CCM nipe uwezo nitangaze Ujamaa Tanzania kote

Leslie Mbena

JF-Expert Member
Nov 24, 2019
207
677
CCM NIPE UWEZO,NITANGAZE UJAMAA TANZANIA KOTE.

Leo 10:15hrs 05/02/2021

Tarehe 5 mwezi wa pili tunaadhimisha kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi,CCM kilichozaliwa tarehe 5 February 1977.Tunapokumbuka kuzaliwa kwa CCM tunakumbuka pia kuzaliwa kwa Azimio la Arusha ambalo nalo lilizaliwa tarehe 5 mwezi wa pili 1967 na kuleta Ujamaa kama falsafa ya maisha ya kisiasa na kiuchumi yaliyohusu mahusiano ya kiuchumi,kijamii na mengineyo baina ya wahusika katika jamii yao,kujitegemea kulihusu uhusiano wa aina hiyo baina ya jamii moja ndogo mfano kijiji ama pana kwa maana ya kitaifa na jamii nyingine nje ya umoja wao ndogo kwa maana ya Nchi ama pana kwa maana ya mataifa.Kulikuwa na imani iliyosema "Cheo ni dhamana,sitakitumia cheo changu kwa manufaa binafsi" na imani nyingine ilisema "rushwa ni adui wa haki,sitapokea wala kutoa rushwa" yote haya kwa pamoja yalijulikana kama miiko ya Uongozi,

Azimio la Arusha lilichukuliwa kama nguzo ya Uongozi katika utawala wote wa Mwalimu Julius Nyerere.Azimio la Arusha ndilo lilikuwa suluhisho kwa kuwa liliwapa Watanzania taswira na tumaini,Vita dhidi ya dhuluma ilikuwa pana sana kwa vile iliunganishwa na misingi ya uongozi,Kwa mtu yeyote anayejua maana ya uongozi wakati wa Tanu na CCM first generation atajua wazi kuwa Uongozi tuliojenga baada ya Azimio la Zanzibar ni tofauti kabisa na ule uliokuwepo chini ya Azimio la Arusha,wakati wa Azimio la Arusha,Wazee wetu waliishi kwenye vipato vyao,hakukuwa na tamaa,Uzalendo ulikuwa juu,aliyepewa kiwanja eneo la viwanda Pugu road aliuza na kwenda kujenga Kinondoni au Sinza maana alijua kwa kipato chake hawezi kujenga kiwanda,Vijana wengi waliozaliwa miaka ya hivi karibuni hawana habari za uhakika juu ya Ujamaa,hawana uchungu na ujamaa kutoendelea nchini,hata kidogo.

Mwalimu Julius Nyerere alianzisha Ujamaa baada ya kumuona muungwana na mtumwa,mtu mkubwa na mtu wa kawaida,bwana shamba na mkulima mtumwa,fundi wa ushirika wa wasanifu na mwanafunzi wa kazi, kwa ufupi anayekandamiza na anayekandamizwa,wakipingana daima,wakiendeleza mapigano yasiyokatizwa,mara ya siri,mara ya dhahiri,mapigano ambayo kila wakati humalizika ama kwa ujengwaji tena wa kuheshimiana au kwa kujiteketeza wenyewe tabaka zishindanazo,Baadhi ya "values" ambazo Tanzania tunajivunia leo ni kutokana na mafundisho ya itikadi ya Ujamaa tuliokuwa nao,Tanzania ilijitegemea sana baada ya Uhuru,tulilima katani, Pamba, Chai na Kahawa kwa wingi,tulikuwa na uchumi mzuri sana.

Tulipotangaza ujamaa tuliwaudhi mabepari Ulaya na Marekani nao wakabadilisha mfumo wa kiuchumi wa dunia kupambana na nchi changa ambazo zimeamua kujitegema,tuliona Ulaya na Marekani wakigoma kutuuzia vipuri vya mitambo ya viwanda vyetu hata tukashindwa kuendelea kuendesha viwanda vyetu,Vijana wa siku hizi wanashangilia wanachokitaka mabepari pasipo kufahamu,kwa namna hiyo ndipo dhana ya Ukoloni mamboleo ikapata chati sana kipindi hicho,ikazuka kilichojulikana kama "fifth column",hawa ni majasusi waliokuwa wakitumwa kuja katika nchi hizo na kuvuruga uchumi,tukapata vita ambayo haikutarajiwa mfano vita vya Kagera ambapo Iddi Amini alisuppotiwa na Muingereza na Muisrael na baadae kusaidiwa na Ghadaf wa Libya baada ya Uingereza na Israel kugundua walikuwa wanamsaidia mjinga Iddi Amini Dada,kwa hakika vita hiyo ilituharibia kabisa kiuchumi.

Wakosoaji wa ujamaa wanapaswa kukubali mazingiira yaliyotupata wakati huo na kuuvuruga ujamaa,Kwangu Julius Nyerere atabaki shujaa wa Tanzania na Ujamaa ndio ilikuwa dira sahihi kwa nchi yetu kwa wakati ule,tumevurugwa kama walivyovurugwa wengine duniani kote,Cuba, Guatemala japo China na Urusi wameendelea na Ujamaa wao hata sasa,Waingereza wanamkumbuka Winston Churchill kwa uongozi wake wakati wa vita ya pili ya Dunia,kule wamepita wengi kama akina Thatcher ambaye Waingereza hawakupenda jinsi alivyoiingiza dola yao vitani Visiwani Falkalnds dhidi ya Argentina,Lakini wamesahau hilo wana Brexit leo,wanaendelea mbele,China wameshasahau ya Mao Tse Dong,wanasonga mbele,Mao aliwafaa miaka ile hasa kuwakomboa kutoka miiba ya Kuomintang na Wajapani wavamizi miaka ya 1940.

Leo Marshal Josip Broz Tito akifufuka hataitambua Yugoslavia kuu aliyoiunganisha. Leo tuna Croatia, Bosnia, Serbia, Montenegro na Macedonia ya Kaskazini zillzotengeneza Yugoslavia ya Tito,hakuna anayemlaumu Marshall Tito kwa utawala wake enzi za Yugoslavia,wameunda mataifa yao mbadala mengi tu na wanacheza mpira kombe la dunia wanafurahia maisha yao,wamefika fainali na Wametoa (Croatia) mchezaji bora wa michuano hiyo mwaka 2018.kule Urusi,Putin aliachwa ajiokoe mwenyewe Berlin ukuta ulipoporomoshwa miaka ya 1990 mwanzoni. Leo ni Rais na anaisimamia Urusi vema hata kama imemeguka tofauti na ilivyokuwa Soviet Union,husikii akilaumu laumu Yeltsin sijui Gorbachov kwa kumwacha "solemba" kama nilivyosikia zamani vijana wakisema,wanajua fika kuwa viongozi hao waliopita walikabili mazingira tofauti ya kiuchumi,kisiasa na kijamii na hivyo walikuwa na shinikizo la kuasisi sera na dira inayofaa kama vile wanavyoona wao wenyewe kuyavusha mataifa yao.

Inajulikana kuwa akina Frederick William D'Klerk na wenzake hawakuzifurahia sera za babu zao za ubaguzi wa rangi huko Afrika Kusini,hawakuwalaumu hao wazee akina Hendrik Verwoerd na akina Pik Botha na akina Magnus Malan,badala yake walijjiunga na siasa za Nationalist Party na kujiunga na kile chama chao cha mshikamano wa Broederbond,kule wakapiga siasa na kugombea uongozi hadi wakachaguliwa kushika vyeo vya juu vya chama. Alipochaguliwa kuwa Rais wa Afrika Kusini akasema "Tuongee na Mandela tujue anataka nini!" Leo Afrika Kusini kuna mabadiliko na waswahili kule angalau wanapumua,washindwe wenyewe.

-Wema wa Julius Nyerere kwa Afrika na Dunia.

Miongoni mwa wanaomsema Nyerere kwa wema,wapo Wachina.Ndugu yangu Goodluck Ngingo ananiambia wengi wanaosema mazuri ya Mwalimu Julius Nyerere wapo nchini na wengine nje ya Tanzania,ukienda Porto Allegre, Brazill, ukijulikana unatoka Tanzania utaambiwa uko mmetoa watu watatu muhimu duniani Julius Nyerere,Daktari Salim Ahmed Salim na sasa Daktari John Magufuli,na kwa Afrika mmetoa watu wawili muhimu wanaokumbukwa na Dunia nzima,Nelson Mandela na Julius Nyerere." Ukienda kule Papua New Guinea Waziri mstaafu alinukuliwa akisema baada ya semina fulani "Nilitumwa na nchi yangu kwenda Tanzania miaka ya 1970 kujifunza juu ya sera ya Mwalimu na serikali ya nchi yake ya Ujamaa na Kujitegemea hasa elimu ya Kujitegemea"

Ukienda Namibia ukiingia hospitali ukajitambulisha wewe ni Mtanzania utapokelewa kwa vigelegele na manesi na madaktari wengi wa Namibia wa hosiptali hiyo,wataambizana "Njoo mumuone mtu wa Nyerere, Nyerere, Tanzania, Julius Nyerere." Mtakumbuka hata ziara ya Rais John Magufuli nchini Namibia,Rais wa Namibia alisema amemwachia Ikulu Rais wa Tanzania,John Magufuli na yeye amekwenda kulala kwenye nyumba yake ya kawaida,naamini mnanielewa ndugu zangu,hii ipo Australia na kote tunapoenda,Mzee Wangu Injinia Oscar Mloka alipokuwa akitoa mada katika Chuo kikuu kimoja jijini Melbourne aliulizwa juu ya ujamaa wa Mwalimu Julius Nyerere na mtazamo wake,alisema hivi,athari zipo kwa serikali zote za nchi zao kulingana na mazingira ya kiutawala na kisiasa ya ndani na nje,kote huko kuna athari,Leo wasomi wanasema ilikuwa makosa kwa US kuingia vitani Irak na Afghanistan,Leo wanasema Ili kuwa makosa kumwondoa Gadhafi huko Libya,Nchi gani haina athari?

Hivi leo Uingereza wanahangaika na maamuzi ya Brexit mpaka leo,Trump ameng'olewa na Biden ingawa alidhaniwa ataifanya Marekani kuwa "Great Again." Trujillo aliondolewa kwa mapinduzi ya kijeshi huko Dominica eti dikteta,Leo Dominica ipo vizuri kuliko jirani yake Haiti ingawa aliyeianzishia sura hiyo Rafel Trujilo alidhalilishwa,Mzee Oscar Mloka aliyekuwa Mbunge wa Morogoro Mjini 2000-2005 aliwaambia kule Uingereza Mwaka 1991 kuwa dira ya nchi hii ya Ujamaa iliharibiwa na nguvu ya mabeberu iliyokuwa nje ya uwezo wa nchi yetu,pigo la mwisho lilikuwa vita ya Idi Amini,Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na viwanda nchi nzima,rushwa ilikua chini sana,uzalendo ulikuwa juu, mishahara ililipwa kwa wakati, umaskini uliendelea kudhibitiwa, elimu ilikuwa bure hadi Chuo Kikuu,baada ya Mao Tse Dong kufa mkewe na wengine watatu walikamatwa na kushitakiwa akiwemo Deng Tsiao Ping,Marshall Lin Piao na mwingine mmoja waliwekwa ndani lakini baada ya miaka mingi baadhi yao walisafishwa,Nadhani Deng alkuja kuiongoza China,awa ni Viongozi waliosimamia ujamaa katika nchi zao na Leo tunaiona China iliyostawi kiuchumi duniani.

Nimalizie kwa kusema,Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni miongoni mwa vitu vilivyofumbua macho uongozi uliopo madarakani kuwa yapo mambo yalikuwa yakifanywa na Viongozi na yalikuwa hayawapendezi wananchi,ndiyo maana mpaka leo Azimio la Arusha lililoleta Ujamaa wapo wanaolitaja kwa ubaya kuwa ooh walinyanganywa Mali,lakini ukifuatilia wao ndio walinyanganywa Mali kwa kuwa walifanya Ufisadi,Nikueleze tu ndugu yangu pamoja na ukali wa Mwalimu Julius Nyerere bado waswahili walikuwa wanaiba na yapo mashirika mengi yalikufa,kumbuka Che Guevara na Fidel Castro waliwahi kumwambia Mwalimu aongeze ukali kwenye falsafa yake ya Ujamaa ili mambo yaweze kwenda sawa sawa na maono ya Azimio la Arusha,

Mwalimu Julius Nyerere akamuandaa Edward Moringe Sokoine awe mrithi wake kwa kuwa ndiye aliyekuwa mfuasi wa kweli wa Mwalimu Julius Nyerere,Mwaka 1983 kabla Mwalimu Nyerere kung'atuka madarakani,tukampoteza Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine kwa ajali ya gari,baada ya msafara wa gari yake kugongana na gari lililokuwa linaendeshwa na Muafrika kusini,Dube,Pumzika kwa amani Edward Moringe Sokoine,roho yako bado inaishi,leo tumempata mfuasi mwingine wa Mwalimu Julius Nyerere nae ni Daktari John Pombe Magufuli,Azimio la Arusha limepata dereva mwingine,Ujamaa na Kujitegemea umekuwa tena nguzo ya kuijenga Tanzania katika awamu ya tano ya Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli.Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Umesahau kuweka anwani yako. Na nambari ya simu.
Usiache kutoa physical address yako, but sad and bad nyuzi...... Nafasi za uteuzi zimebakia kwan@act WAZALENDO onile
 
Nakushukuru kwa muhutasari huu, ni bahati mbaya vijana wetu hawana uwezo wa kuyasoma haya na kuyaelewa! Uwezo wao unaishia - "ANACHUKUA ANA WEKA WAAA!" Utajua akili zao ziko hivyo kufuatana na watakavyo changia hapa - subiri!
 
CCM NIPE UWEZO,NITANGAZE UJAMAA TANZANIA KOTE.

Leo 10:15hrs 05/02/2021

Tarehe 5 mwezi wa pili tunaadhimisha kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi,CCM kilichozaliwa tarehe 5 February 1977.Tunapokumbuka kuzaliwa kwa CCM tunakumbuka pia kuzaliwa kwa Azimio la Arusha ambalo nalo lilizaliwa tarehe 5 mwezi wa pili 1967 na kuleta Ujamaa kama falsafa ya maisha ya kisiasa na kiuchumi yaliyohusu mahusiano ya kiuchumi,kijamii na mengineyo baina ya wahusika katika jamii yao,kujitegemea kulihusu uhusiano wa aina hiyo baina ya jamii moja ndogo mfano kijiji ama pana kwa maana ya kitaifa na jamii nyingine nje ya umoja wao ndogo kwa maana ya Nchi ama pana kwa maana ya mataifa.Kulikuwa na imani iliyosema "Cheo ni dhamana,sitakitumia cheo changu kwa manufaa binafsi" na imani nyingine ilisema "rushwa ni adui wa haki,sitapokea wala kutoa rushwa" yote haya kwa pamoja yalijulikana kama miiko ya Uongozi,

Azimio la Arusha lilichukuliwa kama nguzo ya Uongozi katika utawala wote wa Mwalimu Julius Nyerere.Azimio la Arusha ndilo lilikuwa suluhisho kwa kuwa liliwapa Watanzania taswira na tumaini,Vita dhidi ya dhuluma ilikuwa pana sana kwa vile iliunganishwa na misingi ya uongozi,Kwa mtu yeyote anayejua maana ya uongozi wakati wa Tanu na CCM first generation atajua wazi kuwa Uongozi tuliojenga baada ya Azimio la Zanzibar ni tofauti kabisa na ule uliokuwepo chini ya Azimio la Arusha,wakati wa Azimio la Arusha,Wazee wetu waliishi kwenye vipato vyao,hakukuwa na tamaa,Uzalendo ulikuwa juu,aliyepewa kiwanja eneo la viwanda Pugu road aliuza na kwenda kujenga Kinondoni au Sinza maana alijua kwa kipato chake hawezi kujenga kiwanda,Vijana wengi waliozaliwa miaka ya hivi karibuni hawana habari za uhakika juu ya Ujamaa,hawana uchungu na ujamaa kutoendelea nchini,hata kidogo.

Mwalimu Julius Nyerere alianzisha Ujamaa baada ya kumuona muungwana na mtumwa,mtu mkubwa na mtu wa kawaida,bwana shamba na mkulima mtumwa,fundi wa ushirika wa wasanifu na mwanafunzi wa kazi, kwa ufupi anayekandamiza na anayekandamizwa,wakipingana daima,wakiendeleza mapigano yasiyokatizwa,mara ya siri,mara ya dhahiri,mapigano ambayo kila wakati humalizika ama kwa ujengwaji tena wa kuheshimiana au kwa kujiteketeza wenyewe tabaka zishindanazo,Baadhi ya "values" ambazo Tanzania tunajivunia leo ni kutokana na mafundisho ya itikadi ya Ujamaa tuliokuwa nao,Tanzania ilijitegemea sana baada ya Uhuru,tulilima katani, Pamba, Chai na Kahawa kwa wingi,tulikuwa na uchumi mzuri sana.

Tulipotangaza ujamaa tuliwaudhi mabepari Ulaya na Marekani nao wakabadilisha mfumo wa kiuchumi wa dunia kupambana na nchi changa ambazo zimeamua kujitegema,tuliona Ulaya na Marekani wakigoma kutuuzia vipuri vya mitambo ya viwanda vyetu hata tukashindwa kuendelea kuendesha viwanda vyetu,Vijana wa siku hizi wanashangilia wanachokitaka mabepari pasipo kufahamu,kwa namna hiyo ndipo dhana ya Ukoloni mamboleo ikapata chati sana kipindi hicho,ikazuka kilichojulikana kama "fifth column",hawa ni majasusi waliokuwa wakitumwa kuja katika nchi hizo na kuvuruga uchumi,tukapata vita ambayo haikutarajiwa mfano vita vya Kagera ambapo Iddi Amini alisuppotiwa na Muingereza na Muisrael na baadae kusaidiwa na Ghadaf wa Libya baada ya Uingereza na Israel kugundua walikuwa wanamsaidia mjinga Iddi Amini Dada,kwa hakika vita hiyo ilituharibia kabisa kiuchumi.

Wakosoaji wa ujamaa wanapaswa kukubali mazingiira yaliyotupata wakati huo na kuuvuruga ujamaa,Kwangu Julius Nyerere atabaki shujaa wa Tanzania na Ujamaa ndio ilikuwa dira sahihi kwa nchi yetu kwa wakati ule,tumevurugwa kama walivyovurugwa wengine duniani kote,Cuba, Guatemala japo China na Urusi wameendelea na Ujamaa wao hata sasa,Waingereza wanamkumbuka Winston Churchill kwa uongozi wake wakati wa vita ya pili ya Dunia,kule wamepita wengi kama akina Thatcher ambaye Waingereza hawakupenda jinsi alivyoiingiza dola yao vitani Visiwani Falkalnds dhidi ya Argentina,Lakini wamesahau hilo wana Brexit leo,wanaendelea mbele,China wameshasahau ya Mao Tse Dong,wanasonga mbele,Mao aliwafaa miaka ile hasa kuwakomboa kutoka miiba ya Kuomintang na Wajapani wavamizi miaka ya 1940.

Leo Marshal Josip Broz Tito akifufuka hataitambua Yugoslavia kuu aliyoiunganisha. Leo tuna Croatia, Bosnia, Serbia, Montenegro na Macedonia ya Kaskazini zillzotengeneza Yugoslavia ya Tito,hakuna anayemlaumu Marshall Tito kwa utawala wake enzi za Yugoslavia,wameunda mataifa yao mbadala mengi tu na wanacheza mpira kombe la dunia wanafurahia maisha yao,wamefika fainali na Wametoa (Croatia) mchezaji bora wa michuano hiyo mwaka 2018.kule Urusi,Putin aliachwa ajiokoe mwenyewe Berlin ukuta ulipoporomoshwa miaka ya 1990 mwanzoni. Leo ni Rais na anaisimamia Urusi vema hata kama imemeguka tofauti na ilivyokuwa Soviet Union,husikii akilaumu laumu Yeltsin sijui Gorbachov kwa kumwacha "solemba" kama nilivyosikia zamani vijana wakisema,wanajua fika kuwa viongozi hao waliopita walikabili mazingira tofauti ya kiuchumi,kisiasa na kijamii na hivyo walikuwa na shinikizo la kuasisi sera na dira inayofaa kama vile wanavyoona wao wenyewe kuyavusha mataifa yao.

Inajulikana kuwa akina Frederick William D'Klerk na wenzake hawakuzifurahia sera za babu zao za ubaguzi wa rangi huko Afrika Kusini,hawakuwalaumu hao wazee akina Hendrik Verwoerd na akina Pik Botha na akina Magnus Malan,badala yake walijjiunga na siasa za Nationalist Party na kujiunga na kile chama chao cha mshikamano wa Broederbond,kule wakapiga siasa na kugombea uongozi hadi wakachaguliwa kushika vyeo vya juu vya chama. Alipochaguliwa kuwa Rais wa Afrika Kusini akasema "Tuongee na Mandela tujue anataka nini!" Leo Afrika Kusini kuna mabadiliko na waswahili kule angalau wanapumua,washindwe wenyewe.

-Wema wa Julius Nyerere kwa Afrika na Dunia.

Miongoni mwa wanaomsema Nyerere kwa wema,wapo Wachina.Ndugu yangu Goodluck Ngingo ananiambia wengi wanaosema mazuri ya Mwalimu Julius Nyerere wapo nchini na wengine nje ya Tanzania,ukienda Porto Allegre, Brazill, ukijulikana unatoka Tanzania utaambiwa uko mmetoa watu watatu muhimu duniani Julius Nyerere,Daktari Salim Ahmed Salim na sasa Daktari John Magufuli,na kwa Afrika mmetoa watu wawili muhimu wanaokumbukwa na Dunia nzima,Nelson Mandela na Julius Nyerere." Ukienda kule Papua New Guinea Waziri mstaafu alinukuliwa akisema baada ya semina fulani "Nilitumwa na nchi yangu kwenda Tanzania miaka ya 1970 kujifunza juu ya sera ya Mwalimu na serikali ya nchi yake ya Ujamaa na Kujitegemea hasa elimu ya Kujitegemea"

Ukienda Namibia ukiingia hospitali ukajitambulisha wewe ni Mtanzania utapokelewa kwa vigelegele na manesi na madaktari wengi wa Namibia wa hosiptali hiyo,wataambizana "Njoo mumuone mtu wa Nyerere, Nyerere, Tanzania, Julius Nyerere." Mtakumbuka hata ziara ya Rais John Magufuli nchini Namibia,Rais wa Namibia alisema amemwachia Ikulu Rais wa Tanzania,John Magufuli na yeye amekwenda kulala kwenye nyumba yake ya kawaida,naamini mnanielewa ndugu zangu,hii ipo Australia na kote tunapoenda,Mzee Wangu Injinia Oscar Mloka alipokuwa akitoa mada katika Chuo kikuu kimoja jijini Melbourne aliulizwa juu ya ujamaa wa Mwalimu Julius Nyerere na mtazamo wake,alisema hivi,athari zipo kwa serikali zote za nchi zao kulingana na mazingira ya kiutawala na kisiasa ya ndani na nje,kote huko kuna athari,Leo wasomi wanasema ilikuwa makosa kwa US kuingia vitani Irak na Afghanistan,Leo wanasema Ili kuwa makosa kumwondoa Gadhafi huko Libya,Nchi gani haina athari?

Hivi leo Uingereza wanahangaika na maamuzi ya Brexit mpaka leo,Trump ameng'olewa na Biden ingawa alidhaniwa ataifanya Marekani kuwa "Great Again." Trujillo aliondolewa kwa mapinduzi ya kijeshi huko Dominica eti dikteta,Leo Dominica ipo vizuri kuliko jirani yake Haiti ingawa aliyeianzishia sura hiyo Rafel Trujilo alidhalilishwa,Mzee Oscar Mloka aliyekuwa Mbunge wa Morogoro Mjini 2000-2005 aliwaambia kule Uingereza Mwaka 1991 kuwa dira ya nchi hii ya Ujamaa iliharibiwa na nguvu ya mabeberu iliyokuwa nje ya uwezo wa nchi yetu,pigo la mwisho lilikuwa vita ya Idi Amini,Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na viwanda nchi nzima,rushwa ilikua chini sana,uzalendo ulikuwa juu, mishahara ililipwa kwa wakati, umaskini uliendelea kudhibitiwa, elimu ilikuwa bure hadi Chuo Kikuu,baada ya Mao Tse Dong kufa mkewe na wengine watatu walikamatwa na kushitakiwa akiwemo Deng Tsiao Ping,Marshall Lin Piao na mwingine mmoja waliwekwa ndani lakini baada ya miaka mingi baadhi yao walisafishwa,Nadhani Deng alkuja kuiongoza China,awa ni Viongozi waliosimamia ujamaa katika nchi zao na Leo tunaiona China iliyostawi kiuchumi duniani.

Nimalizie kwa kusema,Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni miongoni mwa vitu vilivyofumbua macho uongozi uliopo madarakani kuwa yapo mambo yalikuwa yakifanywa na Viongozi na yalikuwa hayawapendezi wananchi,ndiyo maana mpaka leo Azimio la Arusha lililoleta Ujamaa wapo wanaolitaja kwa ubaya kuwa ooh walinyanganywa Mali,lakini ukifuatilia wao ndio walinyanganywa Mali kwa kuwa walifanya Ufisadi,Nikueleze tu ndugu yangu pamoja na ukali wa Mwalimu Julius Nyerere bado waswahili walikuwa wanaiba na yapo mashirika mengi yalikufa,kumbuka Che Guevara na Fidel Castro waliwahi kumwambia Mwalimu aongeze ukali kwenye falsafa yake ya Ujamaa ili mambo yaweze kwenda sawa sawa na maono ya Azimio la Arusha,

Mwalimu Julius Nyerere akamuandaa Edward Moringe Sokoine awe mrithi wake kwa kuwa ndiye aliyekuwa mfuasi wa kweli wa Mwalimu Julius Nyerere,Mwaka 1983 kabla Mwalimu Nyerere kung'atuka madarakani,tukampoteza Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine kwa ajali ya gari,baada ya msafara wa gari yake kugongana na gari lililokuwa linaendeshwa na Muafrika kusini,Dube,Pumzika kwa amani Edward Moringe Sokoine,roho yako bado inaishi,leo tumempata mfuasi mwingine wa Mwalimu Julius Nyerere nae ni Daktari John Pombe Magufuli,Azimio la Arusha limepata dereva mwingine,Ujamaa na Kujitegemea umekuwa tena nguzo ya kuijenga Tanzania katika awamu ya tano ya Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli.Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Moja Kati ya vitu muhimu saana vya kulifanya taifa kukua katika nyanja tofauti tofauti ni UZALENDO, Jambo ambalo vijana ambao ni taifa la kesho hakuna kabisa tupo tayari kushabikia mawazo ya mzungu na kumtukana kiongozi wetu, pasi na kujua kile tunachoshabikia. Mungu ibariki Tanzania, Rais wetu na watu wake.
 
RUBBISH!
CCM NIPE UWEZO,NITANGAZE UJAMAA TANZANIA KOTE.

Leo 10:15hrs 05/02/2021

Tarehe 5 mwezi wa pili tunaadhimisha kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi,CCM kilichozaliwa tarehe 5 February 1977.Tunapokumbuka kuzaliwa kwa CCM tunakumbuka pia kuzaliwa kwa Azimio la Arusha ambalo nalo lilizaliwa tarehe 5 mwezi wa pili 1967 na kuleta Ujamaa kama falsafa ya maisha ya kisiasa na kiuchumi yaliyohusu mahusiano ya kiuchumi,kijamii na mengineyo baina ya wahusika katika jamii yao,kujitegemea kulihusu uhusiano wa aina hiyo baina ya jamii moja ndogo mfano kijiji ama pana kwa maana ya kitaifa na jamii nyingine nje ya umoja wao ndogo kwa maana ya Nchi ama pana kwa maana ya mataifa.Kulikuwa na imani iliyosema "Cheo ni dhamana,sitakitumia cheo changu kwa manufaa binafsi" na imani nyingine ilisema "rushwa ni adui wa haki,sitapokea wala kutoa rushwa" yote haya kwa pamoja yalijulikana kama miiko ya Uongozi,

Azimio la Arusha lilichukuliwa kama nguzo ya Uongozi katika utawala wote wa Mwalimu Julius Nyerere.Azimio la Arusha ndilo lilikuwa suluhisho kwa kuwa liliwapa Watanzania taswira na tumaini,Vita dhidi ya dhuluma ilikuwa pana sana kwa vile iliunganishwa na misingi ya uongozi,Kwa mtu yeyote anayejua maana ya uongozi wakati wa Tanu na CCM first generation atajua wazi kuwa Uongozi tuliojenga baada ya Azimio la Zanzibar ni tofauti kabisa na ule uliokuwepo chini ya Azimio la Arusha,wakati wa Azimio la Arusha,Wazee wetu waliishi kwenye vipato vyao,hakukuwa na tamaa,Uzalendo ulikuwa juu,aliyepewa kiwanja eneo la viwanda Pugu road aliuza na kwenda kujenga Kinondoni au Sinza maana alijua kwa kipato chake hawezi kujenga kiwanda,Vijana wengi waliozaliwa miaka ya hivi karibuni hawana habari za uhakika juu ya Ujamaa,hawana uchungu na ujamaa kutoendelea nchini,hata kidogo.

Mwalimu Julius Nyerere alianzisha Ujamaa baada ya kumuona muungwana na mtumwa,mtu mkubwa na mtu wa kawaida,bwana shamba na mkulima mtumwa,fundi wa ushirika wa wasanifu na mwanafunzi wa kazi, kwa ufupi anayekandamiza na anayekandamizwa,wakipingana daima,wakiendeleza mapigano yasiyokatizwa,mara ya siri,mara ya dhahiri,mapigano ambayo kila wakati humalizika ama kwa ujengwaji tena wa kuheshimiana au kwa kujiteketeza wenyewe tabaka zishindanazo,Baadhi ya "values" ambazo Tanzania tunajivunia leo ni kutokana na mafundisho ya itikadi ya Ujamaa tuliokuwa nao,Tanzania ilijitegemea sana baada ya Uhuru,tulilima katani, Pamba, Chai na Kahawa kwa wingi,tulikuwa na uchumi mzuri sana.

Tulipotangaza ujamaa tuliwaudhi mabepari Ulaya na Marekani nao wakabadilisha mfumo wa kiuchumi wa dunia kupambana na nchi changa ambazo zimeamua kujitegema,tuliona Ulaya na Marekani wakigoma kutuuzia vipuri vya mitambo ya viwanda vyetu hata tukashindwa kuendelea kuendesha viwanda vyetu,Vijana wa siku hizi wanashangilia wanachokitaka mabepari pasipo kufahamu,kwa namna hiyo ndipo dhana ya Ukoloni mamboleo ikapata chati sana kipindi hicho,ikazuka kilichojulikana kama "fifth column",hawa ni majasusi waliokuwa wakitumwa kuja katika nchi hizo na kuvuruga uchumi,tukapata vita ambayo haikutarajiwa mfano vita vya Kagera ambapo Iddi Amini alisuppotiwa na Muingereza na Muisrael na baadae kusaidiwa na Ghadaf wa Libya baada ya Uingereza na Israel kugundua walikuwa wanamsaidia mjinga Iddi Amini Dada,kwa hakika vita hiyo ilituharibia kabisa kiuchumi.

Wakosoaji wa ujamaa wanapaswa kukubali mazingiira yaliyotupata wakati huo na kuuvuruga ujamaa,Kwangu Julius Nyerere atabaki shujaa wa Tanzania na Ujamaa ndio ilikuwa dira sahihi kwa nchi yetu kwa wakati ule,tumevurugwa kama walivyovurugwa wengine duniani kote,Cuba, Guatemala japo China na Urusi wameendelea na Ujamaa wao hata sasa,Waingereza wanamkumbuka Winston Churchill kwa uongozi wake wakati wa vita ya pili ya Dunia,kule wamepita wengi kama akina Thatcher ambaye Waingereza hawakupenda jinsi alivyoiingiza dola yao vitani Visiwani Falkalnds dhidi ya Argentina,Lakini wamesahau hilo wana Brexit leo,wanaendelea mbele,China wameshasahau ya Mao Tse Dong,wanasonga mbele,Mao aliwafaa miaka ile hasa kuwakomboa kutoka miiba ya Kuomintang na Wajapani wavamizi miaka ya 1940.

Leo Marshal Josip Broz Tito akifufuka hataitambua Yugoslavia kuu aliyoiunganisha. Leo tuna Croatia, Bosnia, Serbia, Montenegro na Macedonia ya Kaskazini zillzotengeneza Yugoslavia ya Tito,hakuna anayemlaumu Marshall Tito kwa utawala wake enzi za Yugoslavia,wameunda mataifa yao mbadala mengi tu na wanacheza mpira kombe la dunia wanafurahia maisha yao,wamefika fainali na Wametoa (Croatia) mchezaji bora wa michuano hiyo mwaka 2018.kule Urusi,Putin aliachwa ajiokoe mwenyewe Berlin ukuta ulipoporomoshwa miaka ya 1990 mwanzoni. Leo ni Rais na anaisimamia Urusi vema hata kama imemeguka tofauti na ilivyokuwa Soviet Union,husikii akilaumu laumu Yeltsin sijui Gorbachov kwa kumwacha "solemba" kama nilivyosikia zamani vijana wakisema,wanajua fika kuwa viongozi hao waliopita walikabili mazingira tofauti ya kiuchumi,kisiasa na kijamii na hivyo walikuwa na shinikizo la kuasisi sera na dira inayofaa kama vile wanavyoona wao wenyewe kuyavusha mataifa yao.

Inajulikana kuwa akina Frederick William D'Klerk na wenzake hawakuzifurahia sera za babu zao za ubaguzi wa rangi huko Afrika Kusini,hawakuwalaumu hao wazee akina Hendrik Verwoerd na akina Pik Botha na akina Magnus Malan,badala yake walijjiunga na siasa za Nationalist Party na kujiunga na kile chama chao cha mshikamano wa Broederbond,kule wakapiga siasa na kugombea uongozi hadi wakachaguliwa kushika vyeo vya juu vya chama. Alipochaguliwa kuwa Rais wa Afrika Kusini akasema "Tuongee na Mandela tujue anataka nini!" Leo Afrika Kusini kuna mabadiliko na waswahili kule angalau wanapumua,washindwe wenyewe.

-Wema wa Julius Nyerere kwa Afrika na Dunia.

Miongoni mwa wanaomsema Nyerere kwa wema,wapo Wachina.Ndugu yangu Goodluck Ngingo ananiambia wengi wanaosema mazuri ya Mwalimu Julius Nyerere wapo nchini na wengine nje ya Tanzania,ukienda Porto Allegre, Brazill, ukijulikana unatoka Tanzania utaambiwa uko mmetoa watu watatu muhimu duniani Julius Nyerere,Daktari Salim Ahmed Salim na sasa Daktari John Magufuli,na kwa Afrika mmetoa watu wawili muhimu wanaokumbukwa na Dunia nzima,Nelson Mandela na Julius Nyerere." Ukienda kule Papua New Guinea Waziri mstaafu alinukuliwa akisema baada ya semina fulani "Nilitumwa na nchi yangu kwenda Tanzania miaka ya 1970 kujifunza juu ya sera ya Mwalimu na serikali ya nchi yake ya Ujamaa na Kujitegemea hasa elimu ya Kujitegemea"

Ukienda Namibia ukiingia hospitali ukajitambulisha wewe ni Mtanzania utapokelewa kwa vigelegele na manesi na madaktari wengi wa Namibia wa hosiptali hiyo,wataambizana "Njoo mumuone mtu wa Nyerere, Nyerere, Tanzania, Julius Nyerere." Mtakumbuka hata ziara ya Rais John Magufuli nchini Namibia,Rais wa Namibia alisema amemwachia Ikulu Rais wa Tanzania,John Magufuli na yeye amekwenda kulala kwenye nyumba yake ya kawaida,naamini mnanielewa ndugu zangu,hii ipo Australia na kote tunapoenda,Mzee Wangu Injinia Oscar Mloka alipokuwa akitoa mada katika Chuo kikuu kimoja jijini Melbourne aliulizwa juu ya ujamaa wa Mwalimu Julius Nyerere na mtazamo wake,alisema hivi,athari zipo kwa serikali zote za nchi zao kulingana na mazingira ya kiutawala na kisiasa ya ndani na nje,kote huko kuna athari,Leo wasomi wanasema ilikuwa makosa kwa US kuingia vitani Irak na Afghanistan,Leo wanasema Ili kuwa makosa kumwondoa Gadhafi huko Libya,Nchi gani haina athari?

Hivi leo Uingereza wanahangaika na maamuzi ya Brexit mpaka leo,Trump ameng'olewa na Biden ingawa alidhaniwa ataifanya Marekani kuwa "Great Again." Trujillo aliondolewa kwa mapinduzi ya kijeshi huko Dominica eti dikteta,Leo Dominica ipo vizuri kuliko jirani yake Haiti ingawa aliyeianzishia sura hiyo Rafel Trujilo alidhalilishwa,Mzee Oscar Mloka aliyekuwa Mbunge wa Morogoro Mjini 2000-2005 aliwaambia kule Uingereza Mwaka 1991 kuwa dira ya nchi hii ya Ujamaa iliharibiwa na nguvu ya mabeberu iliyokuwa nje ya uwezo wa nchi yetu,pigo la mwisho lilikuwa vita ya Idi Amini,Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na viwanda nchi nzima,rushwa ilikua chini sana,uzalendo ulikuwa juu, mishahara ililipwa kwa wakati, umaskini uliendelea kudhibitiwa, elimu ilikuwa bure hadi Chuo Kikuu,baada ya Mao Tse Dong kufa mkewe na wengine watatu walikamatwa na kushitakiwa akiwemo Deng Tsiao Ping,Marshall Lin Piao na mwingine mmoja waliwekwa ndani lakini baada ya miaka mingi baadhi yao walisafishwa,Nadhani Deng alkuja kuiongoza China,awa ni Viongozi waliosimamia ujamaa katika nchi zao na Leo tunaiona China iliyostawi kiuchumi duniani.

Nimalizie kwa kusema,Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni miongoni mwa vitu vilivyofumbua macho uongozi uliopo madarakani kuwa yapo mambo yalikuwa yakifanywa na Viongozi na yalikuwa hayawapendezi wananchi,ndiyo maana mpaka leo Azimio la Arusha lililoleta Ujamaa wapo wanaolitaja kwa ubaya kuwa ooh walinyanganywa Mali,lakini ukifuatilia wao ndio walinyanganywa Mali kwa kuwa walifanya Ufisadi,Nikueleze tu ndugu yangu pamoja na ukali wa Mwalimu Julius Nyerere bado waswahili walikuwa wanaiba na yapo mashirika mengi yalikufa,kumbuka Che Guevara na Fidel Castro waliwahi kumwambia Mwalimu aongeze ukali kwenye falsafa yake ya Ujamaa ili mambo yaweze kwenda sawa sawa na maono ya Azimio la Arusha,

Mwalimu Julius Nyerere akamuandaa Edward Moringe Sokoine awe mrithi wake kwa kuwa ndiye aliyekuwa mfuasi wa kweli wa Mwalimu Julius Nyerere,Mwaka 1983 kabla Mwalimu Nyerere kung'atuka madarakani,tukampoteza Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine kwa ajali ya gari,baada ya msafara wa gari yake kugongana na gari lililokuwa linaendeshwa na Muafrika kusini,Dube,Pumzika kwa amani Edward Moringe Sokoine,roho yako bado inaishi,leo tumempata mfuasi mwingine wa Mwalimu Julius Nyerere nae ni Daktari John Pombe Magufuli,Azimio la Arusha limepata dereva mwingine,Ujamaa na Kujitegemea umekuwa tena nguzo ya kuijenga Tanzania katika awamu ya tano ya Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli.Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
CCM NIPE UWEZO,NITANGAZE UJAMAA TANZANIA KOTE.

Leo 10:15hrs 05/02/2021

Tarehe 5 mwezi wa pili tunaadhimisha kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi,CCM kilichozaliwa tarehe 5 February 1977.Tunapokumbuka kuzaliwa kwa CCM tunakumbuka pia kuzaliwa kwa Azimio la Arusha ambalo nalo lilizaliwa tarehe 5 mwezi wa pili 1967 na kuleta Ujamaa kama falsafa ya maisha ya kisiasa na kiuchumi yaliyohusu mahusiano ya kiuchumi,kijamii na mengineyo baina ya wahusika katika jamii yao,kujitegemea kulihusu uhusiano wa aina hiyo baina ya jamii moja ndogo mfano kijiji ama pana kwa maana ya kitaifa na jamii nyingine nje ya umoja wao ndogo kwa maana ya Nchi ama pana kwa maana ya mataifa.Kulikuwa na imani iliyosema "Cheo ni dhamana,sitakitumia cheo changu kwa manufaa binafsi" na imani nyingine ilisema "rushwa ni adui wa haki,sitapokea wala kutoa rushwa" yote haya kwa pamoja yalijulikana kama miiko ya Uongozi,

Azimio la Arusha lilichukuliwa kama nguzo ya Uongozi katika utawala wote wa Mwalimu Julius Nyerere.Azimio la Arusha ndilo lilikuwa suluhisho kwa kuwa liliwapa Watanzania taswira na tumaini,Vita dhidi ya dhuluma ilikuwa pana sana kwa vile iliunganishwa na misingi ya uongozi,Kwa mtu yeyote anayejua maana ya uongozi wakati wa Tanu na CCM first generation atajua wazi kuwa Uongozi tuliojenga baada ya Azimio la Zanzibar ni tofauti kabisa na ule uliokuwepo chini ya Azimio la Arusha,wakati wa Azimio la Arusha,Wazee wetu waliishi kwenye vipato vyao,hakukuwa na tamaa,Uzalendo ulikuwa juu,aliyepewa kiwanja eneo la viwanda Pugu road aliuza na kwenda kujenga Kinondoni au Sinza maana alijua kwa kipato chake hawezi kujenga kiwanda,Vijana wengi waliozaliwa miaka ya hivi karibuni hawana habari za uhakika juu ya Ujamaa,hawana uchungu na ujamaa kutoendelea nchini,hata kidogo.

Mwalimu Julius Nyerere alianzisha Ujamaa baada ya kumuona muungwana na mtumwa,mtu mkubwa na mtu wa kawaida,bwana shamba na mkulima mtumwa,fundi wa ushirika wa wasanifu na mwanafunzi wa kazi, kwa ufupi anayekandamiza na anayekandamizwa,wakipingana daima,wakiendeleza mapigano yasiyokatizwa,mara ya siri,mara ya dhahiri,mapigano ambayo kila wakati humalizika ama kwa ujengwaji tena wa kuheshimiana au kwa kujiteketeza wenyewe tabaka zishindanazo,Baadhi ya "values" ambazo Tanzania tunajivunia leo ni kutokana na mafundisho ya itikadi ya Ujamaa tuliokuwa nao,Tanzania ilijitegemea sana baada ya Uhuru,tulilima katani, Pamba, Chai na Kahawa kwa wingi,tulikuwa na uchumi mzuri sana.

Tulipotangaza ujamaa tuliwaudhi mabepari Ulaya na Marekani nao wakabadilisha mfumo wa kiuchumi wa dunia kupambana na nchi changa ambazo zimeamua kujitegema,tuliona Ulaya na Marekani wakigoma kutuuzia vipuri vya mitambo ya viwanda vyetu hata tukashindwa kuendelea kuendesha viwanda vyetu,Vijana wa siku hizi wanashangilia wanachokitaka mabepari pasipo kufahamu,kwa namna hiyo ndipo dhana ya Ukoloni mamboleo ikapata chati sana kipindi hicho,ikazuka kilichojulikana kama "fifth column",hawa ni majasusi waliokuwa wakitumwa kuja katika nchi hizo na kuvuruga uchumi,tukapata vita ambayo haikutarajiwa mfano vita vya Kagera ambapo Iddi Amini alisuppotiwa na Muingereza na Muisrael na baadae kusaidiwa na Ghadaf wa Libya baada ya Uingereza na Israel kugundua walikuwa wanamsaidia mjinga Iddi Amini Dada,kwa hakika vita hiyo ilituharibia kabisa kiuchumi.

Wakosoaji wa ujamaa wanapaswa kukubali mazingiira yaliyotupata wakati huo na kuuvuruga ujamaa,Kwangu Julius Nyerere atabaki shujaa wa Tanzania na Ujamaa ndio ilikuwa dira sahihi kwa nchi yetu kwa wakati ule,tumevurugwa kama walivyovurugwa wengine duniani kote,Cuba, Guatemala japo China na Urusi wameendelea na Ujamaa wao hata sasa,Waingereza wanamkumbuka Winston Churchill kwa uongozi wake wakati wa vita ya pili ya Dunia,kule wamepita wengi kama akina Thatcher ambaye Waingereza hawakupenda jinsi alivyoiingiza dola yao vitani Visiwani Falkalnds dhidi ya Argentina,Lakini wamesahau hilo wana Brexit leo,wanaendelea mbele,China wameshasahau ya Mao Tse Dong,wanasonga mbele,Mao aliwafaa miaka ile hasa kuwakomboa kutoka miiba ya Kuomintang na Wajapani wavamizi miaka ya 1940.

Leo Marshal Josip Broz Tito akifufuka hataitambua Yugoslavia kuu aliyoiunganisha. Leo tuna Croatia, Bosnia, Serbia, Montenegro na Macedonia ya Kaskazini zillzotengeneza Yugoslavia ya Tito,hakuna anayemlaumu Marshall Tito kwa utawala wake enzi za Yugoslavia,wameunda mataifa yao mbadala mengi tu na wanacheza mpira kombe la dunia wanafurahia maisha yao,wamefika fainali na Wametoa (Croatia) mchezaji bora wa michuano hiyo mwaka 2018.kule Urusi,Putin aliachwa ajiokoe mwenyewe Berlin ukuta ulipoporomoshwa miaka ya 1990 mwanzoni. Leo ni Rais na anaisimamia Urusi vema hata kama imemeguka tofauti na ilivyokuwa Soviet Union,husikii akilaumu laumu Yeltsin sijui Gorbachov kwa kumwacha "solemba" kama nilivyosikia zamani vijana wakisema,wanajua fika kuwa viongozi hao waliopita walikabili mazingira tofauti ya kiuchumi,kisiasa na kijamii na hivyo walikuwa na shinikizo la kuasisi sera na dira inayofaa kama vile wanavyoona wao wenyewe kuyavusha mataifa yao.

Inajulikana kuwa akina Frederick William D'Klerk na wenzake hawakuzifurahia sera za babu zao za ubaguzi wa rangi huko Afrika Kusini,hawakuwalaumu hao wazee akina Hendrik Verwoerd na akina Pik Botha na akina Magnus Malan,badala yake walijjiunga na siasa za Nationalist Party na kujiunga na kile chama chao cha mshikamano wa Broederbond,kule wakapiga siasa na kugombea uongozi hadi wakachaguliwa kushika vyeo vya juu vya chama. Alipochaguliwa kuwa Rais wa Afrika Kusini akasema "Tuongee na Mandela tujue anataka nini!" Leo Afrika Kusini kuna mabadiliko na waswahili kule angalau wanapumua,washindwe wenyewe.

-Wema wa Julius Nyerere kwa Afrika na Dunia.

Miongoni mwa wanaomsema Nyerere kwa wema,wapo Wachina.Ndugu yangu Goodluck Ngingo ananiambia wengi wanaosema mazuri ya Mwalimu Julius Nyerere wapo nchini na wengine nje ya Tanzania,ukienda Porto Allegre, Brazill, ukijulikana unatoka Tanzania utaambiwa uko mmetoa watu watatu muhimu duniani Julius Nyerere,Daktari Salim Ahmed Salim na sasa Daktari John Magufuli,na kwa Afrika mmetoa watu wawili muhimu wanaokumbukwa na Dunia nzima,Nelson Mandela na Julius Nyerere." Ukienda kule Papua New Guinea Waziri mstaafu alinukuliwa akisema baada ya semina fulani "Nilitumwa na nchi yangu kwenda Tanzania miaka ya 1970 kujifunza juu ya sera ya Mwalimu na serikali ya nchi yake ya Ujamaa na Kujitegemea hasa elimu ya Kujitegemea"

Ukienda Namibia ukiingia hospitali ukajitambulisha wewe ni Mtanzania utapokelewa kwa vigelegele na manesi na madaktari wengi wa Namibia wa hosiptali hiyo,wataambizana "Njoo mumuone mtu wa Nyerere, Nyerere, Tanzania, Julius Nyerere." Mtakumbuka hata ziara ya Rais John Magufuli nchini Namibia,Rais wa Namibia alisema amemwachia Ikulu Rais wa Tanzania,John Magufuli na yeye amekwenda kulala kwenye nyumba yake ya kawaida,naamini mnanielewa ndugu zangu,hii ipo Australia na kote tunapoenda,Mzee Wangu Injinia Oscar Mloka alipokuwa akitoa mada katika Chuo kikuu kimoja jijini Melbourne aliulizwa juu ya ujamaa wa Mwalimu Julius Nyerere na mtazamo wake,alisema hivi,athari zipo kwa serikali zote za nchi zao kulingana na mazingira ya kiutawala na kisiasa ya ndani na nje,kote huko kuna athari,Leo wasomi wanasema ilikuwa makosa kwa US kuingia vitani Irak na Afghanistan,Leo wanasema Ili kuwa makosa kumwondoa Gadhafi huko Libya,Nchi gani haina athari?

Hivi leo Uingereza wanahangaika na maamuzi ya Brexit mpaka leo,Trump ameng'olewa na Biden ingawa alidhaniwa ataifanya Marekani kuwa "Great Again." Trujillo aliondolewa kwa mapinduzi ya kijeshi huko Dominica eti dikteta,Leo Dominica ipo vizuri kuliko jirani yake Haiti ingawa aliyeianzishia sura hiyo Rafel Trujilo alidhalilishwa,Mzee Oscar Mloka aliyekuwa Mbunge wa Morogoro Mjini 2000-2005 aliwaambia kule Uingereza Mwaka 1991 kuwa dira ya nchi hii ya Ujamaa iliharibiwa na nguvu ya mabeberu iliyokuwa nje ya uwezo wa nchi yetu,pigo la mwisho lilikuwa vita ya Idi Amini,Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na viwanda nchi nzima,rushwa ilikua chini sana,uzalendo ulikuwa juu, mishahara ililipwa kwa wakati, umaskini uliendelea kudhibitiwa, elimu ilikuwa bure hadi Chuo Kikuu,baada ya Mao Tse Dong kufa mkewe na wengine watatu walikamatwa na kushitakiwa akiwemo Deng Tsiao Ping,Marshall Lin Piao na mwingine mmoja waliwekwa ndani lakini baada ya miaka mingi baadhi yao walisafishwa,Nadhani Deng alkuja kuiongoza China,awa ni Viongozi waliosimamia ujamaa katika nchi zao na Leo tunaiona China iliyostawi kiuchumi duniani.

Nimalizie kwa kusema,Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni miongoni mwa vitu vilivyofumbua macho uongozi uliopo madarakani kuwa yapo mambo yalikuwa yakifanywa na Viongozi na yalikuwa hayawapendezi wananchi,ndiyo maana mpaka leo Azimio la Arusha lililoleta Ujamaa wapo wanaolitaja kwa ubaya kuwa ooh walinyanganywa Mali,lakini ukifuatilia wao ndio walinyanganywa Mali kwa kuwa walifanya Ufisadi,Nikueleze tu ndugu yangu pamoja na ukali wa Mwalimu Julius Nyerere bado waswahili walikuwa wanaiba na yapo mashirika mengi yalikufa,kumbuka Che Guevara na Fidel Castro waliwahi kumwambia Mwalimu aongeze ukali kwenye falsafa yake ya Ujamaa ili mambo yaweze kwenda sawa sawa na maono ya Azimio la Arusha,

Mwalimu Julius Nyerere akamuandaa Edward Moringe Sokoine awe mrithi wake kwa kuwa ndiye aliyekuwa mfuasi wa kweli wa Mwalimu Julius Nyerere,Mwaka 1983 kabla Mwalimu Nyerere kung'atuka madarakani,tukampoteza Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine kwa ajali ya gari,baada ya msafara wa gari yake kugongana na gari lililokuwa linaendeshwa na Muafrika kusini,Dube,Pumzika kwa amani Edward Moringe Sokoine,roho yako bado inaishi,leo tumempata mfuasi mwingine wa Mwalimu Julius Nyerere nae ni Daktari John Pombe Magufuli,Azimio la Arusha limepata dereva mwingine,Ujamaa na Kujitegemea umekuwa tena nguzo ya kuijenga Tanzania katika awamu ya tano ya Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli.Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Hiyo hela Baba yako aliyotumia kukusomesha bora angeweka mifugo ingemlipa kuliko hiki unachofanya.
 
Kuchamba kwingi........ Unahangaika sana kuandika utopolo hadi unashindwa ku defend andiko lako unasingizia moderator.
Nimewaomba moderators wamfanyie editing maana wachawi kama nyie mmejaa humu kuharibu mijadala
 
CCM NIPE UWEZO,NITANGAZE UJAMAA TANZANIA KOTE.

Leo 10:15hrs 05/02/2021

Tarehe 5 mwezi wa pili tunaadhimisha kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi,CCM kilichozaliwa tarehe 5 February 1977.Tunapokumbuka kuzaliwa kwa CCM tunakumbuka pia kuzaliwa kwa Azimio la Arusha ambalo nalo lilizaliwa tarehe 5 mwezi wa pili 1967 na kuleta Ujamaa kama falsafa ya maisha ya kisiasa na kiuchumi yaliyohusu mahusiano ya kiuchumi,kijamii na mengineyo baina ya wahusika katika jamii yao,kujitegemea kulihusu uhusiano wa aina hiyo baina ya jamii moja ndogo mfano kijiji ama pana kwa maana ya kitaifa na jamii nyingine nje ya umoja wao ndogo kwa maana ya Nchi ama pana kwa maana ya mataifa.Kulikuwa na imani iliyosema "Cheo ni dhamana,sitakitumia cheo changu kwa manufaa binafsi" na imani nyingine ilisema "rushwa ni adui wa haki,sitapokea wala kutoa rushwa" yote haya kwa pamoja yalijulikana kama miiko ya Uongozi,

Azimio la Arusha lilichukuliwa kama nguzo ya Uongozi katika utawala wote wa Mwalimu Julius Nyerere.Azimio la Arusha ndilo lilikuwa suluhisho kwa kuwa liliwapa Watanzania taswira na tumaini,Vita dhidi ya dhuluma ilikuwa pana sana kwa vile iliunganishwa na misingi ya uongozi,Kwa mtu yeyote anayejua maana ya uongozi wakati wa Tanu na CCM first generation atajua wazi kuwa Uongozi tuliojenga baada ya Azimio la Zanzibar ni tofauti kabisa na ule uliokuwepo chini ya Azimio la Arusha,wakati wa Azimio la Arusha,Wazee wetu waliishi kwenye vipato vyao,hakukuwa na tamaa,Uzalendo ulikuwa juu,aliyepewa kiwanja eneo la viwanda Pugu road aliuza na kwenda kujenga Kinondoni au Sinza maana alijua kwa kipato chake hawezi kujenga kiwanda,Vijana wengi waliozaliwa miaka ya hivi karibuni hawana habari za uhakika juu ya Ujamaa,hawana uchungu na ujamaa kutoendelea nchini,hata kidogo.

Mwalimu Julius Nyerere alianzisha Ujamaa baada ya kumuona muungwana na mtumwa,mtu mkubwa na mtu wa kawaida,bwana shamba na mkulima mtumwa,fundi wa ushirika wa wasanifu na mwanafunzi wa kazi, kwa ufupi anayekandamiza na anayekandamizwa,wakipingana daima,wakiendeleza mapigano yasiyokatizwa,mara ya siri,mara ya dhahiri,mapigano ambayo kila wakati humalizika ama kwa ujengwaji tena wa kuheshimiana au kwa kujiteketeza wenyewe tabaka zishindanazo,Baadhi ya "values" ambazo Tanzania tunajivunia leo ni kutokana na mafundisho ya itikadi ya Ujamaa tuliokuwa nao,Tanzania ilijitegemea sana baada ya Uhuru,tulilima katani, Pamba, Chai na Kahawa kwa wingi,tulikuwa na uchumi mzuri sana.

Tulipotangaza ujamaa tuliwaudhi mabepari Ulaya na Marekani nao wakabadilisha mfumo wa kiuchumi wa dunia kupambana na nchi changa ambazo zimeamua kujitegema,tuliona Ulaya na Marekani wakigoma kutuuzia vipuri vya mitambo ya viwanda vyetu hata tukashindwa kuendelea kuendesha viwanda vyetu,Vijana wa siku hizi wanashangilia wanachokitaka mabepari pasipo kufahamu,kwa namna hiyo ndipo dhana ya Ukoloni mamboleo ikapata chati sana kipindi hicho,ikazuka kilichojulikana kama "fifth column",hawa ni majasusi waliokuwa wakitumwa kuja katika nchi hizo na kuvuruga uchumi,tukapata vita ambayo haikutarajiwa mfano vita vya Kagera ambapo Iddi Amini alisuppotiwa na Muingereza na Muisrael na baadae kusaidiwa na Ghadaf wa Libya baada ya Uingereza na Israel kugundua walikuwa wanamsaidia mjinga Iddi Amini Dada,kwa hakika vita hiyo ilituharibia kabisa kiuchumi.

Wakosoaji wa ujamaa wanapaswa kukubali mazingiira yaliyotupata wakati huo na kuuvuruga ujamaa,Kwangu Julius Nyerere atabaki shujaa wa Tanzania na Ujamaa ndio ilikuwa dira sahihi kwa nchi yetu kwa wakati ule,tumevurugwa kama walivyovurugwa wengine duniani kote,Cuba, Guatemala japo China na Urusi wameendelea na Ujamaa wao hata sasa,Waingereza wanamkumbuka Winston Churchill kwa uongozi wake wakati wa vita ya pili ya Dunia,kule wamepita wengi kama akina Thatcher ambaye Waingereza hawakupenda jinsi alivyoiingiza dola yao vitani Visiwani Falkalnds dhidi ya Argentina,Lakini wamesahau hilo wana Brexit leo,wanaendelea mbele,China wameshasahau ya Mao Tse Dong,wanasonga mbele,Mao aliwafaa miaka ile hasa kuwakomboa kutoka miiba ya Kuomintang na Wajapani wavamizi miaka ya 1940.

Leo Marshal Josip Broz Tito akifufuka hataitambua Yugoslavia kuu aliyoiunganisha. Leo tuna Croatia, Bosnia, Serbia, Montenegro na Macedonia ya Kaskazini zillzotengeneza Yugoslavia ya Tito,hakuna anayemlaumu Marshall Tito kwa utawala wake enzi za Yugoslavia,wameunda mataifa yao mbadala mengi tu na wanacheza mpira kombe la dunia wanafurahia maisha yao,wamefika fainali na Wametoa (Croatia) mchezaji bora wa michuano hiyo mwaka 2018.kule Urusi,Putin aliachwa ajiokoe mwenyewe Berlin ukuta ulipoporomoshwa miaka ya 1990 mwanzoni. Leo ni Rais na anaisimamia Urusi vema hata kama imemeguka tofauti na ilivyokuwa Soviet Union,husikii akilaumu laumu Yeltsin sijui Gorbachov kwa kumwacha "solemba" kama nilivyosikia zamani vijana wakisema,wanajua fika kuwa viongozi hao waliopita walikabili mazingira tofauti ya kiuchumi,kisiasa na kijamii na hivyo walikuwa na shinikizo la kuasisi sera na dira inayofaa kama vile wanavyoona wao wenyewe kuyavusha mataifa yao.

Inajulikana kuwa akina Frederick William D'Klerk na wenzake hawakuzifurahia sera za babu zao za ubaguzi wa rangi huko Afrika Kusini,hawakuwalaumu hao wazee akina Hendrik Verwoerd na akina Pik Botha na akina Magnus Malan,badala yake walijjiunga na siasa za Nationalist Party na kujiunga na kile chama chao cha mshikamano wa Broederbond,kule wakapiga siasa na kugombea uongozi hadi wakachaguliwa kushika vyeo vya juu vya chama. Alipochaguliwa kuwa Rais wa Afrika Kusini akasema "Tuongee na Mandela tujue anataka nini!" Leo Afrika Kusini kuna mabadiliko na waswahili kule angalau wanapumua,washindwe wenyewe.

-Wema wa Julius Nyerere kwa Afrika na Dunia.

Miongoni mwa wanaomsema Nyerere kwa wema,wapo Wachina.Ndugu yangu Goodluck Ngingo ananiambia wengi wanaosema mazuri ya Mwalimu Julius Nyerere wapo nchini na wengine nje ya Tanzania,ukienda Porto Allegre, Brazill, ukijulikana unatoka Tanzania utaambiwa uko mmetoa watu watatu muhimu duniani Julius Nyerere,Daktari Salim Ahmed Salim na sasa Daktari John Magufuli,na kwa Afrika mmetoa watu wawili muhimu wanaokumbukwa na Dunia nzima,Nelson Mandela na Julius Nyerere." Ukienda kule Papua New Guinea Waziri mstaafu alinukuliwa akisema baada ya semina fulani "Nilitumwa na nchi yangu kwenda Tanzania miaka ya 1970 kujifunza juu ya sera ya Mwalimu na serikali ya nchi yake ya Ujamaa na Kujitegemea hasa elimu ya Kujitegemea"

Ukienda Namibia ukiingia hospitali ukajitambulisha wewe ni Mtanzania utapokelewa kwa vigelegele na manesi na madaktari wengi wa Namibia wa hosiptali hiyo,wataambizana "Njoo mumuone mtu wa Nyerere, Nyerere, Tanzania, Julius Nyerere." Mtakumbuka hata ziara ya Rais John Magufuli nchini Namibia,Rais wa Namibia alisema amemwachia Ikulu Rais wa Tanzania,John Magufuli na yeye amekwenda kulala kwenye nyumba yake ya kawaida,naamini mnanielewa ndugu zangu,hii ipo Australia na kote tunapoenda,Mzee Wangu Injinia Oscar Mloka alipokuwa akitoa mada katika Chuo kikuu kimoja jijini Melbourne aliulizwa juu ya ujamaa wa Mwalimu Julius Nyerere na mtazamo wake,alisema hivi,athari zipo kwa serikali zote za nchi zao kulingana na mazingira ya kiutawala na kisiasa ya ndani na nje,kote huko kuna athari,Leo wasomi wanasema ilikuwa makosa kwa US kuingia vitani Irak na Afghanistan,Leo wanasema Ili kuwa makosa kumwondoa Gadhafi huko Libya,Nchi gani haina athari?

Hivi leo Uingereza wanahangaika na maamuzi ya Brexit mpaka leo,Trump ameng'olewa na Biden ingawa alidhaniwa ataifanya Marekani kuwa "Great Again." Trujillo aliondolewa kwa mapinduzi ya kijeshi huko Dominica eti dikteta,Leo Dominica ipo vizuri kuliko jirani yake Haiti ingawa aliyeianzishia sura hiyo Rafel Trujilo alidhalilishwa,Mzee Oscar Mloka aliyekuwa Mbunge wa Morogoro Mjini 2000-2005 aliwaambia kule Uingereza Mwaka 1991 kuwa dira ya nchi hii ya Ujamaa iliharibiwa na nguvu ya mabeberu iliyokuwa nje ya uwezo wa nchi yetu,pigo la mwisho lilikuwa vita ya Idi Amini,Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na viwanda nchi nzima,rushwa ilikua chini sana,uzalendo ulikuwa juu, mishahara ililipwa kwa wakati, umaskini uliendelea kudhibitiwa, elimu ilikuwa bure hadi Chuo Kikuu,baada ya Mao Tse Dong kufa mkewe na wengine watatu walikamatwa na kushitakiwa akiwemo Deng Tsiao Ping,Marshall Lin Piao na mwingine mmoja waliwekwa ndani lakini baada ya miaka mingi baadhi yao walisafishwa,Nadhani Deng alkuja kuiongoza China,awa ni Viongozi waliosimamia ujamaa katika nchi zao na Leo tunaiona China iliyostawi kiuchumi duniani.

Nimalizie kwa kusema,Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni miongoni mwa vitu vilivyofumbua macho uongozi uliopo madarakani kuwa yapo mambo yalikuwa yakifanywa na Viongozi na yalikuwa hayawapendezi wananchi,ndiyo maana mpaka leo Azimio la Arusha lililoleta Ujamaa wapo wanaolitaja kwa ubaya kuwa ooh walinyanganywa Mali,lakini ukifuatilia wao ndio walinyanganywa Mali kwa kuwa walifanya Ufisadi,Nikueleze tu ndugu yangu pamoja na ukali wa Mwalimu Julius Nyerere bado waswahili walikuwa wanaiba na yapo mashirika mengi yalikufa,kumbuka Che Guevara na Fidel Castro waliwahi kumwambia Mwalimu aongeze ukali kwenye falsafa yake ya Ujamaa ili mambo yaweze kwenda sawa sawa na maono ya Azimio la Arusha,

Mwalimu Julius Nyerere akamuandaa Edward Moringe Sokoine awe mrithi wake kwa kuwa ndiye aliyekuwa mfuasi wa kweli wa Mwalimu Julius Nyerere,Mwaka 1983 kabla Mwalimu Nyerere kung'atuka madarakani,tukampoteza Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine kwa ajali ya gari,baada ya msafara wa gari yake kugongana na gari lililokuwa linaendeshwa na Muafrika kusini,Dube,Pumzika kwa amani Edward Moringe Sokoine,roho yako bado inaishi,leo tumempata mfuasi mwingine wa Mwalimu Julius Nyerere nae ni Daktari John Pombe Magufuli,Azimio la Arusha limepata dereva mwingine,Ujamaa na Kujitegemea umekuwa tena nguzo ya kuijenga Tanzania katika awamu ya tano ya Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli.Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Wewe N3i mfu tu kasoro hujitambui. Ujamaa kwenye Karne hii?
 
CCM NIPE UWEZO,NITANGAZE UJAMAA TANZANIA KOTE.

Leo 10:15hrs 05/02/2021

Tarehe 5 mwezi wa pili tunaadhimisha kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi,CCM kilichozaliwa tarehe 5 February 1977.Tunapokumbuka kuzaliwa kwa CCM tunakumbuka pia kuzaliwa kwa Azimio la Arusha ambalo nalo lilizaliwa tarehe 5 mwezi wa pili 1967 na kuleta Ujamaa kama falsafa ya maisha ya kisiasa na kiuchumi yaliyohusu mahusiano ya kiuchumi,kijamii na mengineyo baina ya wahusika katika jamii yao,kujitegemea kulihusu uhusiano wa aina hiyo baina ya jamii moja ndogo mfano kijiji ama pana kwa maana ya kitaifa na jamii nyingine nje ya umoja wao ndogo kwa maana ya Nchi ama pana kwa maana ya mataifa.Kulikuwa na imani iliyosema "Cheo ni dhamana,sitakitumia cheo changu kwa manufaa binafsi" na imani nyingine ilisema "rushwa ni adui wa haki,sitapokea wala kutoa rushwa" yote haya kwa pamoja yalijulikana kama miiko ya Uongozi,

Azimio la Arusha lilichukuliwa kama nguzo ya Uongozi katika utawala wote wa Mwalimu Julius Nyerere.Azimio la Arusha ndilo lilikuwa suluhisho kwa kuwa liliwapa Watanzania taswira na tumaini,Vita dhidi ya dhuluma ilikuwa pana sana kwa vile iliunganishwa na misingi ya uongozi,Kwa mtu yeyote anayejua maana ya uongozi wakati wa Tanu na CCM first generation atajua wazi kuwa Uongozi tuliojenga baada ya Azimio la Zanzibar ni tofauti kabisa na ule uliokuwepo chini ya Azimio la Arusha,wakati wa Azimio la Arusha,Wazee wetu waliishi kwenye vipato vyao,hakukuwa na tamaa,Uzalendo ulikuwa juu,aliyepewa kiwanja eneo la viwanda Pugu road aliuza na kwenda kujenga Kinondoni au Sinza maana alijua kwa kipato chake hawezi kujenga kiwanda,Vijana wengi waliozaliwa miaka ya hivi karibuni hawana habari za uhakika juu ya Ujamaa,hawana uchungu na ujamaa kutoendelea nchini,hata kidogo.

Mwalimu Julius Nyerere alianzisha Ujamaa baada ya kumuona muungwana na mtumwa,mtu mkubwa na mtu wa kawaida,bwana shamba na mkulima mtumwa,fundi wa ushirika wa wasanifu na mwanafunzi wa kazi, kwa ufupi anayekandamiza na anayekandamizwa,wakipingana daima,wakiendeleza mapigano yasiyokatizwa,mara ya siri,mara ya dhahiri,mapigano ambayo kila wakati humalizika ama kwa ujengwaji tena wa kuheshimiana au kwa kujiteketeza wenyewe tabaka zishindanazo,Baadhi ya "values" ambazo Tanzania tunajivunia leo ni kutokana na mafundisho ya itikadi ya Ujamaa tuliokuwa nao,Tanzania ilijitegemea sana baada ya Uhuru,tulilima katani, Pamba, Chai na Kahawa kwa wingi,tulikuwa na uchumi mzuri sana.

Tulipotangaza ujamaa tuliwaudhi mabepari Ulaya na Marekani nao wakabadilisha mfumo wa kiuchumi wa dunia kupambana na nchi changa ambazo zimeamua kujitegema,tuliona Ulaya na Marekani wakigoma kutuuzia vipuri vya mitambo ya viwanda vyetu hata tukashindwa kuendelea kuendesha viwanda vyetu,Vijana wa siku hizi wanashangilia wanachokitaka mabepari pasipo kufahamu,kwa namna hiyo ndipo dhana ya Ukoloni mamboleo ikapata chati sana kipindi hicho,ikazuka kilichojulikana kama "fifth column",hawa ni majasusi waliokuwa wakitumwa kuja katika nchi hizo na kuvuruga uchumi,tukapata vita ambayo haikutarajiwa mfano vita vya Kagera ambapo Iddi Amini alisuppotiwa na Muingereza na Muisrael na baadae kusaidiwa na Ghadaf wa Libya baada ya Uingereza na Israel kugundua walikuwa wanamsaidia mjinga Iddi Amini Dada,kwa hakika vita hiyo ilituharibia kabisa kiuchumi.

Wakosoaji wa ujamaa wanapaswa kukubali mazingiira yaliyotupata wakati huo na kuuvuruga ujamaa,Kwangu Julius Nyerere atabaki shujaa wa Tanzania na Ujamaa ndio ilikuwa dira sahihi kwa nchi yetu kwa wakati ule,tumevurugwa kama walivyovurugwa wengine duniani kote,Cuba, Guatemala japo China na Urusi wameendelea na Ujamaa wao hata sasa,Waingereza wanamkumbuka Winston Churchill kwa uongozi wake wakati wa vita ya pili ya Dunia,kule wamepita wengi kama akina Thatcher ambaye Waingereza hawakupenda jinsi alivyoiingiza dola yao vitani Visiwani Falkalnds dhidi ya Argentina,Lakini wamesahau hilo wana Brexit leo,wanaendelea mbele,China wameshasahau ya Mao Tse Dong,wanasonga mbele,Mao aliwafaa miaka ile hasa kuwakomboa kutoka miiba ya Kuomintang na Wajapani wavamizi miaka ya 1940.

Leo Marshal Josip Broz Tito akifufuka hataitambua Yugoslavia kuu aliyoiunganisha. Leo tuna Croatia, Bosnia, Serbia, Montenegro na Macedonia ya Kaskazini zillzotengeneza Yugoslavia ya Tito,hakuna anayemlaumu Marshall Tito kwa utawala wake enzi za Yugoslavia,wameunda mataifa yao mbadala mengi tu na wanacheza mpira kombe la dunia wanafurahia maisha yao,wamefika fainali na Wametoa (Croatia) mchezaji bora wa michuano hiyo mwaka 2018.kule Urusi,Putin aliachwa ajiokoe mwenyewe Berlin ukuta ulipoporomoshwa miaka ya 1990 mwanzoni. Leo ni Rais na anaisimamia Urusi vema hata kama imemeguka tofauti na ilivyokuwa Soviet Union,husikii akilaumu laumu Yeltsin sijui Gorbachov kwa kumwacha "solemba" kama nilivyosikia zamani vijana wakisema,wanajua fika kuwa viongozi hao waliopita walikabili mazingira tofauti ya kiuchumi,kisiasa na kijamii na hivyo walikuwa na shinikizo la kuasisi sera na dira inayofaa kama vile wanavyoona wao wenyewe kuyavusha mataifa yao.

Inajulikana kuwa akina Frederick William D'Klerk na wenzake hawakuzifurahia sera za babu zao za ubaguzi wa rangi huko Afrika Kusini,hawakuwalaumu hao wazee akina Hendrik Verwoerd na akina Pik Botha na akina Magnus Malan,badala yake walijjiunga na siasa za Nationalist Party na kujiunga na kile chama chao cha mshikamano wa Broederbond,kule wakapiga siasa na kugombea uongozi hadi wakachaguliwa kushika vyeo vya juu vya chama. Alipochaguliwa kuwa Rais wa Afrika Kusini akasema "Tuongee na Mandela tujue anataka nini!" Leo Afrika Kusini kuna mabadiliko na waswahili kule angalau wanapumua,washindwe wenyewe.

-Wema wa Julius Nyerere kwa Afrika na Dunia.

Miongoni mwa wanaomsema Nyerere kwa wema,wapo Wachina.Ndugu yangu Goodluck Ngingo ananiambia wengi wanaosema mazuri ya Mwalimu Julius Nyerere wapo nchini na wengine nje ya Tanzania,ukienda Porto Allegre, Brazill, ukijulikana unatoka Tanzania utaambiwa uko mmetoa watu watatu muhimu duniani Julius Nyerere,Daktari Salim Ahmed Salim na sasa Daktari John Magufuli,na kwa Afrika mmetoa watu wawili muhimu wanaokumbukwa na Dunia nzima,Nelson Mandela na Julius Nyerere." Ukienda kule Papua New Guinea Waziri mstaafu alinukuliwa akisema baada ya semina fulani "Nilitumwa na nchi yangu kwenda Tanzania miaka ya 1970 kujifunza juu ya sera ya Mwalimu na serikali ya nchi yake ya Ujamaa na Kujitegemea hasa elimu ya Kujitegemea"

Ukienda Namibia ukiingia hospitali ukajitambulisha wewe ni Mtanzania utapokelewa kwa vigelegele na manesi na madaktari wengi wa Namibia wa hosiptali hiyo,wataambizana "Njoo mumuone mtu wa Nyerere, Nyerere, Tanzania, Julius Nyerere." Mtakumbuka hata ziara ya Rais John Magufuli nchini Namibia,Rais wa Namibia alisema amemwachia Ikulu Rais wa Tanzania,John Magufuli na yeye amekwenda kulala kwenye nyumba yake ya kawaida,naamini mnanielewa ndugu zangu,hii ipo Australia na kote tunapoenda,Mzee Wangu Injinia Oscar Mloka alipokuwa akitoa mada katika Chuo kikuu kimoja jijini Melbourne aliulizwa juu ya ujamaa wa Mwalimu Julius Nyerere na mtazamo wake,alisema hivi,athari zipo kwa serikali zote za nchi zao kulingana na mazingira ya kiutawala na kisiasa ya ndani na nje,kote huko kuna athari,Leo wasomi wanasema ilikuwa makosa kwa US kuingia vitani Irak na Afghanistan,Leo wanasema Ili kuwa makosa kumwondoa Gadhafi huko Libya,Nchi gani haina athari?

Hivi leo Uingereza wanahangaika na maamuzi ya Brexit mpaka leo,Trump ameng'olewa na Biden ingawa alidhaniwa ataifanya Marekani kuwa "Great Again." Trujillo aliondolewa kwa mapinduzi ya kijeshi huko Dominica eti dikteta,Leo Dominica ipo vizuri kuliko jirani yake Haiti ingawa aliyeianzishia sura hiyo Rafel Trujilo alidhalilishwa,Mzee Oscar Mloka aliyekuwa Mbunge wa Morogoro Mjini 2000-2005 aliwaambia kule Uingereza Mwaka 1991 kuwa dira ya nchi hii ya Ujamaa iliharibiwa na nguvu ya mabeberu iliyokuwa nje ya uwezo wa nchi yetu,pigo la mwisho lilikuwa vita ya Idi Amini,Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na viwanda nchi nzima,rushwa ilikua chini sana,uzalendo ulikuwa juu, mishahara ililipwa kwa wakati, umaskini uliendelea kudhibitiwa, elimu ilikuwa bure hadi Chuo Kikuu,baada ya Mao Tse Dong kufa mkewe na wengine watatu walikamatwa na kushitakiwa akiwemo Deng Tsiao Ping,Marshall Lin Piao na mwingine mmoja waliwekwa ndani lakini baada ya miaka mingi baadhi yao walisafishwa,Nadhani Deng alkuja kuiongoza China,awa ni Viongozi waliosimamia ujamaa katika nchi zao na Leo tunaiona China iliyostawi kiuchumi duniani.

Nimalizie kwa kusema,Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni miongoni mwa vitu vilivyofumbua macho uongozi uliopo madarakani kuwa yapo mambo yalikuwa yakifanywa na Viongozi na yalikuwa hayawapendezi wananchi,ndiyo maana mpaka leo Azimio la Arusha lililoleta Ujamaa wapo wanaolitaja kwa ubaya kuwa ooh walinyanganywa Mali,lakini ukifuatilia wao ndio walinyanganywa Mali kwa kuwa walifanya Ufisadi,Nikueleze tu ndugu yangu pamoja na ukali wa Mwalimu Julius Nyerere bado waswahili walikuwa wanaiba na yapo mashirika mengi yalikufa,kumbuka Che Guevara na Fidel Castro waliwahi kumwambia Mwalimu aongeze ukali kwenye falsafa yake ya Ujamaa ili mambo yaweze kwenda sawa sawa na maono ya Azimio la Arusha,

Mwalimu Julius Nyerere akamuandaa Edward Moringe Sokoine awe mrithi wake kwa kuwa ndiye aliyekuwa mfuasi wa kweli wa Mwalimu Julius Nyerere,Mwaka 1983 kabla Mwalimu Nyerere kung'atuka madarakani,tukampoteza Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine kwa ajali ya gari,baada ya msafara wa gari yake kugongana na gari lililokuwa linaendeshwa na Muafrika kusini,Dube,Pumzika kwa amani Edward Moringe Sokoine,roho yako bado inaishi,leo tumempata mfuasi mwingine wa Mwalimu Julius Nyerere nae ni Daktari John Pombe Magufuli,Azimio la Arusha limepata dereva mwingine,Ujamaa na Kujitegemea umekuwa tena nguzo ya kuijenga Tanzania katika awamu ya tano ya Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli.Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Kwasasa Nchi ina Changamoto ya upungufu wa Madarasa, upatikanaji wa maji upungufu wa Matundu ya vyoo na Changamoto hii ni yamiaka ming sanaa miaka60 ya Uhuru bado tunaongelea hizo changamoto Halafu Anatokea Mjinga Mmoja Anasema eti Rais aongezewe muda hata kama hatak Alazimishwe!
 
Kwasasa Nchi ina Changamoto ya upungufu wa Madarasa, upatikanaji wa maji upungufu wa Matundu ya vyoo na Changamoto hii ni yamiaka ming sanaa miaka60 ya Uhuru bado tunaongelea hizo changamoto Halafu Anatokea Mjinga Mmoja Anasema eti Rais aongezewe muda hata kama hatak Alazimishwe!
Napata hasira sana kusikia mijitu kama Deo Sanga mbunge wa Makambako amasema eti "Atake asitake lasima aongezewemuda". Ningekuwa mpiga kura wake ningemchoma sindano ya sumu afe
 
Back
Top Bottom