Kuhusu ujamaa nasema hapana

CCM MKAMBARANI

JF-Expert Member
Mar 15, 2017
1,379
950
Kwa jinsi nimechukia sina haja ya kutoa salamu, moja kwa moja katika mada.
Ni kuhusu mkutano wa leo mjini Dodoma kati ya wana CCM wakongwe wakijaribu kutuvisha vijana koti la ujamaa kwa nguvu. Ni kuwa suala hili haliwezekani tena, huyu mzee anaeshupalia ujamaa inapaswa atuambie kwa namna gani serikali inaweza kutupeleka mbali kupitia ujamaa wa akina Mzee Nyerere na wenzie.

Babu Butiku anajenga Hoja ya kutupotosha na kutufanya vijana kuwa hatujui hasara za ujamaa. Labda mzee atuambe kuwa anataka ujamaa wa kizazi kipya lakini si ule wa mzee Nyerere. Kwa hakika uchumi hauendeshwi na serikali badala yake huendeshwa na watu binafsi huku serikali ikiwa na macho makali kwa ajili ya kuweka sawa mizani flaniflani ya kiuchumi.

Katika nadharia za kijamii yaani sayansi ya jamii ni kuwa Taifa hili haliwezi tena kuwa na ujamaa, hii inatokana na mambo mengi mosi, mfumo wa elimu haujaandaa watu haswa wanafunzi kuja kuwa wajamaa, pili, dunia ya leo imejaa vitu ambavyo kwa hakika kila mtu angetamani apate.

Hebu nikuulize Mzee Butiku, Mtoto wako Peter yuko wapi na anafanya nini? Je ni Mjamaa wa maneno au porojo? Je umewahi kupunguza zile billion 19 zako ambazo umehifadhi benki kwa kusaidia watz wenzio? Mbona unakuwa mnafiki mzee, kwanini lakini?.

Mwisho; Mzee Butiku usidanganye vijana,unachotakiwa kufanya ni kusema tufanye kazi na kuhamasisha serikali iweke mazingira safi, usiturudishe katika wimbi la umasikini, mzee Butiku unadanganya. Huu ni msimamo wangu na si Uvccm.
Ahsanteni.
 
Sio tu hatuna eleimu ya ujamaa, bali hata waliokuwa na hiyo elimu ya ujamaa walifeli vibaya sana.
ikiwa walioanzisha ideology ya ujamaa walifeli, sisi tunaotaka kukopy tena ideology hiyo ndo tutafaulu kweli!!.

Tulifeli, tena wanataka kuturudisha katika felia hiyo!.

Ujamaa ni mfumo wa unyonyaji kuliko ubepari..
 
Failed state kila siku matamko

Hata china nayenyewe haipo kwenye ujamaa ivi sasa.

Ila uzuri hii ikianzishwa vijana tujiandaye kugawiwa wale ngombe wa mzee baba. Na ile hotel yake ya chato inakua mali ya umma
 
KILA SIKU POLEPOLE ANAONGEA KUWA TANZANIA SIO YA KIJAMAA .....BALI WATU WAKE NI WAJAMAA.......ELEWA HILO ....THATS Y TANZANIA MTU UKIPATA AJALI .....WATU NDIO HUWA WA KWANZA KUKUSAIDIA ........BUT UKIENDA LETSAY USA ...UKIPATA AJALI HAKUNA ANAEKUJALI. ....BALI ITAPIGWA TU SIMU HOSPITALI
 
KILA SIKU POLEPOLE ANAONGEA KUWA TANZANIA SIO YA KIJAMAA .....BALI WATU WAKE NI WAJAMAA.......ELEWA HILO ....THATS Y TANZANIA MTU UKIPATA AJALI .....WATU NDIO HUWA WA KWANZA KUKUSAIDIA ........BUT UKIENDA LETSAY USA ...UKIPATA AJALI HAKUNA ANAEKUJALI. ....BALI ITAPIGWA TU SIMU HOSPITALI
Ukipata ajali hapa Tanzania, watu wa kuanza kufika eneo la ajali watakuibia kila kitu. Haijarishi watu hao ni vijana, wazee, wanaume, wanawake, mapadri, masheikh, askari polisi nk.
Hili ni taifa la vibaka.
Haya ndio matunda ya miaka 44 ya CCM.
 
Awamu hii ili uwe Mzalendo wa kweli basi uwe maskini(ujamaa).
๐๐ข ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ญ๐ฎ ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ค๐š๐ซ๐ข๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐ฐ๐š ๐ฎ๐›๐š๐ฒ๐š ๐ฐ๐š ๐”๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š ๐๐ก๐ข๐๐ข ๐ฒ๐š ๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฎ๐›๐ž๐ฉ๐š๐ซ๐ข, ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ž๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ฎ๐œ๐ก๐ฎ๐ค๐ข๐š ๐ฎ๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š!

๐‹๐š๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฆ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฎ๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š ๐ง๐ข ๐ฆ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ข๐ง๐š๐ฒ๐จ๐ฃ๐ž๐ง๐ ๐š ๐ฎ๐ญ๐ฎ, ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ก๐š๐ค๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐ฆ๐ฐ๐š๐ง๐š๐๐š๐ฆ๐ฎ!

๐‹๐š๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ง๐š๐ฆ๐ง๐š ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฆ๐ณ๐ข๐š ๐ฅ๐ž๐จ ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฎ๐จ๐ง๐š ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ง๐ข ๐ฆ๐›๐š๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ฅ๐ข๐ค๐จ ๐ฎ๐›๐š๐ฒ๐š ๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž๐ฐ๐ž.

๐–๐š๐ญ๐ฎ ๐ก๐š๐ฌ๐š ๐ฏ๐ข๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ข ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ญ๐จ๐š ๐ฆ๐š๐š๐ฆ๐ฎ๐ณ๐ข ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ง๐ ๐š๐ณ๐ข ๐ฒ๐š ๐Š๐ข๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ง๐š ๐ค๐ข๐ง๐œ๐ก๐ข ๐ก๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐ฎ๐๐ก๐š๐ข๐Ÿ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐”๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐ง๐ฒ๐จ๐ง๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐จ ๐ฐ๐ž๐ง๐ ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฎ๐›๐จ๐ซ๐š ๐ฐ๐š ๐”๐›๐ž๐ฉ๐š๐ซ๐ข.

๐˜๐š๐ฆ๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฅ๐ž๐จ, ๐”๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š ๐ฎ๐ง๐ ๐ž๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ฎ๐ฆ๐ž๐ฌ๐ญ๐š๐ฐ๐ข ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐ข๐ค๐ข๐š ๐ง๐ ๐š๐ณ๐ข ๐š๐ฆ๐›๐š๐ฒ๐จ ๐”๐›๐ž๐ฉ๐š๐ซ๐ข ๐ฆ๐š๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐จ ๐ฎ๐ฆ๐ž๐Ÿ๐ข๐ค๐ข๐š ๐ฅ๐ž๐จ, ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š ๐ข๐ง๐ ๐ž๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ก๐š๐ฅ๐ข ๐ฌ๐š๐ฅ๐š๐ฆ๐š ๐ง๐š ๐ฉ๐š๐ค๐ฎ๐Ÿ๐ฎ๐ซ๐š๐ก๐ข๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐ค๐ข๐ฎ๐ฆ๐›๐ž!
 
WANAJIFANYA WAJAMAA WAKATI WANAISHI KIBEPARI...

ova
๐‡๐š๐ฉ๐š ๐ง๐๐ข๐ฉ๐จ ๐ญ๐š๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ฅ๐ข๐ง๐š๐ฉ๐จ๐š๐ง๐ณ๐ข๐š.

๐Š๐š๐ฆ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐ ๐ž๐š๐ฆ๐ฎ๐š ๐ค๐ฎ๐ฎ๐ฌ๐ก๐ข ๐ฎ๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š "๐ฌ๐จ๐œ๐ข๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ฆ-๐ข๐ฆ๐ฉ๐ž๐ซ๐ข๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ฆ" ๐ฅ๐š๐›๐๐š ๐ฅ๐ž๐จ ๐๐ฎ๐ง๐ข๐š ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ž๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ฎ๐ฐ๐š๐ง๐ฃ๐š ๐ฐ๐š ๐ฏ๐ฎ๐ซ๐ฎ๐ ๐ฎ ๐ง๐š ๐ญ๐š๐ฆ๐š๐š ๐ณ๐š ๐ค๐ข๐ฆ๐š๐Ÿ๐ข๐ฌ ๐ฅ๐š๐ฆ๐š ๐ข๐ฏ๐ฒ๐จ ๐ฅ๐ž๐จ!
 
KILA SIKU POLEPOLE ANAONGEA KUWA TANZANIA SIO YA KIJAMAA .....BALI WATU WAKE NI WAJAMAA.......ELEWA HILO ....THATS Y TANZANIA MTU UKIPATA AJALI .....WATU NDIO HUWA WA KWANZA KUKUSAIDIA ........BUT UKIENDA LETSAY USA ...UKIPATA AJALI HAKUNA ANAEKUJALI. ....BALI ITAPIGWA TU SIMU HOSPITALI
๐”๐ฌ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐ž ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐š ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ๐ฒ๐š๐ฃ๐ฎ๐š.

๐”๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐Ÿ๐ข๐ค๐š ๐”๐ฌ ๐ฎ๐ค๐š๐ฌ๐ก๐ฎ๐ก๐ฎ๐๐ข๐š ๐ก๐š๐ฒ๐š ๐ฎ๐ฌ๐ž๐ฆ๐š๐ฒ๐จ?

๐๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ญ๐š๐š๐ซ๐ข๐Ÿ๐š ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐ญ๐ฎ, ๐ก๐š๐จ ๐ฆ๐š๐›๐ž๐ฉ๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š๐ง๐š ๐ฎ๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฎ๐ญ๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ฅ๐ข๐ค๐จ ๐ก๐š๐จ ๐ฐ๐š๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š ๐ข๐œ๐ก๐ฐ๐š๐ซ๐š ๐ฐ๐š ๐ก๐š๐ฉ๐จ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ!
 
Ukipata ajali hapa Tanzania, watu wa kuanza kufika eneo la ajali watakuibia kila kitu. Haijarishi watu hao ni vijana, wazee, wanaume, wanawake, mapadri, masheikh, askari polisi nk.
Hili ni taifa la vibaka.
Haya ndio matunda ya miaka 44 ya CCM.
........ACHA HASIRA MKUU ....LABDA HUKO DAR ..NDO WANAFANYA HIVO ......EBU FIKIRIA ....CHADEMA WANGEONGOZA NCHI......TANZANIA TUNGEIZIDI CONGO, SUDAN SOMALIA ....KWA CIVIL WAR.....PROUD FOR CCM GOVERNMENT
 
๐”๐ฌ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐ž ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐š ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ๐ฒ๐š๐ฃ๐ฎ๐š.

๐”๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐Ÿ๐ข๐ค๐š ๐”๐ฌ ๐ฎ๐ค๐š๐ฌ๐ก๐ฎ๐ก๐ฎ๐๐ข๐š ๐ก๐š๐ฒ๐š ๐ฎ๐ฌ๐ž๐ฆ๐š๐ฒ๐จ?

๐๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ญ๐š๐š๐ซ๐ข๐Ÿ๐š ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐ญ๐ฎ, ๐ก๐š๐จ ๐ฆ๐š๐›๐ž๐ฉ๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š๐ง๐š ๐ฎ๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฎ๐ญ๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ฅ๐ข๐ค๐จ ๐ก๐š๐จ ๐ฐ๐š๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š ๐ข๐œ๐ก๐ฐ๐š๐ซ๐š ๐ฐ๐š ๐ก๐š๐ฉ๐จ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ!
.......mkuu kumbe hujui maana ya ubepari .....wale majamaa hawanaga time ya kudeal na ishi za mtu mwingine wenyew huwa wana consider time and money tu....... Nyie huko kwenu. MNAOMBANA CHUMVI, MOTO, PESA .......SIJUI ELIMU BURE .....WAZUNGU WANATUSHANGAA SANA
 
........ACHA HASIRA MKUU ....LABDA HUKO DAR ..NDO WANAFANYA HIVO ......EBU FIKIRIA ....CHADEMA WANGEONGOZA NCHI......TANZANIA TUNGEIZIDI CONGO, SUDAN SOMALIA ....KWA CIVIL WAR.....PROUD FOR CCM GOVERNMENT
Nyinyi ndio watu ambao mnachelewesha maendeleo ya nchi hii.. Kuwa na fikra potofu na za kitoto..

Tena na ww unaweza kukuta una watoto na unatoa ushauri kbsa...

Toa facts kwa hyo maneno yako, usilete maneno ya kijiwen
 
.......mkuu kumbe hujui maana ya ubepari .....wale majamaa hawanaga time ya kudeal na ishi za mtu mwingine wenyew huwa wana consider time and money tu....... Nyie huko kwenu. MNAOMBANA CHUMVI, MOTO, PESA .......SIJUI ELIMU BURE .....WAZUNGU WANATUSHANGAA SANA
๐Œ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ง๐š๐จ๐ง๐ ๐ž๐ฅ๐ž๐š ๐ฎ๐›๐ž๐ฉ๐š๐ซ๐ข/๐ฎ๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฅ๐ž๐ฏ๐ž๐ฅ ๐ข๐ฉ๐ข?

๐”๐ฌ๐ข๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ง๐ฒ๐ž ๐‚๐ฎ๐ฅ๐ญ๐ฎ๐ซ๐š๐ฅ/๐ฌ๐จ๐œ๐ข๐š๐ฅ ๐ฉ๐ซ๐š๐œ๐ญ๐ข๐œ๐ž๐ฌ ๐ง๐š ๐ˆ๐๐ž๐จ๐ฅ๐จ๐ ๐ฒ
 
Nyinyi ndio watu ambao mnachelewesha maendeleo ya nchi hii.. Kuwa na fikra potofu na za kitoto..

Tena na ww unaweza kukuta una watoto na unatoa ushauri kbsa...

Toa facts kwa hyo maneno yako, usilete maneno ya kijiwen
......FACT NI KUWA VYAMA VYA UPINZAN TANZANIA BADO HAVIKO STABLE KUONGOZA NCHI HII .....KWANZA WENYEW TU HAWAELEWAN REFER WABUNGE 19 WA CHADEMA .......PILI WANAPONDA HATA VITU VYA MANUFAA KWA NCHI.....TATU ..WANATUMIKA NA MABEBERU .....
 
๐Œ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ง๐š๐จ๐ง๐ ๐ž๐ฅ๐ž๐š ๐ฎ๐›๐ž๐ฉ๐š๐ซ๐ข/๐ฎ๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฅ๐ž๐ฏ๐ž๐ฅ ๐ข๐ฉ๐ข?

๐”๐ฌ๐ข๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ง๐ฒ๐ž ๐‚๐ฎ๐ฅ๐ญ๐ฎ๐ซ๐š๐ฅ/๐ฌ๐จ๐œ๐ข๐š๐ฅ ๐ฉ๐ซ๐š๐œ๐ญ๐ข๐œ๐ž๐ฌ ๐ง๐š ๐ˆ๐๐ž๐จ๐ฅ๐จ๐ ๐ฒ
. Tukisha sema mfumo wa kibepari ....tuna maanisha ...vyote vilivyomo ....social practices , ideology na vngne vinavyo relate na capitalism/ubepar
 
Ukipata ajali hapa Tanzania, watu wa kuanza kufika eneo la ajali watakuibia kila kitu. Haijarishi watu hao ni vijana, wazee, wanaume, wanawake, mapadri, masheikh, askari polisi nk.
Hili ni taifa la vibaka.
Haya ndio matunda ya miaka 44 ya CCM.
Hahahahahaha #taifaaaa la vibakaaa hahaha
 
Back
Top Bottom