Sex inamdhalilisha sana mwanamke

Sex inamdhalilisha sana mwanamke

Kevzy

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2026
Posts
969
Reaction score
1,695
Tendo la sex linamdhalilisha mwanamke na kumfedheesha sana

Jinsi anavyoshughulishwa wakati wa kufanya sex, , abinywee, akunjweee, daah alaf ukute apewi pesa daah sex haipo fair Kwa mwanamke ni kweli

Kama nature imetaka hivyo Kuna sehemu imemuonea mwanamke kibaya zaidi apate mimba akazae aingie leba yaani nusu kifo na mtoto wanaume tukamkataa au ukakataa tangia mimba

Na siku izi na wao wanakula Kwa jasho yaani wanaotafuta kama tunavyotafuta sisi aisee

Sex haipo fair Kwa mwanamke
 
Tendo la sex linamdhalilisha mwanamke na kumfedheesha sana

Jinsi anavyoshughulishwa wakati wa kufanya sex, , abinywee, akunjweee, daah alaf ukute apewei pesa daah sex haipo fair Kwa mwanamke ni kweli

Kama nature imetaka hivyo Kuna sehemu imemuonea mwanamke kibaya zaidi apate mimba akazae aingie leba yaani nusu kifo

Na siku izi na wao wanakula Kwa jasho yaani wanaotafuta kama tunavyotafuta sisi aisee

Sex haipo fair Kwa mwanamke
Una waza kupewa pesa tu huo utamu kwani mwanamke hapati?
Punguza genye bwana mdogo
 
Tendo la sex linamdhalilisha mwanamke na kumfedheesha sana

Jinsi anavyoshughulishwa wakati wa kufanya sex, , abinywee, akunjweee, daah alaf ukute apewei pesa daah sex haipo fair Kwa mwanamke ni kweli

Kama nature imetaka hivyo Kuna sehemu imemuonea mwanamke kibaya zaidi apate mimba akazae aingie leba yaani nusu kifo

Na siku izi na wao wanakula Kwa jasho yaani wanaotafuta kama tunavyotafuta sisi aisee

Sex haipo fair Kwa mwanamke
Unawaongelea wanawake pekee! Mbona huwaongelei mashoger! Halafu usiwasemee. Waache wajisemee wenyewe.
 
Kwahiyo unamuonea mwanamke huruma pale anapopigwa paip? You can't go against the nature.... Nakupa tu Taarifa...hizo harakati ndio hao wanawake wanapenda Sasa ... Kama unawaonea huruma basi kama vip ndugu mwana jeiefu jivue ubingwa😎. Binti wa zamani na Seran mpenzi neno la ushauri huyu member KABLA hatujampoteza
Oya mkuu, taratibu basi! Unapomwambia mwanamke anapopigwa paipu anafurahi itafanya kijana huyu wa kiume mbichi, naye atatamani apigwee paipu ile aone kama ni kweli.

Siku nyingine unapoongea na vijana hawa wadogo kuwa makini kaka.
 
Badilisha mtazamo wako kuhusu sex kwanza.
Sexual objectification of a woman ni mtazamo hasi sana.

Mwanamke ni mshirika kwenye sex sio mateka.

Nakubaliana na jambo moja tu, ni sex kati ya watu wenye mahusiano ya aina gani ndio inaamua usahihi wa unachofikiri.

Suala la kuzaa ni lingine na linasimama pekeyake na hatuwezi libadilisha.
 
Kwahiyo unamuonea mwanamke huruma pale anapopigwa paip? You can't go against the nature.... Nakupa tu Taarifa...hizo harakati ndio hao wanawake wanapenda Sasa ... Kama unawaonea huruma basi kama vip ndugu mwana jeiefu jivue ubingwa😎. Binti wa zamani na Seran mpenzi neno la ushauri huyu member KABLA hatujampoteza
Hajui alisemalo, achana naye!
 
Back
Top Bottom