chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,983
- 20,634
Lissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.
Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.
Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.
Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.