Masangutu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 748
- 540
Habari zenu wananzengo, natumai mnaendelea kupambana na mfumko wa bei?!
Nisiwachoshe sana, nataka kujua hivi Ulaya pia kuna wanga kama huku kwetu? Hawa wanaorukia mabati na kukaba watu usiku, kifupi wanga nawachukia sana.
Mlioishi ughaibuni naomba mpite hapa kutupa experience yenu juu ya vitimbi vya wanga na wachawi kama mlikutana navyo.
Imeisha hiyoo.
Nisiwachoshe sana, nataka kujua hivi Ulaya pia kuna wanga kama huku kwetu? Hawa wanaorukia mabati na kukaba watu usiku, kifupi wanga nawachukia sana.
Mlioishi ughaibuni naomba mpite hapa kutupa experience yenu juu ya vitimbi vya wanga na wachawi kama mlikutana navyo.
Imeisha hiyoo.