ukweli

Ukweli Roach (born September 22, 1986) is an English actor best known for playing the role of FBI psychiatrist Dr. Robert Borden, on the American television series Blindspot.

View More On Wikipedia.org
  1. Faana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Picha: Kuna ukweli katika hili asemalo huyu Mama

    Mwanaume anapoanza ukimya mwingi katika mahusiano, usimuone ni mjinga na mpole ukadhani sasa uko huru kufanya lolote na kumpeleka utakavyo. Ukimya wake unamaanisha, ameumia Ukimya wake unamaanisha, hana furaha Ukimya wake unamaanisha, ameona humthamini Ukimya wake unamaanisha, amechoka na tabia...
  2. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Mitume 10 waliuawa kwa upanga, kamba, moto, mikuki. “UKWELI” hajawahi kuwa rafiki yetu, Iwezekane upone haraka Fr. Kitima

    Na Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza (PhD) kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Facebook. NANI ANAFUATA? Je ni hujuma? Kwa Nani? - Kwa Fr. Kitima? -Kwa Nchi yetu? Kwa Rais? Kwa Kanisa Katoliki? -Kwa Ukristo? -Kwa Chama cha Siasa? Kipi? - Kwa Wasiojulikana? -Kwa Kristo: Nabii, Kuhani na...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Tubaki kwenye ukweli

    Tuhimize watu Wakubali turudi kwenye Maandiko ya Mwenyezi Mungu kila Mtu kwa imani yake . Aliye Mnafiki aambiwe ni Mnafiki Aliye na Ukafiri wa kukiuka viapo aambiwe wewe ni Kafir 😳😳 Kwa sababu Kimsingi Tukisoma katiba yaJamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 26(1)(2) ibara 09...
  4. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Hiki ndicho kinachotuponza sisi Yanga. Tuambiane ukweli tu

    Kocha aliposema ligi yetu ni dhaifu alikuwa anaona matches ambazo tunacheza na teams zinavyolegea na kufanya makosa ya kipuuzi. Lengo letu ni kuwapiga watu mkono na makono wakati mwingine. Lakini ilikuwa haisaidii team. Tunaona mikia jinsi wanavyokaziwa ndani ya ligi. Inawasaidia hata...
  5. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania System Inatupiga Fix: CAG Anasema Ukweli, Wao Wanazima Taa – Tumechoka Kuibiwa Kifalme!

    Yo ma men, sikiliza hii game real quick... CAG ni OG wetu kwenye system, yaani Controller and Auditor General, the man supposed to check these sneaky-ass politicians when they misuse our tax money. But guess what? Every time jamaa anatoa report, it's like he droppin' a bomb on dirty secrets –...
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Kipa Camara tunampenda na Katusaidia sana, ila aambiwe Ukweli kuwa Jana ilibakia kidogo tu angetugharimu hasa Kinidhamu

    Aina ya ule upotezaji wake wa Muda kuna mahala ulikuwa unaonekana kabisa kuwa alikuwa akiitafuta ama Kadi ya Njano au Nyekundu kwa lazima ili labda Timu idhoofike au asicheze Fainali ya CAFCC kama Timu ingefuzu au labda huku Kusifiwa kwingi Kwake kumeshamharibu na anajiona Peter Shilton wa zama...
  7. 29Oct2025

    JamiiForums Tanzania Ali kamwe tuambie ukweli huko uliko

  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Tulishawaonyeni sana hapa JamiiForums kuwa hawa 'QNET' ni 'Matapeli' hamkusikia sasa ngojeni 'Wawanyoosheni' ili mkome

    WAATHIRIKA WA AJIRA ZA QNET WAANZA KUREJESHWA MAKWAO: Waathirika wa utapeli unaofanywa kupitia Kampuni ya Biashara ya Mtandao Q Net katika eneo la Mbezi Dar es Salaam wameanza kurejeshwa makwao kupitia operesheni maalumu inayofanywa na ofisi za wenyeviti a serikali za mitaa ikihusisha kuondolewa...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumesha gawanyika huo ndiyo ukweli!

    Watanzania tayari hatuko pamoja. Kuna kundi mmoja la watu wanaona mambo na nchi yetu iendelee hivi lakini kuna kundi kubwa sana ambalo lipo kwa sasa pamoja na mimi binafsi ambao tumechoshwa sana na uonevu wa haki za binadamu unao endelea Tanzania. Mara ya mwisho Watanzania tulikuwa wamoja ni...
  10. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Asilimia 70% ya wamarekani( USA) ni masikini. Takwimu hizi ni za ukweli?

    Haya si maneno yangu. Ni maneno ya 👇👇👇
  11. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hatupendi kusikia ukweli?

    Ukweli ni kitu cha ajabu sana. Ni kama jua kali linalozalisha jasho kali hata kwa mtu aliyekuwa akijificha kwenye kivuli. Ni kama kioo kilichowekwa mbele ya mtu, kikimwonyesha sura yake halisi—pasipo mapambo, pasipo tabasamu la bandia. Ukweli haupendi mzaha, haufichi, wala haupendelei upande...
  12. Setfree

    JamiiForums Tanzania Ukweli uliofichwa: Divai aliyotengeneza Yesu haikuwa ya kulevya

    Katika kitabu cha Yohana 2:1-25 kuna habari ya muujiza alioufanya Yesu wa kubadili maji kuwa divai - wakati wa arusi ya Kana. Hiyo divai aliyotengeneza Yesu, ilikuwa non-alcoholic; haikulewesha. Huu ni ukweli ambao shetani hapendi uujue ili uangamie kwa dhambi ya ulevi. Twende pamoja sasa...
  13. UHURUWANGU

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari Tanzania - Bado ni BASTOLA ya Wananchi au zimegeuka kuwa SILAHA za Watawala?

    Katika jamii yoyote huru na inayothamini demokrasia, vyombo vya habari ni uti wa mgongo wa haki na uwajibikaji. Habari ni daraja kati ya wananchi na watawala. Waandishi wa habari ni walinzi wa ukweli, si mashabiki wa nguvu. Lakini leo hii, nchini Tanzania, swali kubwa linazidi kuibuka: Je...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Historia ya Pasaka (Easter): Chanzo, Mageuzi na Ukweli Usiosimuliwa Mara Nyingi.

    1. Asili ya Pasaka ya Kiebrania (Passover) Pasaka halisi, inayojulikana kama Pasaka ya Kiebrania (Hebrew Passover), ilianzishwa na Mungu mwenyewe kupitia Musa katika Agano la Kale. Inatajwa kwa mara ya kwanza katika Kitabu cha Kutoka 12, ambapo Mungu aliwaagiza Waisraeli kuchinja mwana-kondoo...
  15. incredible terminator

    JamiiForums Tanzania Huu ndio ukweli ambao watu wengi wanaogopa kusema

    HUU NDIO UKWELI AMBAO WATU WENGI WANAOGOPA KUSEMA. Leo Ijumaa Kuu kwetu wakristo tunaiita ni siku ya kumbukizi ya Mateso kwa mwana wa Mungu. Nami nimeona sio vibaya niseme maneno ambayo baadhi ya watu wanaogopa hata kuyasikia. Lengo langu sio kuhimiza uasi wala ubaya ila napenda kusema...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Kuna ukweli wowote katika hili ?

  17. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Tuambiane ukweli Je Kuna siri gani kwenye kuimba/Mziki?

    Nina amini kuna siri kubwa sana kwenye kuimba haijarishi unaimba katika lengo gani. Tukianza na kwenye tamaduni zetu za kijadi karibia kila kusanyiko nyimbo huhusika yaani burudani. Angalia kwenye Dini iwe ukristo au uislamu nyimbo zinahusika pakubwa sana kwenye uislamu utakuna na kaswida...
  18. S

    JamiiForums Tanzania TUSEME UKWELI >Kauli ya Tundu>> Kama Mtanzania au wewe ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Tuachane na siasa , watoto wadogo wanahitaji kauli ya WaTanzania kwa kile alichokitamka Mheshimiwa Tundu Lisu. Watoto wetu wanasoma mashule na wengine husikia na kusoma habari ,wanaposikia kuna mtu ameshitakiwa au kutuhumiwa kwa kosa la Uhaini ,wanahitajia jibu lako kwanza waelewe hilo kosa...
  19. Mtunza siri zako

    JamiiForums Tanzania Nidanganye na yaliyokukuta mwaka huu: Niambie mambo mawili ya ukweli na moja la uongo

    Bandugu bado nauguza maumivu, njooni tujiburudishe na kazoezi haka nilikokawaza asubuhi hii. Niambie mambo matatu - mawili ya ukweli na moja la uongo yaliyotokea kwako kwa mwaka 2025 na mimi nitajaribu kukisia la uongo ni lipi na kukujibu. Kama utapenda muite mtu unayetaka akujibu au akisie...
  20. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu ni utafiti mdogo niliofanya siku nyingi sana

    Salaam jamiiforum. 1.Idadi ya wasio kuwa na hofu ya Mungu inashamiri kwa kasi ya radi. 2.Namba ya wanaokwenda kanisani au Kwa maonesho ya mitindo ya mavazi pamoja na wanavyomiliki na siyo kuabudu inaongezeka kila siku. 3.Idadi ya wanaume wengi wanaonyimwa tendo la NDOA na wake zao ni kubwa...
Back
Top Bottom