Hatuna viongozi wenye vision nchi imebaki kuendeshwa na matukio yasiyo na msingi.
Ni aibu kwa kiongozi mkubwa kama Jaji tena mkuu kutoka hadharani kukemea matusi anaacha kujadili sababu zilizopelekea kunyanganywa mradi wa Tanga oil refinery.
Jaji mwingine kapewa pesa kuliponya taifa yeye anaanza kuhesabu idadi ya matusi aliyotukanwa.
Mwingine kiongozi tena mkubwa anasema amekamata vijana 400 waliomtukana, ila hasemi amewapeleka wapi.
Miradi mikubwa inahujumiwa na mafisadi hakuna yeyote wala Jaji akikemea tunabaki kufukuzana na kina Rachel Dangwa wa Tik talk.
Kama hii nchi sio ya sengerema ni nini.
Soma pia
Ni aibu kwa kiongozi mkubwa kama Jaji tena mkuu kutoka hadharani kukemea matusi anaacha kujadili sababu zilizopelekea kunyanganywa mradi wa Tanga oil refinery.
Jaji mwingine kapewa pesa kuliponya taifa yeye anaanza kuhesabu idadi ya matusi aliyotukanwa.
Mwingine kiongozi tena mkubwa anasema amekamata vijana 400 waliomtukana, ila hasemi amewapeleka wapi.
Miradi mikubwa inahujumiwa na mafisadi hakuna yeyote wala Jaji akikemea tunabaki kufukuzana na kina Rachel Dangwa wa Tik talk.
Kama hii nchi sio ya sengerema ni nini.
Soma pia