Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,677
- 28,991
Mzuka wanajamvi!
Nitasema tu ukweli. Hali ya maisha sasa hivi ughaibuni / ulaya ama mamtoni ni ngumu sana.
Maisha yamekuwa Magumu sana hasa kwaanzia mwezi wa tatu mwaka jana baadaya hii Corona.
Maelfu na Maelfu wamepoteza kazi zao na kujiandikisha kwenye employment benefits.
Kazi za kubeba boksi ni za kugombania. Mfano mzuri tu Denman Norway na Sweden. Nayosema haya ni kweli kwaanzia kufagia kazi za jikoni hotelini usafi na ujenzi yani kuna uhaba. Na ukipata hizo kazi basi sana sana ni mara mbili kwa wiki au tatu tena kwa masaa machache machache.
Kingine usidanganywe eti ni rahisi tu sasa hivi ukapata visa halafu uje huku ukafanikiwa mara moja l.
Sasa kuna ushindani mkubwa kwenye hizi kazi za kubeba boksi kutoka kwa mataifa ya eastern European Polish, Ukrainians, Estonians na wengine. Pia jamii ya kihindi Nepalese, bangladeshi, pakistani na wahindi wanapewa sana kipaumbele hasa kwenye kusafisha meli na huko napo wamepunguzwa wengi safari za meli sasa hivi zimepungua.
Sasa hivi hadi baadhi ya marubani na flight attendants wa SAS Scandinavia airline wanafanya food delivery kusambaza msosi majumbani ndo angalau angalau sasa hivi ndo kazi ya boksi inayolipa.
Ni wale tu wanaofanya kazi kwa wazee ndo hawajaathiriwa na wanaingiza hela ndeefuuu kichiz nawaona mabinti wadogowadogo wanaendesha ndinga za hatarii. Kozi za kutunza wazee nizakugombaniwa kwasababu unakuta wote wenye degrees masters hadi phd za uchumi, biashara computer sayans wanagombania hizi kozi za unesi za kutunza wazee ambazo ziko kwenye level za VETA za huku.
Denmark kuna ile GreenCard yao sasa waliopata wakobmatatani kuderpotiwa kwasababu hawana kazi wamepunguzwa haki za binadamu wanajitahidi kuingilia kati kuwasaidia kwasababu ni janga limesababisha na hali hadi itulie ni mwanzoni 2023. Ila immigration policy ya Denmark siyo rafiki kabisa kwa wahamihaji. Na sasa vyama vyenye mrengo wa far rights ndo zinasomba Scandinavia. Norway ni center right kitatoka, Sweden ni left kitatoka, fina land ni left nacho kitatoka na vyote agenda ni immigeation. Na hivi viko serikalini nao wanakaza hili kuwafurahisha Wananch.
NASEMA UKWELI HAMNA KAZI ZA KUMWAGA ZA KUBEBA BOKSI SASA HIVI ULAYA. NA MSIDANGANYWE ETI UTASAIDIWA KUJA HUKU MAMBO YA KAENDA VIZURI.
Nitasema tu ukweli. Hali ya maisha sasa hivi ughaibuni / ulaya ama mamtoni ni ngumu sana.
Maisha yamekuwa Magumu sana hasa kwaanzia mwezi wa tatu mwaka jana baadaya hii Corona.
Maelfu na Maelfu wamepoteza kazi zao na kujiandikisha kwenye employment benefits.
Kazi za kubeba boksi ni za kugombania. Mfano mzuri tu Denman Norway na Sweden. Nayosema haya ni kweli kwaanzia kufagia kazi za jikoni hotelini usafi na ujenzi yani kuna uhaba. Na ukipata hizo kazi basi sana sana ni mara mbili kwa wiki au tatu tena kwa masaa machache machache.
Kingine usidanganywe eti ni rahisi tu sasa hivi ukapata visa halafu uje huku ukafanikiwa mara moja l.
Sasa kuna ushindani mkubwa kwenye hizi kazi za kubeba boksi kutoka kwa mataifa ya eastern European Polish, Ukrainians, Estonians na wengine. Pia jamii ya kihindi Nepalese, bangladeshi, pakistani na wahindi wanapewa sana kipaumbele hasa kwenye kusafisha meli na huko napo wamepunguzwa wengi safari za meli sasa hivi zimepungua.
Sasa hivi hadi baadhi ya marubani na flight attendants wa SAS Scandinavia airline wanafanya food delivery kusambaza msosi majumbani ndo angalau angalau sasa hivi ndo kazi ya boksi inayolipa.
Ni wale tu wanaofanya kazi kwa wazee ndo hawajaathiriwa na wanaingiza hela ndeefuuu kichiz nawaona mabinti wadogowadogo wanaendesha ndinga za hatarii. Kozi za kutunza wazee nizakugombaniwa kwasababu unakuta wote wenye degrees masters hadi phd za uchumi, biashara computer sayans wanagombania hizi kozi za unesi za kutunza wazee ambazo ziko kwenye level za VETA za huku.
Denmark kuna ile GreenCard yao sasa waliopata wakobmatatani kuderpotiwa kwasababu hawana kazi wamepunguzwa haki za binadamu wanajitahidi kuingilia kati kuwasaidia kwasababu ni janga limesababisha na hali hadi itulie ni mwanzoni 2023. Ila immigration policy ya Denmark siyo rafiki kabisa kwa wahamihaji. Na sasa vyama vyenye mrengo wa far rights ndo zinasomba Scandinavia. Norway ni center right kitatoka, Sweden ni left kitatoka, fina land ni left nacho kitatoka na vyote agenda ni immigeation. Na hivi viko serikalini nao wanakaza hili kuwafurahisha Wananch.
NASEMA UKWELI HAMNA KAZI ZA KUMWAGA ZA KUBEBA BOKSI SASA HIVI ULAYA. NA MSIDANGANYWE ETI UTASAIDIWA KUJA HUKU MAMBO YA KAENDA VIZURI.