Ujamaa (lit. 'familyhood' in Swahili) was a socialist ideology that formed the basis of Julius Nyerere's social and economic development policies in Tanzania after it gained independence from Britain in 1961.More broadly, ujamaa may mean "cooperative economics", in the sense of "local people cooperating with each other to provide for the essentials of living", or "to build and maintain our own stores, shops, and other businesses and to profit from them together", as in Kwanzaa.
Ujamaa shop
Kama una mtaji mdogo, unaweza kufanya biashara hii huku ukijitengenezea 'brand' 'ujamaa shop'
Tembelea vijiji 2 au zaidi kutokana na nafasi uliyonayo
Anzisha maduka madogo madogo yenye muonekano wa gende; yatakayokuwa yanauza vitu vidogo vidogo kama vile vile; kiberiti, sukari ya...
Tungeambiwa sisi ni wajamaa hivyo ni lazima tuwaunge mkono wakomunisti hata kama ni kwa shingo upande.
Mambo yamebadilika sana kwa mfano Tundu Lissu ndio anaishi upande wa magharibi.
Maendeleo hayana vyama!
Life is so good now, kila kitu tunagawana. Maji tunagawana, umeme tunagawana, Barabarani tunavumiliana na dizel tunachoma.
Kwa kifupi life is so good now. What do you think?😀. Kama hujaoga siku mbili usikomenti hapa. Skiiip.
Tutajidili tuliooga tu.
Kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu
Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua
Wenzetu China walikomaa na ujamaa na walivyopata matokeo na kufikia mahali...
Poleni na majukumu ya kulijenga taifa,
Hapo kabla ya sheria mpya ya madini ya mwaka 2017,haijatungwa na kupitishwa, wakaguzi wa madini migodini walikuwa wanaenda kwenye vituo vya ukaguzi, hasa migodi mikubwa na ya kati kwa utaratibu wa mzunguko/rotations yaani leo upo hapa kesho pale, ili...
Nchi maendeleo huja ukiwa na mfumo sahihi wa maendeleo.
Duniani kuna mifumo miwili au mitatu au zaidi inayoongoza chumi za nchi
Ambapo ni Ujamaa na Ubepari
Kuna ujamaa wa aina mbili
Kuna ujamaa ulokolea au ujamaa asilia ambao ni Ucommunist na pia kuna ujamaa wa kisasa ambao ni Usoshalisti...
Soma hii hapa chini
Freeman Mbowe alianza kufanya biashara akiwa na miaka 23,anasema hali ya biashara nchini ilikuwa mbaya baada ya Azimio la Arusha. Pia Mbowe anasema baba yake alikataa Ujamaa na ndipo walipo tengana na Mwalimu akamwambia “tutabaki marafiki lakini niache niendelee na biashara...
PROCEEDINGS OF THE INTERNATIONAL CONFERENCE ON
8-9 August 2002
Peace, Unity and People – Centred Development
The Legacy of Mwalimu Julius K Nyerere
OFFICIAL CLOSING ADDRESS
By
Ambassador Emmanuel Asajile Mwambulukutu
Tanzania High Commissioner to South Africa (1999 – 2008)
Chairperson...
JF
Nimeona nianzishe uzi tujadili hili maana nimeona minyukano ya pandehizi mbili na matusi juu wakati huu hasa baada ya kuondokewa na Rais wetu mpendwa Magufuli...RIP..
Mi nadhan kwanza wanataka kumyumbisha Rais wetu Mama Samia na utawala wake...sidhani hawaelewi kwamba wananchi majority zaidi...
Kwa jinsi nimechukia sina haja ya kutoa salamu, moja kwa moja katika mada.
Ni kuhusu mkutano wa leo mjini Dodoma kati ya wana CCM wakongwe wakijaribu kutuvisha vijana koti la ujamaa kwa nguvu. Ni kuwa suala hili haliwezekani tena, huyu mzee anaeshupalia ujamaa inapaswa atuambie kwa namna gani...
CCM NIPE UWEZO,NITANGAZE UJAMAA TANZANIA KOTE.
Leo 10:15hrs 05/02/2021
Tarehe 5 mwezi wa pili tunaadhimisha kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi,CCM kilichozaliwa tarehe 5 February 1977.Tunapokumbuka kuzaliwa kwa CCM tunakumbuka pia kuzaliwa kwa Azimio la Arusha ambalo nalo lilizaliwa tarehe 5...
Yaani tu basi....
=======
Polisi Dar wapiga marufuku jogging siku za ibada
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kuwa halitatoa vibali kwa ajili ya watu kufanya mbio za taratibu (jogging) katika siku za ibada kwa sababu wafanya mazoezi hao wamekuwa wakiwachelewesha waumini...
Falsafa wanzilishi ya Tanzania, Ujamaa, ilielewa uhusiano kati ya rangi ya ngozi, ukoloni, na ukandamizaji.
Hivyo ilikuwa na lengo la kuondoa dhana ya kudharilishwaji wa ngozi Nyeusi kwa kutokomeza sababu zinazochangia kupitia programu tofauti, mojawapo ikiwa elimu ya uzalendo .
Lengo kubwa...
Fikiria uko mjini unakatiza mitaa mara paaap wife na mshkaji halafu wako huru wanagonga mikono na vicheko kibao jamaa humjui wala nini.
Niambie Mkulungwa mwenzangu utafanyaje? Utawapa hai na kuwaacha waendelee na hamsini zao au utawajoin? Niambie Mkulungwa mwenzangu utafanyaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.