Habari Vijana wa JF,
Leo nianze kwa kutoa ushauri kidogo kwa wale wote wanaotaka kwenda kufanya kazi Ughaibuni hasa Saudia, Oman, Qatar etc.
i) Tujiandae na nafasi ambazo tunahitaji (you)
ii) Unapoona post kama hii please hit the questions / content, avoid inquisitive mindset. "achana na...