 15 iliyopita, nishuhudie nini kilikuwepo kabla ya Big bang...
  15. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Jinsi "Limbwata" itakavyoubadilisha ulimwengu

    Hellow wakuu, Naamini uwepo wa limbwata kwani ni kitu ambacho ninakifahamu kwa experience (empirical knowledge) Nadhani mmewahi kusikia story kuhusu Limbwata, mfano mume kumfumania mke na asifanye kitu chochote kibaya kama vile mauaji au kulawiti mgoni wake badala yake anaamua kumsamehe mke...
  16. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Huu ndio ulimwengu tunaoishi

    Huu Ndio Ulimwengu Tunaouishi 🌍 • Mwanaume anapokuwa na gari zuri, huvutia wanawake wengi kwake. Mwanamke anapokuwa na gari zuri, huwafanya wanaume wamkwepe. Huu ndio ulimwengu tunaouishi. 🌍 • Kijana wa kiume anampachika mimba mpenzi wake wa kike. Msichana anaacha shule, lakini mvulana...
  17. Yoda

    JamiiForums Tanzania Waingereza wafia nchi(nationalists) wanalalamika taifa leo kuanza kufanana kama la ulimwengu wa tatu.

    Hii ni huko London,
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa wanyama (Mongoose)

    Suricata (mongoose wa vidole 4) (jina la kisayansi Suricata suricatta) ni mamalia wadogo na wanachama wa familia ya mongoose. Wanaishi kila mahali katika Jangwa la Kalahari, Botswana na Afrika Kusini. Kundi la suricate linaitwa "gloat", "ceat" au "colonie". Kundi la suricates kawaida huwa na...
  19. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Ndoto ya kujinyea mbele za watu ina tafsiri gani katika ulimwengu wa roho? Wataalamu wa kutafsiri ndoto naombeni msaada wenu

    Nina umri wa miaka 38 na katika utu uzima wangu huu sikumbuki kama nilishawai kuota ndoto mbaya na ya ajabu kama niliyoota usiku wa kuamika leo... Katika kumbukumbu zangu za ndoto nimeshawai kuota ndoto za kutisha,..nimeshawai kuota ndoto nafukuzwa,....nyingine napaa hewani(angani), nimeshawai...
  20. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi wanaume dhaifu walivyoharibu utaratibu wa kiafrika

    Habari jamii forum Hapo mwanzo Mungu alimuumba Adam,huu ni sehemu wa mstari kutoka kitabu cha mwanzo ikionesha mwanaume ndiye kiumbe wa mwanzo na ndiye mwenye mamlaka ya kutawala ulimwengu. Malalamiko ya wanaume wengi kunyanyaswa ni mengi,vilio na kukosa kujiamini ni kwingi Lakini Kasi ya...
Back
Top Bottom