ufisadi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lord Denning

    JWTZ, kwa huu Ufisadi unaoendelea nchini, tukubaliane tu muongoze kipindi cha mpito kulipatia Taifa Katiba Mpya

    Kampuni yenye mahusiano na mtoto wa Rais Abdul inapewa tenda za kuchimba Maliasili za Taifa kwenye moja ya mkoa masikini zaidi Tanzania. Kampuni hii inachimba madini ya Makaa ya Mawe kwa kiwango cha kutisha na kuyasafirisha nje ya nchi. Kampuni nyingine ya swahiba wa Rais Rostam Aziz inapewa...
  2. Lord Denning

    Tarehe kama hii mwezi ujao, wapinga Ufisadi, Utekaji na Watetezi wa Haki watakuwa hot cake kwenye Taifa

    Leo ni tarehe 20 Oktoba 2025 Tarehe kama hii ya leo mwezi ujao credibility ya Mwanasiasa, Kiongozi wa dini, msanii wa injili, msanii wa bongo flavour au mwananchi yeyote yule itapimwa kwa jambo moja tu nalo ni kama aliwahi kupaza sauti kukemea mauaji ya watanzania, utekaji wa watanzania...
  3. comrade_kipepe

    Wimbo wa Roma Mkatoliki -Teremsha Bunduki 🎵🎶

    Huu wimbo mkali sanaa, sidhani kama hapa Tanzania atakuja msanii wa hiphop mwenye upeo kama huyu jamaa. NAAMINI PIA HUYU JAMAA ATAKUJA KUA KWENYE NYADHIFA ZA JUU SANA HAPO BAADAE PATAKAPOKUA NA TUME AMBAYO HAINA UPENDELEO KWA CHAMA CHA KIJANI (HUU UZI KUNA SIKU UTAFUFULIWA HATA USIPOONEKANA KWA...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Ufisadi Jeshini: Rais wa China awatimua vigogo 9

    Nchini China, siku ya Ijumaa, maafisa tisa, wakiwemo maafisa wawili wa juu wa jeshi, wamefukuzwa kazi. Kwa mujibu wa Reuters, waliotimuliwa ni pamoja na Jenerali He Weidong na Admirali Miao wa Jeshi la Wanamaji. Taarifa hiyo imetolewa na Wizara ya Ulinzi ya China. Maafisa hao wamefukuzwa...
  5. backbenchers

    DOKEZO Ofisi za Ardhi Moshi Mjini Zadaiwa Kula Milioni 15 Ili Kufanikisha Uporaji wa Eneo la Umma

    Wakuu habari za leo, Wakati wananchi wengi wakilalamikia upotevu wa maeneo ya wazi, hali inaonekana kuwa mbaya zaidi Moshi mjini. Ofisi za ardhi na ofisi ya Mkurugenzi wa manispaa ya Moshi mjini zinatajwa kuwa kiini cha rushwa inayohatarisha haki za wananchi. Kuna taarifa na malalamiko mazito...
  6. covid 19

    Hivi kuwa mwana CCM na mpenda haki, mpiga ufisadi, na mzalendo wa kwelikweli kabisa kutoka moyoni ni kosa linalostahili kutekwa?

    Kuna mambo yanafurahisa sana wakuu.. Yaani kosa la yule jamaa ni kuwa mkweli na kuwa mzalendo kwa chama chake na taifa... serious kabisa kama taifa lenye vyombo vya dola, mahakama, serikali na watu wenye akili timamu kabisa kabisa tumeamua kuacha na kukaa kimya. Ni aibu sana kwa vyombo vyetu...
  7. Z

    Ufisadi unavyopangwa na Wizara wakati wa bajeti. Hii BYD nani dealer hapa nchini??

    Kuna wakati ilitangazwa kwamba serikali imeondoa kodi kwenye fire extinguisher. Kuna wakati ikatangazwa kuondoa kodi kwenye mafuta ya kula ambayo hayakusafishwa. Bajti hii iliyosomwa imeondoa kodi kwenye magari ya umeme. Ukiangalia kila tangazo la aina hiyo linafuatana na biashara ya mtu fulani...
  8. Lord Denning

    JWTZ mmeona ya Polepole? Mmeona Wananchi wanavyotekwa na Kuuawa? Mmeona Ufisadi wa Viongozi?

    Jeshi la Wananchi mmeona yanayoendelea nchini? Mmeona wananchi wanavyotekwa na kupotezwa? Mmeona kina Polepole? Soka? Mdude? Mmeona Viongozi wanavyojinufaisha na Ufisadi? Mmemuona Mombo? Mmemuona Abdul na Mchengerwa? Mmuona Waziri Salum Katibu wa Rais? Mmemuona Mwana FA? Mmewaona watoto wa...
  9. Lord Denning

    Ni kichaa tu atatunza amani ili Wanasiasa, Viongozi na familia zao waishi maisha ya ukwasi kwa Ufisadi wa pesa za Umma

    Kuelekea tarehe 29 Oktoba 2025 napenda kuwaambia hawa wanasiasa mafisadi wanaotulisha propaganda za amani ili waendelee kuishi vizuri kwa ufisadi wanaofanya kwenye kodi zetu na mali zetu wanachi. Safari hii Wananchi tumekataa kuitunza amani ili wao waishi maisha ya ukwasi kwa kodi zetu huku...
  10. Tajiri wa kinyankole

    Kutokana na kauli za polepole hazina tishio kwa taifa kwani nyingi alikuwa akielimisha umma juu ya taifa

    Kutokana na kauli za polepole hazina tishio kwa taifa kwani nyingi alikuwa akielimisha umma juu ya taifa lao baadhi ya kauli alizowahi kusema ni kama ifuatavyo 1.Alisema wazi ccm mtandao wamekuwa wakijitajirisha bila kujali maslahi ya umma.mfano kutaja kashifa ya uniform za jeshi la polisi...
  11. Mashamba Makubwa Nalima

    Brr!!!Brr!! sms mpya najua mshahara kumbe TAKUKURU, wazee acheni utani, wezi mnawajua na taarifa tumeleta hapo ofisini

    Acheni hizi ghasia kwa sisi raia tunayoipenda nchi yetu kuliko viongozi. Tunalipa kodi kila siku na tungependa kuona hizi pesa zinamnufaisha kila mTanzania, sio wale wanajipendekeza na wanasiasa , bali kila mtu anufaike na hizi pesa zetu. Taarifa mnaletewa kila siku ila mnaleta maigizo hapa...
  12. baz kaiza

    GE2025 Mgombea huyu akitoka akakemea ufisadi bila na kusema atawawajibisha mafisadi Watumishi wazembe na uwajibikaji Atalinda rasilimli za nchi wakwepa kodi

    Mgombea Urais akisema kwa kinywa chake kwamba anachukia ufisadi atawashughilikia mafisadi. Watumishi wa Umma wazembe watawajibishwa na nidhamu kwa watumishi wa umma. Wakwepa kodi kukiona cha moto kulinda rasilmali za nchi huyu ana kura yangu. Sioni mgombea anazungumzia kuku za Uchumi wa nchi...
  13. Mashamba Makubwa Nalima

    GE2025 MKOLONI HANA RANGI Episode 2: Miaka 4 Ya Samia vs Miaka 4 Ya Richard Turnbull

    RICHARD TURNBULL UWEKEZAJI KWENYE MATUMIZI YA AKILI UINUAJI WA HAKI NA SIASA ZA KUJITEGEMEA KUHAKIKISHA RASILIMALI ZINANUFAISHA NCHI PIA KUIMALISHA MFUMO BORA WA ELIMU NA AFYA KUIMALISHA NA UTUNZAJI MZURI WA RELI WA BARABARA BANDARI YA TANGA NA DAR ES SALAAM ZILIBORESHWA ZAIDI KWA KUJALI UKUAJI...
  14. Mashamba Makubwa Nalima

    Poleni na Kifo cha CCM, ila mimi sijalia

    Poleni na kifo ila mimi sijalia. Nalia na ndugu wa Ali kibao, nalia na ndugu wa Mdude, nalia na wamama hospitali wanapambania afya zao na za watoto wao, nalia na watanzania wanapambana usiku na mchana ila wanakutana na kodi za ajabu kwenye kila kitu. Nalia na waTanzania walio na wanaouawa...
  15. Inside10

    Albania yateua Waziri aliyetengenezwa Kwa AI kupambana na Ufisadi

    Albania imeweka rekodi ya dunia kwa kuwa nchi ya kwanza kuteua waziri aliyeundwa kwa akili bandia (AI), siyo waziri wa teknolojia ya AI, bali waziri halisi wa kidijitali, aliyeundwa kwa misimbo na kuendeshwa na mfumo wa kisasa wa akili bandia. Jina lake ni Diella, linalomaanisha ‘mwanga wa jua’...
  16. Lavit

    Hivi kama mkuu wa usalama anahusishwa na na kashfa za ufisadi wa kupindukia, tunaweza sema bado tuna nchi?

    Wakuu mimi kuna kitu bado sielewi, hivi inawezekana vipi huyu mtu kuwa na kashfa mpaka watoto wake kuanikwa hadharani anaweza vipi kulinda maslahi mapana ya nchi? Kama yeye yuko hivyo vipi hao wa chini yake hali ikoje? Ina maana huko idarani ndo kumeoza kabisa kwa viwango hivi? Hivi bado...
  17. Stuxnet

    Gen Z Nepal, Rabi Lamichhane mfungwa wa ufisadi atolewa nje ya gereza na wengine 1,000, wafuasi wamtaka awe Kiongozi wa mpito

    Ni jambo la kushangaza kumuona nje ya gereza ilhali kesi ufisadi zinaendelea. Siyo suala la kumpenda au kumchukia mwanasiasa, bali ni kuhusu kuheshimu utawala wa sheria. Kama mtu ameshtakiwa, anapaswa kupitia mchakato mzima wa kisheria. Akiwa hana hatia, basi aachiliwe huru kwa heshima. Lakini...
  18. Hance Mtanashati

    GE2025 Mbona Samia Suluhu hasemi lolote kuhusu ufisadi, hata angalau kwa bahati mbaya ?

    Kama kuna mahala popote Samia kaonesha nia ya dhati ya kupambana na ufisadi ninaomba kuona hiyo video. Au ufisadi umeshaisha kabisa hapa nchini?
  19. Idugunde

    GE2025 Aibu kubwa, kwa taifa kama hili ambalo ufisadi Papa ni janga la kitaifa. Hakuna mgombea urais au mwenza wake aliyesema atapambana na mafisadi

    Ufisadi ni kansa inayoyatafuna mataifa ya kiafrika ikiwemo Tanzania. Fikiria fedha zilizoibiwa kupitia Kagoda, Escrow na hata hizi anazotuhumiwa Angela Kiziga. Zisingibwa na wahuni wa CCM tungekuwa na maendeleo makubwa sana. Leo hii mgombea wa urais wa CCM yupo kimya juu ya mapambano ya...
  20. M

    Jinsi ndege ya Rais wa Zambia ilivyotumika kwenye ufisadi mkubwa wa kutisha

    Leo mjini Lusaka, Zambia kumekuwa na gumzo la aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Mh Joe Malanji kupatikana na hatia za ufisadi mkubwa wakati wa utawala wa hayati Edgar Lungu. Kahukumiwa miaka minne jela. Walichofanya Malanji na wenzake ni kutafuna takribani USD 11,000,000 pesa za umma zilizokuwa...
Back
Top Bottom