Habari!
Ni wakati sasa wa nchi kubana matumizi na kuruhusu matumizi matakatifu tu (matumaini yenye tija).
Ni muda muafaka Sasa kwa mabalozi wa Tanzania katika nchi zilizoendelea za Ulaya, Amerika na Asia kufanya ushawishi wa hali ya juu kwa matajiri wakubwa na kampuni kubwa kuja kuwekeza...
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.
Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana...
Leo nimekumbuka hiki kisa, nikaona weekend hii ni-share na Wanajamvi wenzangu, sijajua kama hapa ni jukwaa sahihi au la!
Miaka mingi iliyopita nilikuwa nchi za watu kimasomo, wakati huo nikiwa bado kijana mdogo. Nilipata nafasi hiyo kwa sababu ya kufahamiana na mwalimu mmoja aliyekuja Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.