JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Ukweli ni upi?
INASEMEKANA WANAWAKE HAWAELEWEKI NA WANACHO KITAKA KWA WANAUME
Inasemekana kuwa wanawake hawajui kile wanachokitaka kutoka kwa wanaume. Ukiwa na pesa, atakuchiti kwa sababu ya muda; ukiwa na muda, atakuchiti kwa sababu huna pesa; ukiwa na nguvu, atakuchiti kwa sababu haujakuwa romantic.
Je...